Cassnzoba
JF-Expert Member
- Feb 26, 2022
- 3,661
- 6,913
Ndo apo sasa anakua kam analaumuuuu hiviSasa jamaa mbona hoja yake ameiweka kana kwamba mtu anaamua kimo chake?
Anyway
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo apo sasa anakua kam analaumuuuu hiviSasa jamaa mbona hoja yake ameiweka kana kwamba mtu anaamua kimo chake?
Mabinti wanakunywa chai na kiporo miaka nenda rudi unataka wawe warefu!Nenda vyuoni IFM,CBE,TIA ukikuta binti ana futi 6 niite nikupe milioni.
UDSM ukikutafuti sita ujue ni foreign student toka Rwanda,Uganda au Sudan,
Uko uswazi,buguruni,Temeke,Tandale ndio funga kazi,futi 5 kamili mwisho,
Mbegu zinaharibika,tatizo nini,serikali iliangalie hili
utakubali nikuchungulie?Naomba mbegu mshamba_mwingine 😂😂
Mimi nilipita IFM kupata lunch canteen kwao hata sikuelewa nini kinaendelea nchi hii,ndo maana Magufuli aliwajaza wanyarwanda pale gogo ili kufanya mchanyato sijui kuna nini,ila hizi tozo zinachangia stressNenda vyuoni IFM,CBE,TIA ukikuta binti ana futi 6 niite nikupe milioni.
UDSM ukikutafuti sita ujue ni foreign student toka Rwanda,Uganda au Sudan,
Uko uswazi,buguruni,Temeke,Tandale ndio funga kazi,futi 5 kamili mwisho,
Mbegu zinaharibika,tatizo nini,serikali iliangalie hili
Au hujawahi kutana naoSawa Mkuu
Unaniwekea kwenye kibobo. Ntaingiza mwenyewe 🤣🤣utakubali nikuchungulie?
Mimi Napenda urefu wakwenda Nyuma sio juu😄Au hujawahi kutana nao
Evidence
Sio wanawake tu, wote hata wanaume wa bongo wengi ni wafupi. Hiki kizazi kina mbegu mbaya sana ya KATUMAN haikui. Nilishangaa nilipoenda bongo last year mbona watu wafupi sana halafu weusi balaa. Pale JKNIA nilijiona niko kwenye giza kumbe ni weusi wa watu halafu wafupi balaa teehteehteeh.Nenda vyuoni IFM,CBE,TIA ukikuta binti ana futi 6 niite nikupe milioni.
UDSM ukikutafuti sita ujue ni foreign student toka Rwanda,Uganda au Sudan,
Uko uswazi,buguruni,Temeke,Tandale ndio funga kazi,futi 5 kamili mwisho,
Mbegu zinaharibika,tatizo nini,serikali iliangalie hili
sharti la mganga hilo😁Unaniwekea kwenye kibobo. Ntaingiza mwenyewe 🤣🤣
Sio la mgangasharti la mganga hilo😁
hutaki basi