Wasichana wa Tanzania mmezidi kwa ufupi, tatizo ni nini?

Wasichana wa Tanzania mmezidi kwa ufupi, tatizo ni nini?

Ipo, ni njia ya kuelekea Kisaki
Mkuu ukitoka Wilaya ya Morogoro mjini kama unaelekea Kisaki hiyo ni Wilaya ya Morogoro vijijini. Labda kukusaidia Wilaya za Mkoa wa Morogoro ni pamoja na;-
1. Halmashauri ya Wilaya Morogoro mjini
2. Wilaya ya Morogoro vijijini
3. Wilaya ya Gairo*Japo sina uhakika na Gairo
4. Wilaya ya Mvomero
5. Wilaya ya Malinyi
6. Wilaya ya Ulanga
7. Wilaya ya Kilombero
8. Wilaya ya Kilosa
 
Mkuu ukitoka Wilaya ya Morogoro mjini kama unaelekea Kisaki hiyo ni Wilaya ya Morogoro vijijini. Labda kukusaidia Wilaya za Mkoa wa Morogoro ni pamoja na;-
1. Halmashauri ya Wilaya Morogoro mjini
2. Wilaya ya Morogoro vijijini
3. Wilaya ya Gairo*Japo sina uhakika na Gairo
4. Wilaya ya Mvomero
5. Wilaya ya Malinyi
6. Wilaya ya Ulanga
7. Wilaya ya Kilombero
8. Wilaya ya Kilosa
Usiisahau wilaya ya Mvuha
 
Mbona 5 kwa mwanamke ni standard. Ila futi 5 kwenda juu inakuwa sasa sio kawaida na hata wanaume warefu hawapendi.
 
Back
Top Bottom