Wasichana wa Tanzania mmezidi kwa ufupi, tatizo ni nini?

Wasichana wa Tanzania mmezidi kwa ufupi, tatizo ni nini?

MODS WOOTE NI UMBWAAA

Imagine jitu na kichwa chake sie wemgime tunadham kina akili kumbe hana .
Muda huu imagine mtu kakalia kiti cha melo anafuta posts , no womder mnapiga selfie humo maofisn usiku huu mnaacha kufanya mambo ya msingi mnafanya ufala ufala tu

Futen na hii
 
China amewahi kupigana vita ipi tukajua nguvu ya jeshi lake
-China-India border war.China alishinda.
-Jangsari war/Korea war 1959 North Korea alishinda kwa msaada wa jeshi la China.
Tena China ni jeshi linaloweza ground battle kuliko udhaniavyo wewe.
Na Asia Pacific mataifa mengi yamepokea mafunzo China na hadi sasa wanapokea mafunzo.
 
Picha mkuu.
Screenshot_20240719-204944.png

📸: Instagram
 
Nenda vyuoni IFM, CBE, TIA ukikuta binti ana futi 6 niite nikupe milioni. UDSM ukikuta futi sita ujue ni foreign student toka Rwanda, Uganda au Sudan.

Uko uswazi, Buguruni, Temeke, Tandale ndio funga kazi, futi 5 kamili mwisho.

Mbegu zinaharibika, tatizo nini?

Asili ya mtanzania sio ufupi, kama ni viporo nama zetu wamevila mimi nahisi ni ukosefu wa lishe, dawa za kuzuia mimba, uzazi wa mpango, zinadumaza hawa mabinti, serikali ifanye utafiti.

Kwa sisi wanaume mbona hali sio mbaya.

Tunapoelekea majeshi yetu yatakosa wanawake, huwezi kuwa na askari futi nne.
hata huku ni tufupi kama kombe la kagame.
 
-China-India border war.China alishinda.
-Jangsari war/Korea war 1959 North Korea alishinda kwa msaada wa jeshi la China.
Tena China ni jeshi linaloweza ground battle kuliko udhaniavyo wewe.
Na Asia Pacific mataifa mengi yamepokea mafunzo China na hadi sasa wanapokea mafunzo.
Nimekusoma mkuu ila huo ukanda ufupi ni asili yao tu,sasa sisi huku miaka inavyozidi kwenda dada zetu wanazidi kuwa wafupi tofauti na zamani,hoja yangu imelalia hapo
 
Mkuu umezungumzia vyuo,
vijeba wanalima mpunga,na kuchimba chunya huko kyela,mwadui we unaweza kupelekwa moto mpk ukafa kwa presha,hapo hujafikiwa.
Unaweza kupandwa uwe mlima au kichuguu uchungu ni uleule.
Watu walitwanga banyankole mpaka katukana ukoo mzima.
Huku alisema papuchi yake inaweza kukulaza mle kama selo.
Usitukane wakunga.
 
Nimekusoma mkuu ila huo ukanda ufupi ni asili yao tu,sasa sisi huku miaka inavyozidi kwenda dada zetu wanazidi kuwa wafupi tofauti na zamani,hoja yangu imelalia hapo
Oeni Wamasai,wakurya,wanyaturu,wamburu na wamang'ati kwa wingi muongeze mbegu ndefu.
Maana TZ hao ndio wanaongoza kwa mbegu ndefu.
 
Ukihoji hivyo sisi tutahoji, kwa nini wanaume wengi wa Central and West Africa wana maumbile makubwa ya kiume kuliko wale wa East and South Africa.
 
Ridhiwan Kikwete hana Lishe bora? Unakijua kimo chake?

Yule kakulia ushuwani tena ikulu na kuna wadogo zake ni wafupi nawafahamu.

Suala la lishe halina ukweli wowote. Mimi kama ni lishe umejichanganya manake mimi mwenyewe sijakulia maisha ya uswazi na nilikula chochote nilichohitaji lakini sina urefu wowote.


Lishe bora ndo inazungumziwa na sio kula tu .

Wewe umekulia katika maeneo ambayo haukukosa chakula Ila sio maeneo yenye lishe bora.
 
Nenda vyuoni IFM, CBE, TIA ukikuta binti ana futi 6 niite nikupe milioni. UDSM ukikuta futi sita ujue ni foreign student toka Rwanda, Uganda au Sudan.

Uko uswazi, Buguruni, Temeke, Tandale ndio funga kazi, futi 5 kamili mwisho.

Mbegu zinaharibika, tatizo nini?

Asili ya mtanzania sio ufupi, kama ni viporo nama zetu wamevila mimi nahisi ni ukosefu wa lishe, dawa za kuzuia mimba, uzazi wa mpango, zinadumaza hawa mabinti, serikali ifanye utafiti.

Kwa sisi wanaume mbona hali sio mbaya.

Tunapoelekea majeshi yetu yatakosa wanawake, huwezi kuwa na askari futi nne.
Tatizo bei ya mkaa
 
Nenda vyuoni IFM, CBE, TIA ukikuta binti ana futi 6 niite nikupe milioni. UDSM ukikuta futi sita ujue ni foreign student toka Rwanda, Uganda au Sudan.

Uko uswazi, Buguruni, Temeke, Tandale ndio funga kazi, futi 5 kamili mwisho.

Mbegu zinaharibika, tatizo nini?

Asili ya mtanzania sio ufupi, kama ni viporo nama zetu wamevila mimi nahisi ni ukosefu wa lishe, dawa za kuzuia mimba, uzazi wa mpango, zinadumaza hawa mabinti, serikali ifanye utafiti.

Kwa sisi wanaume mbona hali sio mbaya.

Tunapoelekea majeshi yetu yatakosa wanawake, huwezi kuwa na askari futi nne.
Unapata wapi muda wakuwaza haya kiongozi,

Mbona kama umewaza na kuyaandika haya ukiwa na njaa!?

Pambana mkuu, maisha ya Sasa hivi hayahitaji urefu au fupi.

Kila kitu kimerahisishwa na Hali ya uchumi, jitahidi uwe vizuri kwenye uchumi kasoro zako zote zinafichwa hapo.

Unawaza jeshi litakosa watu, hivi Kwa mawazo yako unahisi huko tuendako vyombo vya ulinzi vitahitaji zaid rasilimali watu??

Hao uliowaona huko IFM, CBE sijui TIA ndo utakaoenda kuwalilia kesho wakuvushie siku yako Kwa kukuokoa na njaa, wakati huo hutaangalia urefu Wala ufupi utakuwa unaangalia tumbo tu.

Unachelewa mkuu, amka na uwaze ya maana.
 
Unapata wapi muda wakuwaza haya kiongozi,

Mbona kama umewaza na kuyaandika haya ukiwa na njaa!?

Pambana mkuu, maisha ya Sasa hivi hayahitaji urefu au fupi.

Kila kitu kimerahisishwa na Hali ya uchumi, jitahidi uwe vizuri kwenye uchumi kasoro zako zote zinafichwa hapo.

Unawaza jeshi litakosa watu, hivi Kwa mawazo yako unahisi huko tuendako vyombo vya ulinzi vitahitaji zaid rasilimali watu??

Hao uliowaona huko IFM, CBE sijui TIA ndo utakaoenda kuwalilia kesho wakuvushie siku yako Kwa kukuokoa na njaa, wakati huo hutaangalia urefu Wala ufupi utakuwa unaangalia tumbo tu.

Unachelewa mkuu, amka na uwaze ya maana.
MiMi sins njaa hspa niko na bakuli la uji na mihogo saafi
 
Back
Top Bottom