Wasichana wa Tanzania mmezidi kwa ufupi, tatizo ni nini?

Wasichana wa Tanzania mmezidi kwa ufupi, tatizo ni nini?

Nenda vyuoni IFM, CBE, TIA ukikuta binti ana futi 6 niite nikupe milioni. UDSM ukikuta futi sita ujue ni foreign student toka Rwanda, Uganda au Sudan.

Uko uswazi, Buguruni, Temeke, Tandale ndio funga kazi, futi 5 kamili mwisho.

Mbegu zinaharibika, tatizo nini?

Asili ya mtanzania sio ufupi, kama ni viporo nama zetu wamevila mimi nahisi ni ukosefu wa lishe, dawa za kuzuia mimba, uzazi wa mpango, zinadumaza hawa mabinti, serikali ifanye utafiti.

Kwa sisi wanaume mbona hali sio mbaya.

Tunapoelekea majeshi yetu yatakosa wanawake, huwezi kuwa na askari futi nne.
Tumerithi kwa baba zetu
 
Jaribu kuficha ujinga wako bro, sio lazima kila kila kinachokuja kichwani kwako ukiseme, urefu unasaidia nini kwenye hii dunia? Kwenye nyqnja zote, sayansi, ajira, viwanda, uvumbuzi, nk,
Wakorea waliokutengenezea samsung ni warefu kama Watusi? Wa Hindi waliokutengenezea TATA, Mahindra nk, ni warefu kama wasudani kusini?
Eron musk ni mrefu kuliko Hashim thabit?kampuni yake yq tweeter ina mapato makubwa kuriko mapato yote yq nchi hamsini za Africa!
Wachina wanaowajengea kila kitu, ni warefu?
Kwa u bongo unatakq Uwe mrefu uvutie madem, na kuwa na pipe kubwa basi,
African race ni dini na ngono basi, na kula bata
Huyo kaamua kuchangamsha kijiwe, kuna wakati tunahitaji kucheka tu.
 
Average height ya watanzania ni futi 5 inch 5. Halafu wewe unatafuta msichana wa futi 6, utakua na matatizo sio bure. Hata huko Rwanda average height haizidi futi 5 inch 7. Warefu wachache unaowaona kwenye tv na social media wasikuchanganye, sisi ni wafupi kiasili
 
Kwa sasa kila jamii utaikuta ina warefu na wafupi, mwingiliano wa makabila katika kuzaliana.

Kwa sasa sio kitu cha kushangaza kukuta jamii iliyokuwa inaaminika kuwa na watu majayanti kukuta ni wafupi na miili midogo.
 
Nenda vyuoni IFM, CBE, TIA ukikuta binti ana futi 6 niite nikupe milioni. UDSM ukikuta futi sita ujue ni foreign student toka Rwanda, Uganda au Sudan.

Uko uswazi, Buguruni, Temeke, Tandale ndio funga kazi, futi 5 kamili mwisho.

Mbegu zinaharibika, tatizo nini?

Asili ya mtanzania sio ufupi, kama ni viporo nama zetu wamevila mimi nahisi ni ukosefu wa lishe, dawa za kuzuia mimba, uzazi wa mpango, zinadumaza hawa mabinti, serikali ifanye utafiti.

Kwa sisi wanaume mbona hali sio mbaya.

Tunapoelekea majeshi yetu yatakosa wanawake, huwezi kuwa na askari futi nne.
4a58b3eb67536778cd8fe3d8f25140e6.jpg
 
Average height ya watanzania ni futi 5 inch 5. Halafu wewe unatafuta msichana wa futi 6, utakua na matatizo sio bure. Hata huko Rwanda average height haizidi futi 5 inch 7. Warefu wachache unaowaona kwenye tv na social media wasikuchanganye, sisi ni wafupi kiasili
Average inaenda 8naoungua kwa kasi sana kwa wanawake kuliko wanaume
 
Jaribu kuficha ujinga wako bro, sio lazima kila kila kinachokuja kichwani kwako ukiseme, urefu unasaidia nini kwenye hii dunia? Kwenye nyqnja zote, sayansi, ajira, viwanda, uvumbuzi, nk,
Wakorea waliokutengenezea samsung ni warefu kama Watusi? Wa Hindi waliokutengenezea TATA, Mahindra nk, ni warefu kama wasudani kusini?
Eron musk ni mrefu kuliko Hashim thabit?kampuni yake yq tweeter ina mapato makubwa kuriko mapato yote yq nchi hamsini za Africa!
Wachina wanaowajengea kila kitu, ni warefu?
Kwa u bongo unatakq Uwe mrefu uvutie madem, na kuwa na pipe kubwa basi,
African race ni dini na ngono basi, na kula bata
Punguza jazba MTU mfupi sawa
 
Back
Top Bottom