Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaah mimi nina 6.3 aseeeee ata sio mfupi ila najaribu kuwatetea wafupi 😂😂Umemaliza utetezi wako?😂😂😂😂
tuache tafadhalHapo mlipatikana,hakuna ujanja wa kuongeza hata inchi moja
🤣🤣🤣Tunapoelekea majeshi yetu yatakosa wanawake, huwezi kuwa na askari futi nne.
Tumerithi kwa baba zetuNenda vyuoni IFM, CBE, TIA ukikuta binti ana futi 6 niite nikupe milioni. UDSM ukikuta futi sita ujue ni foreign student toka Rwanda, Uganda au Sudan.
Uko uswazi, Buguruni, Temeke, Tandale ndio funga kazi, futi 5 kamili mwisho.
Mbegu zinaharibika, tatizo nini?
Asili ya mtanzania sio ufupi, kama ni viporo nama zetu wamevila mimi nahisi ni ukosefu wa lishe, dawa za kuzuia mimba, uzazi wa mpango, zinadumaza hawa mabinti, serikali ifanye utafiti.
Kwa sisi wanaume mbona hali sio mbaya.
Tunapoelekea majeshi yetu yatakosa wanawake, huwezi kuwa na askari futi nne.
Hapana mm ni toluBila shaka ulimaanisha 5.3
Huyo kaamua kuchangamsha kijiwe, kuna wakati tunahitaji kucheka tu.Jaribu kuficha ujinga wako bro, sio lazima kila kila kinachokuja kichwani kwako ukiseme, urefu unasaidia nini kwenye hii dunia? Kwenye nyqnja zote, sayansi, ajira, viwanda, uvumbuzi, nk,
Wakorea waliokutengenezea samsung ni warefu kama Watusi? Wa Hindi waliokutengenezea TATA, Mahindra nk, ni warefu kama wasudani kusini?
Eron musk ni mrefu kuliko Hashim thabit?kampuni yake yq tweeter ina mapato makubwa kuriko mapato yote yq nchi hamsini za Africa!
Wachina wanaowajengea kila kitu, ni warefu?
Kwa u bongo unatakq Uwe mrefu uvutie madem, na kuwa na pipe kubwa basi,
African race ni dini na ngono basi, na kula bata
Nenda vyuoni IFM, CBE, TIA ukikuta binti ana futi 6 niite nikupe milioni. UDSM ukikuta futi sita ujue ni foreign student toka Rwanda, Uganda au Sudan.
Uko uswazi, Buguruni, Temeke, Tandale ndio funga kazi, futi 5 kamili mwisho.
Mbegu zinaharibika, tatizo nini?
Asili ya mtanzania sio ufupi, kama ni viporo nama zetu wamevila mimi nahisi ni ukosefu wa lishe, dawa za kuzuia mimba, uzazi wa mpango, zinadumaza hawa mabinti, serikali ifanye utafiti.
Kwa sisi wanaume mbona hali sio mbaya.
Tunapoelekea majeshi yetu yatakosa wanawake, huwezi kuwa na askari futi nne.
Average inaenda 8naoungua kwa kasi sana kwa wanawake kuliko wanaumeAverage height ya watanzania ni futi 5 inch 5. Halafu wewe unatafuta msichana wa futi 6, utakua na matatizo sio bure. Hata huko Rwanda average height haizidi futi 5 inch 7. Warefu wachache unaowaona kwenye tv na social media wasikuchanganye, sisi ni wafupi kiasili
Miaka ya 2000 ndo wamezaliwa madogo warefu miili jumba, fanya tafiti yako vizuri.Wafupi wameibuka tu miaka ya 2000
Punguza jazba MTU mfupi sawaJaribu kuficha ujinga wako bro, sio lazima kila kila kinachokuja kichwani kwako ukiseme, urefu unasaidia nini kwenye hii dunia? Kwenye nyqnja zote, sayansi, ajira, viwanda, uvumbuzi, nk,
Wakorea waliokutengenezea samsung ni warefu kama Watusi? Wa Hindi waliokutengenezea TATA, Mahindra nk, ni warefu kama wasudani kusini?
Eron musk ni mrefu kuliko Hashim thabit?kampuni yake yq tweeter ina mapato makubwa kuriko mapato yote yq nchi hamsini za Africa!
Wachina wanaowajengea kila kitu, ni warefu?
Kwa u bongo unatakq Uwe mrefu uvutie madem, na kuwa na pipe kubwa basi,
African race ni dini na ngono basi, na kula bata