Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watoto wa sikuhizi hawali lishe nzuri,hasa maziwa fresh ya kutosja,cheki jamii za wafugaji wanaokunywa maziwa na nyama na damu walivyo warefu.Asili Ya mtanzania sio ufupi,kuna tatizo la lishe,limeathiri miilo na ubongo wa kizazi hiki,hata hawa chawa nina wasi wasi nao ni matokeo ya kukosa kishe utotoni
Wee sio mimi uyooKama huyo wa kwenye profile ni wewe basi niko sahihi
Unajiona Umeongea point kumbe uharo mtupu! Sasa hao wafupi wa IFM mbona hawana akili kama wa Korea?Jaribu kuficha ujinga wako bro, sio lazima kila kila kinachokuja kichwani kwako ukiseme, urefu unasaidia nini kwenye hii dunia? Kwenye nyqnja zote, sayansi, ajira, viwanda, uvumbuzi, nk,
Wakorea waliokutengenezea samsung ni warefu kama Watusi? Wa Hindi waliokutengenezea TATA, Mahindra nk, ni warefu kama wasudani kusini?
Eron musk ni mrefu kuliko Hashim thabit?kampuni yake yq tweeter ina mapato makubwa kuriko mapato yote yq nchi hamsini za Africa!
Wachina wanaowajengea kila kitu, ni warefu?
Kwa u bongo unatakq Uwe mrefu uvutie madem, na kuwa na pipe kubwa basi,
African race ni dini na ngono basi, na kula bata
Itakuwa unawazungumzia wazazi wako kinamna eeh, bora mwanamke mfupi kuliko mwanaumeWapare na Wangoni ndio wametuharibia mbegu bora ya Taifa tuliyokuwa nayo kabla hawajaja hao
Wazazi wangu sio hata wabantu sembuse wawe na Upare na UngoniItakuwa unawazungumzia wazazi wako kinamna eeh, bora mwanamke mfupi kuliko mwanaume
Kwahiyo wewe ni mrefu? Nachojua we ni kafupi keupeWazazi wangu sio hata wabantu sembuse wawe na Upare na Ungoni
Mwanaume na Mwanamke kuwa Vinyadundo haifai...ni mbegu chafu kama katumani
Hahaha...ningekuwa Mfupi ningekata rufaa kwa MuumbaKwahiyo wewe ni mrefu? Nachojua we ni kafupi keupe
Ila ni mweupe mweupe😅😅 kwa hapo bora mfupi mweusiHahaha...ningekuwa Mfupi ningekata rufaa kwa Muumba
Umepatia rangi kabisa lakini kimo ni Big NOIla ni mweupe mweupe😅😅 kwa hapo bora mfupi mweusi
😂Urefu umehamia katikati apo ndio maana mnashindwa kwenda juu
Hao vijana bado wanakua, nowdays, wanafunzi wa vyuo wanajiunga wakiwa bado wadogo sana compared na miaka ya nyuma.Nenda vyuoni IFM, CBE, TIA ukikuta binti ana futi 6 niite nikupe milioni. UDSM ukikuta futi sita ujue ni foreign student toka Rwanda, Uganda au Sudan.
Uko uswazi, Buguruni, Temeke, Tandale ndio funga kazi, futi 5 kamili mwisho.
Mbegu zinaharibika, tatizo nini?
Asili ya mtanzania sio ufupi, kama ni viporo nama zetu wamevila mimi nahisi ni ukosefu wa lishe, dawa za kuzuia mimba, uzazi wa mpango, zinadumaza hawa mabinti, serikali ifanye utafiti.
Kwa sisi wanaume mbona hali sio mbaya.
Tunapoelekea majeshi yetu yatakosa wanawake, huwezi kuwa na askari futi nne.
AaahaaaEbu Twambie wanapatikana wap Mkuu??