Wasichana wa Tanzania mmezidi kwa ufupi, tatizo ni nini?

Ipo, ni njia ya kuelekea Kisaki
Mkuu ukitoka Wilaya ya Morogoro mjini kama unaelekea Kisaki hiyo ni Wilaya ya Morogoro vijijini. Labda kukusaidia Wilaya za Mkoa wa Morogoro ni pamoja na;-
1. Halmashauri ya Wilaya Morogoro mjini
2. Wilaya ya Morogoro vijijini
3. Wilaya ya Gairo*Japo sina uhakika na Gairo
4. Wilaya ya Mvomero
5. Wilaya ya Malinyi
6. Wilaya ya Ulanga
7. Wilaya ya Kilombero
8. Wilaya ya Kilosa
 
Usiisahau wilaya ya Mvuha
 
Mbona 5 kwa mwanamke ni standard. Ila futi 5 kwenda juu inakuwa sasa sio kawaida na hata wanaume warefu hawapendi.
 
Wafupi afu wanene . Wanapenda kuvaa trouser ,tumbo lote lina ingia kwenye trouser
Tumbo kubwa kuliko tako na wakila wanataka kupakuliwa kwenye kisinia na wanakula balaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…