Haya ndo maana mnaishia kuchuna
Lakini na nyie huwa mnapenda msipo pendeka pia
Hahahaha mzee unaingia gharama kubwa unakuta kifaa mashine ovyo kabisa
kaka, mimi si-clii hata angekuwa kim khardashian.. Watoto mbona wako wengi tu, na wengine wanabalehe right this minute..
Demu anayenileta bili au kutaka vocha sijui mazagazaga gani huyo ndio asahau.that will be the last time she hear from me..labda akiwa nke au nchumba wangu ndio ntafikiria kidogo...maana hapo najua nna hisa..Hahahaha sasa hapo ulikuwa umekolea kwa toto moja na ndo linakuletea bill ya aina hiyo ni kukupima upepo tu.
kumbe kuna klasifikeshen ya wasichana
Hata hao wa kupiga na kuondoka,angalia na standard yako,kuna mwanaume mwingine unajiuliza hizo guts za kusogea karibu na yule dada katoa wapi???Umezoea kulipia guest house 5000,mwenzio kama akilala sehemu cheap ni dola 600,in short mnaboa....hamna cha kuonyesha urijali wala uhanithi,angalia na unayemtafuta hata kama ni part time ndo maana kuna wasichana wa kila hali......:Cry:
Leo umenifurahisha waongea mapoint tu mwaya, inaonyesha w'end hii umekula chakula cha asubuhi mchana na usiku pamoja na familia
Unajidai hujui,we huko uswahilini unatafuta nini kama si hao wa gharama nafuu??tunaweza kuwa tumefanana maumbile yanayotutofautisha na nyie but we differ in so many aspects,hata wanaume nao wana classification zao????
Hivi jana pale MULEBA BAR - Mabibo umeondoka saa ngapi? Maana wao music ni DVD "Live"!
Ikivuka ten ujue umeibiwa! Sana sana 8200/- watu wawili bia mmelewa sana na Kuku Mzima!
Hao wanaolipa wanalipa kwa sababu ya unyonge...maana hawana gemu zaidi ya kuhonga. *tena pesa yenyewe ya kukopa ofsini, uwiii*hahaa,umenichekesha sana. Wenzako wanalipa tu wala hawajali. Sasa hao wanaobalehe leo si kuwaonea tu jamani.
Demu anayenileta bili au kutaka vocha sijui mazagazaga gani huyo ndio asahau.that will be the last time she hear from me..labda akiwa nke au nchumba wangu ndio ntafikiria kidogo...maana hapo najua nna hisa..
Unajidai hujui,we huko uswahilini unatafuta nini kama si hao wa gharama nafuu??tunaweza kuwa tumefanana maumbile yanayotutofautisha na nyie but we differ in so many aspects,hata wanaume nao wana classification zao????
hivi huwa mnafuata nini huko?
mpaka kufikia kupewa bills zote hizo,
huwa najiuliza wana nini cha maana hao mpaka uingie mfukoni kiivyo?
kama shida yako ni kugusa na kusepa, then taabu yote ya nini hiyo?
nagonga kisha nasepa,
kwakuwa kwa mtaji huu wa kunifyonza,nikisema nikugande tu...........
unaweza ninyonya mpaka damu!
hamna huruma nyinyi!!!!!!!!!
akisubiri mpaka ufanikiwe invoice itakuwa ya nini?Jamani kuna tabia ya mademu inanibore sana. Yani mara baada ya kumu approach hata hujafanikiwa ana anza kurusha invoice. Tabia hii ni mbaya na inauzi sana wanaume kwahiyo muache kupiga invoice kabla. Muwe tu wavumilivu you will be taken care.
tukaribishane wakuuUnajua pale ni winga nzuri la timing foleni ubungo
Yule mhudumu bonge anahudumia vizuri hata kupangusa meza anafanya vizuri sana.
usidanganyike michelle,
wanawake wote mnafanana tu,
uzuri wanaume hatudanganyiki na mwonekano wenu wa nje!!!
Nasemea wale wanaume ambao tunajiamini kwasana tu hii ndo falsafa yetu!!!!!!!
Yote ni maisha,kila mtu ana haki ya kuamua analotaka na kulifanya.
Kupendwa tusiko pendwa hata nyie mnafanya hivyo si ishu,ni sehemu ya maisha yetu binadamu.......:car:
Hata hao wa kupiga na kuondoka,angalia na standard yako,kuna mwanaume mwingine unajiuliza hizo guts za kusogea karibu na yule dada katoa wapi???Umezoea kulipia guest house 5000,mwenzio kama akilala sehemu cheap ni dola 600,in short mnaboa....hamna cha kuonyesha urijali wala uhanithi,angalia na unayemtafuta hata kama ni part time ndo maana kuna wasichana wa kila hali......:Cry: