Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua pale ni winga nzuri la timing foleni ubungo
Yule mhudumu bonge anahudumia vizuri hata kupangusa meza anafanya vizuri sana.
kama gabrielle union na johari l.o.l
Yaani hata ya kubip huwezi mpa? Unaweza ukawa na miahadi nae sasa akifika mawasiliano si unajua muhimu lazima umtumie kidogo ka vocha mm huwa sizidishi saidi ya 400/= najua kubip na kutuma sms inatosha. Ila mm nachukia sana nikiombwa vocha aaaah mm najaza jelo jelo sasa mtu anakuomba tena dah
Unajidai hujui,we huko uswahilini unatafuta nini kama si hao wa gharama nafuu??tunaweza kuwa tumefanana maumbile yanayotutofautisha na nyie but we differ in so many aspects,hata wanaume nao wana classification zao????
Aah,na nyie huwa mnazidi bwana wacha mchunwe tu. Sasa ww unamtongoza msichana kwa mbwembwe unategemea nn! Wengine mpaka mnaazima na magari ya watu ili uonekane unazo! Sasa yote hayo ya nn! Acheni kujikwezaaaaa
yap na utambue pia SI KILA MWANAMKE AKIKUKUBALI AMEKUPENDA...Mwingme anataka kutimiza ANDIKO LA MWANAUME NI KICHWA NA ANA WAJIBU WA KUMTUNZA MWANAMKE..Naomba nikukumbushe kidogo michelle,
sio kwmba kila mwanaume anapomtongoza mwanamke ,
basi huwa amependa, au ana mapenzi nae,
mara nyingi wanaume wanataka kutimiza wajibu wao wa urijali tu!,
ndo maana akiona unakuja na bills zako ambazo hazina mpango, anasepa anaenda kwingine!!!!
tukaribishane wakuu
naomba vocha wewewe.....:smile-big:Unaeza mpa hiyo ela ya vocha kumbe anakutumilia tu, ana njemba yake pembeni ambayo anaona ana fyucha nayo..wewe washika pembe kwa juhudi zote kumbe tawba maskini ya mmngu vyako vyaliwa na wenye meno..Mie hata jero stoi! kama anaona mapenzi yetu yana maana atajigharamikia, kama vipi asepe!
Unajua pale ni winga nzuri la timing foleni ubungo
Yule mhudumu bonge anahudumia vizuri hata kupangusa meza anafanya vizuri sana.
Unaeza mpa hiyo ela ya vocha kumbe anakutumilia tu, ana njemba yake pembeni ambayo anaona ana fyucha nayo..wewe washika pembe kwa juhudi zote kumbe tawba maskini ya mmngu vyako vyaliwa na wenye meno..Mie hata jero stoi! kama anaona mapenzi yetu yana maana atajigharamikia, kama vipi asepe!
...dah ebu nenda.....nenda mwana kwenda...
Wanawake wote wako sawa tu - tofauti ni-aproach ya mwanaume! Kuna wanawake ambao nilikuwa naona matawi lakini ukimu-aproach unaweza kukuta hata ile gesti ya panorama karibu na Meeda Bar sinza inamtosha - tena short time!
Nimekutana mpaka wanawake ambao wakitongozwa wanaume wanawapeleka Dubai ku-do, lakini mimi huwa nawapeleka PR Sinza!
Katika swala na ku-do ALL WOMEN ARE EQUAL![/QUOTE]
:Cry::Cry:
we mrongo sjapata ona..
Sure - Halafu mtu eti analetewa INVOICE - Badala ya kupita mitaa ya uswazi na kupata "original"! Kuna yule mwingine "tolu" amejikoroga kidogo du! Usisahau kunipigia ukifika Rombo wiki hii siku yoyote!
Wanawake wote wako sawa tu - tofauti ni-aproach ya mwanaume! Kuna wanawake ambao nilikuwa naona matawi lakini ukimu-aproach unaweza kukuta hata ile gesti ya panorama karibu na Meeda Bar sinza inamtosha - tena short time!
Nimekutana mpaka wanawake ambao wakitongozwa wanaume wanawapeleka Dubai ku-do, lakini mimi huwa nawapeleka PR Sinza!
Katika swala na ku-do ALL WOMEN ARE EQUAL!
Ntakusaidia kukuonesha zinapouzwa..msaada huo ntatoa BURE..lolnaomba vocha wewewe.....:smile-big:
yap na utambue pia SI KILA MWANAMKE AKIKUKUBALI AMEKUPENDA...Mwingme anataka kutimiza ANDIKO LA MWANAUME NI KICHWA NA ANA WAJIBU WA KUMTUNZA MWANAMKE..
naomba vocha wewewe.....:smile-big:
Yaani hata ya kubip huwezi mpa? Unaweza ukawa na miahadi nae sasa akifika mawasiliano si unajua muhimu lazima umtumie kidogo ka vocha mm huwa sizidishi saidi ya 400/= najua kubip na kutuma sms inatosha. Ila mm nachukia sana nikiombwa vocha aaaah mm najaza jelo jelo sasa mtu anakuomba tena dah
kumbe mnatuclassify eeeeh? mnatumia criteria gani?