bacha
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 4,282
- 797
Huo unakua ni ujinga wako mwenyewe kilikusibu kipi ukahonga weeeeeeeeeeeeeee kabla hujapata unachotaka? babu yangu huwa asema huduma nzuri malipo mazuri. Tatizo lenu huwa mnahadaika sana mkiona mwanamke mzuri mnadhani na uko kuzuri ndio unahonga mpaka halafu ukienda uko unakutana na bwawa halafu la baridiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii mkome
Si ndio maana Maty,
mi napendaga swahili.com,
kule hakuna longo longo bana!!!!!!