wasichana wanabore sana


Si ndio maana Maty,
mi napendaga swahili.com,
kule hakuna longo longo bana!!!!!!
 
Utajiju.....quality not guaranteed,na hapo ni ngumu kupima inawezekana kitu nzuri tu sema unauona hai-worth hiyo gharama uliyojitutumua ukatoa.....ha ha ha ha,mi penda hii!
Hapo ndo tunasema utajibeba,ujifunze!:A S 27:

Oraiti, msisitizo ni kwamba,
gharama iendane na ubora wa huduma wajameni!!!!!!!!kha..........
 
Mzee hawa watoto wa mboga saba wanaweza kukufilisi yaani wine za buku 25???

we acha tu, kisha unapewa kwa kubeep,
Kwenye mind yako unajua kabisa hapo mpo wanaume kibao,
kujishaua kunakuwa kwingi utafikiri anayaweza, kumbe lol......
utajuta kumfahamu!!!!!!
 

Baba Enock,nitake radhi.....

ungeniuliza nilikozaliwa,hapa tunaelimishana si kwamba nachoongea kina reflect mimi nilivyo,lets not take it personal
Am a very normal girl,nimezaliwa Shinyanga vijijini na nimekulia huko,kusoma nimesoma kwa hela ya baba yangu si kwa schorlaship(that one am proud of) ila kwenye kujadili ishu kama hizi tunapeana ma-experience tu,usinione matawi ambayo siko.....natumai umenielewa.

Kwa mtizamo wangu wasichana wazuri wako kokote si uswazi tu,hata shinyanga,iringa,sumbawanga,dodoma,arusha, kuna wasichana wazuri sana........uzuri is a relative term,huwezi mdanganya yeyote kuwa uswazi tu ndo kwenye wanawake wazuri,maybe kwingine kuna wanawake wazuri but you can not access them,na sina maana ya uwezo wa kifedha pengine distance..............lol
 
Oraiti, msisitizo ni kwamba,
gharama iendane na ubora wa huduma wajameni!!!!!!!!kha..........

Mi quality ya k... yangu naijuaje?? wewe unayeitumia ndo waweza jua.......lol
 
Oraiti, msisitizo ni kwamba,
gharama iendane na ubora wa huduma wajameni!!!!!!!!kha..........

Hii sentensi imemaliza mjadala! Normally wale "high-class" ladies gharama inakuwa "inverse propotional" na huduma!

Unampeleka Giraffe lakini unachokikuta ni "way below the expectations"! Akishaondoa "Wigi" na kuondosha "Jeans" na "Top" kinachobakia ni "please try again later"! Usiku kucha unakuwa unawaza what the hell did I pay for $350.00??
 
Dah akiingia jamaa na gia ya buku 10 si mambo yanakuwa bam bam anae honga pakubwa ndo anakuwa wa kwanza kufikiliwa

eeh yaan nawehuka kabisa..ukinipa elfu kumi dahh..ntakushukuru na ntakuandikia mchanganuo wa matumizi..
 
Oraiti, msisitizo ni kwamba,
gharama iendane na ubora wa huduma wajameni!!!!!!!!kha..........

Hahahaaaa ila uongo zambi wadada wa uswahilini wana mambo usiombe mmeo/bf wako akapata mdada wa uswazi utakimbiwa mazima huduma nzuri gharama ndogo, mi ilishawahi nitokea enzi hizo ikabidi nijichimbie mitaa ya manzese wiki kujifunza maujuzi tena kwa kibibi na mjukuu wake kwa kibanda cha udongo mwe!! maisha haya acha kabisa
 
unaona sasa,
hebu waambie hawa wakina Michelle na Maty,
huduma ndo inayokimbiliwa hapa!!!!!!!

Uchokozi Bacha umeanza,Michelle kafanya nini??
mi nimekuambia kama uswazi ndiko panakokufaa nenda baba,shida iko wapi???
Huduma popote kinachotofautiana ni watoa huduma.....:car:
 
fidel we kiboko,watu wanatuma vocha 30000 20000 we 250 tu mpaka uwe na miadi!

Mkuu mm jasho langu haliliwi hivi hivi kilaini mpaka niwe na miahadi nae ndo nampa angalau hiyo vinginevyo ataishia kutuma meseji za p'se reacharge me bila mafanikio mtu mzima nimekula jiwe
 

hahahahaaaa lol watu mmeamua kuanzia leo nahamia uswazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…