Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiwa mikononi mwangu amini uko salama kabisaKwendaaa
ha ha haMzee wa kunusa au kanisa?
Hapa hatuzungumzii K sasaWafupi K zao zimebana
Amina mungu akulinde unapo😴😴Ngoja 'nikarare' muwe na usiku mwema matolu wote
Tolu kweli wewe?Ngoja 'nikarare' muwe na usiku mwema matolu wote
Uzuri bila K tamu ni bure tu!Hapa hatuzungumzii K sasa
Kwa mujibu wa mada yako mi ni tolu 🤣Tolu kweli wewe?
bado mkuu saiv nimeamua tu kununua pampas mambo yasiwe mengiHujapona tu, 🤣🤣
Wazuri sana sema mwanamke akishakuzidi kimo hata kumtongoza unaona jauwarefu wazuri sanaa
Aiseee 😂😂😂Wazuri sana sema mwanamke akishakuzidi kimo hata kumtongoza unaona jau
Ushaharibu uzi wewe K tenaWafupi K zao zimebana
Msiogope 😅😅Wazuri sana sema mwanamke akishakuzidi kimo hata kumtongoza unaona jau
😘warefu wazuri sanaa
lakini mtashangaa mtu kama huyu anakufa masikini kwa kushindwa kuziona fursa..... umeweza kuangalia wanawake 200+ ulichoona ni umbo tu mbali na hapo ubongo wako umezezeteka ukiambiwa fursa ya biashara au maendeleo kwenye hao 200+ huna ujualo kwakua ubongo wako umeuelekeza kwenye mambo yatakayo kudidimiza kiuchumi na hii imeanzia kwa wazazi wako.... alafu mtailaumh serikali japo ina matumizi ya kifahari ila yanasababishwa na mbuzi kama hizi zinazo meeee hapa jfAnyway leo nimekaa mahali penye umati wa watu wengi kidogo.
Katika kutizama kwangu, nikawa nimeishia kukagua maumbo ya wanawake na sura zao.
Hitimisho.
Kati ya wanawake 258 niliowatazama kwa kuwahesabu.
60 walikuwa warefu wa wastani-Wazuri wakawaida.
72 Walikuwa wafupi kidogo - Uzuri mchanganyiko (weupe na wanene kidogo) waliongoza kwa uzuri.
50 Walikuwa wafupi wembamba not attractive.
36 Walikuwa wafupi wanene wanavutia kidogo ila sio sana.
40 Walikuwa warefu, na wote walikuwa wazuri.
Nani alishaona mwanamke mrefu m'baya wa sura na umbo? (Hakuna)
NB: Urefu ni kuanzia FT 5.5 na kuendelea.
Anyway I have daughters, wife and my mothers. Tathmini hii inawahusu wote.
Kwani we ni mrefuu?Msiogope 😅😅