Mbona POVU mkuu shida nn 😂😂😂😂lakini mtashangaa mtu kama huyu anakufa masikini kwa kushindwa kuziona fursa..... umeweza kuangalia wanawake 200+ ulichoona ni umbo tu mbali na hapo ubongo wako umezezeteka ukiambiwa fursa ya biashara au maendeleo kwenye hao 200+ huna ujualo kwakua ubongo wako umeuelekeza kwenye mambo yatakayo kudidimiza kiuchumi na hii imeanzia kwa wazazi wako.... alafu mtailaumh serikali japo ina matumizi ya kifahari ila yanasababishwa na mbuzi kama hizi zinazo meeee hapa jf
🤣🤣🤣🤣🙌binafsi binti mfupi na mwembamba sina msada nae
Mithili ya rwanda sura ndo ya Tz ,we mfupi😆Kwani we ni mrefuu?
Waoooh awesome, me mreeefuu sana tuMithili ya rwanda sura ndo ya Tz ,we mfupi😆
tukisema uhalisia unasema povu.... endeleeni kulalamika pesa hakuna ila tukisema akili hamna mnaona povuMbona POVU mkuu shida nn 😂😂😂😂
Ila Umeongea ukweli mkuutukisema uhalisia unasema povu.... endeleeni kulalamika pesa hakuna ila tukisema akili hamna mnaona povu
OkayWaoooh awesome, me mreeefuu sana tu
😂😂😂😂lakini mtashangaa mtu kama huyu anakufa masikini kwa kushindwa kuziona fursa..... umeweza kuangalia wanawake 200+ ulichoona ni umbo tu mbali na hapo ubongo wako umezezeteka ukiambiwa fursa ya biashara au maendeleo kwenye hao 200+ huna ujualo kwakua ubongo wako umeuelekeza kwenye mambo yatakayo kudidimiza kiuchumi na hii imeanzia kwa wazazi wako.... alafu mtailaumh serikali japo ina matumizi ya kifahari ila yanasababishwa na mbuzi kama hizi zinazo meeee hapa jf
😂😂😂😂
Angalia usife tu bado unahitajikabado mkuu saiv nimeamua tu kununua pampas mambo yasiwe mengi
Inawezekana nafika na kuzidi😄😄😄
Utakuwa huna mvuto kwa mujibu wa mleta mada, halafu kwa breeding pia hufai🤣🤣😂😂😂😂
Mie kaemolo.
Kwa mujibu wa mleta mada wewe una mvuto, halafu kwa maono yangu unafaa kwa ajili ya kutengeneza breeds mpya, tunataka tupunguze idadi ya wapare wafupi🤣🤣🤣Inawezekana nafika na kuzidi😄😄😄
Watu wafupi wauawee🤣🤣🤣Utakuwa huna mvuto kwa mujibu wa mleta mada, halafu kwa breeding pia hufai🤣🤣
Haiombwagi hivyo Shem Bae🤣🤣🤣Kwa mujibu wa mleta mada wewe una mvuto, halafu kwa maono yangu unafaa kwa ajili ya kutengeneza breeds mpya, tunataka tupunguze idadi ya wapare wafupi🤣🤣🤣
Tunaanza na wewe, chini ya 5 inabidi tumalizane na nyie🤣🤣Watu wafupi wauawee🤣🤣🤣
Hahahaa🤣🤣🤣 una D mbili!Haiombwagi hivyo Shem Bae🤣🤣🤣
Ninazo Ila moja ya Religion🤣Hahahaa🤣🤣🤣 una D mbili!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ninazo Ila moja ya Religion🤣