Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 3,076
- 5,483
Nile kwa style gani Kapeace πMi nataka wifi mtu sio sabuni, kula k kijana
FactAnyway leo nimekaa mahali penye umati wa watu wengi kidogo.
Katika kutizama kwangu, nikawa nimeishia kukagua maumbo ya wanawake na sura zao.
Hitimisho.
Kati ya wanawake 258 niliowatazama kwa kuwahesabu.
60 walikuwa warefu wa wastani-Wazuri wakawaida.
72 Walikuwa wafupi kidogo - Uzuri mchanganyiko (weupe na wanene kidogo) waliongoza kwa uzuri.
50 Walikuwa wafupi wembamba not attractive.
36 Walikuwa wafupi wanene wanavutia kidogo ila sio sana.
40 Walikuwa warefu, na wote walikuwa wazuri.
Nani alishaona mwanamke mrefu m'baya wa sura na umbo? (Hakuna)
NB: Urefu ni kuanzia FT 5.5 na kuendelea.
Anyway I have daughters, wife and my mothers. Tathmini hii inawahusu wote.
Huu ushauri HAPANA AISEE ππMi nataka wifi mtu sio sabuni, kula k kijana
Tumefikiwa japo Mimi ni mmamaAnyway leo nimekaa mahali penye umati wa watu wengi kidogo.
Katika kutizama kwangu, nikawa nimeishia kukagua maumbo ya wanawake na sura zao.
Hitimisho.
Kati ya wanawake 258 niliowatazama kwa kuwahesabu.
60 walikuwa warefu wa wastani-Wazuri wakawaida.
72 Walikuwa wafupi kidogo - Uzuri mchanganyiko (weupe na wanene kidogo) waliongoza kwa uzuri.
50 Walikuwa wafupi wembamba not attractive.
36 Walikuwa wafupi wanene wanavutia kidogo ila sio sana.
40 Walikuwa warefu, na wote walikuwa wazuri.
Nani alishaona mwanamke mrefu m'baya wa sura na umbo? (Hakuna)
NB: Urefu ni kuanzia FT 5.5 na kuendelea.
Anyway I have daughters, wife and my mothers. Tathmini hii inawahusu wote.
Mmama tolu?Tumefikiwa japo Mimi ni mmama
πππbinafsi binti mfupi na mwembamba sina msada nae
π€£π€£Kila msichana ni mzuri kwa anayemvutia, wengine vi Short chassis ndio zetu, tena awe na kigoda acha kabisa
Am short ila kigoda ninachoMbona unalia sweery
Waoooh kumbe napendaga wa hivo miee ππAm short ila kigoda ninacho
sio mbayaAm short ila kigoda ninacho
ππna vinyama pembeniWaoooh kumbe napendaga wa hivo miee ππ
πsio mbaya
Aiiiih kama nakuona vileeeππna vinyama pembeni
Aiiiih kama nakuona vile