na nyie mmezidi acha tu mpigwe za uso mkichuniwa hankomi, na washajua njia yakuwafukuza ni kuomba hela tu
HahahaWana swaga za kishamba na njaa kali ukimsalimia tu anageuka yatima anakufanya foundition au NGOs wanajiabisha kwakweli. Swagga hizo wakawale wengine lakini sio hapa mjini Dar es Salaam, wamefeli wabadilike.
View attachment 575694
View attachment 575695
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha midekoo njoo nikudekezeSasa kama ana shida kuombwa 15000 unatangaza ukiombwa mil si utafunga unaomba show huangalii muda mliokutana wewe utakuwa wakiume sio mwanaume.
HahaSi bora huyo 15000
Mimi niligundua mwanaume wa mtandaoni ukitaka umkatae kijanja mpe jiwe
huwa sikukatai ila ukisogea tu naanza na iphone [emoji23]
Wengi huishia matusi tu....mie roho yangu burudanii
Akufukuzae hakwambii toka! JIongeze dogo