Wasichana wengi mitandaoni njaa, ukimcheki tu anakulilia shida

Wasichana wengi mitandaoni njaa, ukimcheki tu anakulilia shida

Hawa wameshatufanya sisi baba zao eehh

Sent using Jamii Forums mobile app
Si muache kutongoza kwani wanawafuata majumbani kwenu nyie vipi.[emoji44] unapeleka mwenyewe nani zenu kisha mnalia lia kama huna pesa za kuhonga si piga sijui nini hiyo kuliko kudhalilisha dada zetu kama wewe huna ni wewe wenzenu wana nunua mpaka magari nyumba zinajengwa sasa wewe 15000 mpaka mkojo aibu tu ukiingia city hiyo 15 unatoka na nini [emoji41] [emoji41] [emoji41]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
c753a990067b3dcaac14e39e9a2cc218.jpg


Yaani hapo kuchat nae tu kanipiga mzinga. Na wapo wengi sana kwenye Badoo. Kama kila siku akiomba wanaume watano elfu 10 kila.mmoja manake ana kipato kikubwa kuliko mwalimu mkuu!

Majibu yangu mwenyewe alikubali akapotea[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Na mume ukaitwa[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] walivyo wajinga wanaishia kuvaa tu vizuri

sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
 
Umeombwa elfu 15,000 unatangaza jf, ukiombwa laki 5 si utaomba airtime redioni au kwenye luninga ujieleze

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani kuna Wanaume wa ajabu sana.
Elfu 15 anaifungulia Thread.
Maskini Dada wa Watu angejua kafunguliwa thread??! Sasa MTU kakupata Wewe amekatikiwa umeme ghafra si ndo Wewe upo umsaidie?? Eti kakugeuza Baba kwani hamjui tukiwapata Ni kama replacement ya Baba.
Acha woga mwanaume halisi hawi hivyo.
Eti Ni mapema sana.
Mbona naniliuuuu hukuona Ni mapema??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na mume ukaitwa[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] walivyo wajinga wanaishia kuvaa tu vizuri

sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
Mliitwa kuwafuata??,jamani mbona nyie wakaka hamjielewi.Ngoja niwafungulie Thread!niwaseme mana this is too much to handle

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na ndio hao hata ndoa zimekua ngumu upande wao,wee unataka mchumba,umempata badala uvute walau kamda kidogo unaanza kupiga mizinga haina hata afya,kuna jamaa yangu alikuwa amekazimika kademu fulani ka kichaga,na alikuwa amepania kuwa kama ntapata demu mwenye bright future this year(2017) nataka kuoa kabisa maana umri umeenda,ssa kakapata hako kademu ka kichaga ikawa anataka kakakatngazie habari njema kwao,basi akawa yuko nako tu kawaida,siku kakamuomba Tsh 20000,jamaa akakapa 17000 nyingine kakaambia nikipata ntakuongezea,hahahah hiyo dai yake ilikuwa sio ya kitoto yaani akiwa kazini,kijiweni kila text inayoingia inahusu hiyo buku 3,sasa bora kaombe kwa ustaarabu! kanatoa povu hatar,jamaa kaona isiwe tabu wewe nakula mzigo tu kisha tembea jamaa kaghairi na plan zingine
 
na nyie mmezidi acha tu mpigwe za uso mkichuniwa hankomi, na washajua njia yakuwafukuza ni kuomba hela tu
 
Back
Top Bottom