Wasichana wengi mitandaoni njaa, ukimcheki tu anakulilia shida

Wasichana wengi mitandaoni njaa, ukimcheki tu anakulilia shida

Vivulana viko vingi! Wanaume hawalii ku-provide.
Ukiweza kujibu the meaning of being a men. ...hutarudia kuleta na kujaza seva kwa maneno yasiyona mashiko.
ROLE YA MWANAUME NI NINI? ?Ndiyo maana mashoga NI wanaume wasiojua majukumu ya kiume.
Kama unaona huwezi subiri ukiwa mwanaume ndipo utafute mwanamke. ..acha uasherati subiri ukioa ambapo NI umri sahihi wa uanaume hutaona shida kumuhudumia mwanamke kwani automatically utaprovide na wala hutaona kwamba siyo kazi yako
Duuh kwa hiyo shule ndo umefundishwa role ya mwanaume ni kuhonga eehh?
Basi vizur
 
Lakini wanawake ss hiv, aiseeeh!!! Shida kwa kweli, njaa too much, halaf isitoshe nikiomba mzigo raha tunapata wote, mi nahic wavulana tukomae tu, kama manzi ni michosho mpotezeee, tuwaachie wapenda sifa wanaojitia wanaume, wahudumie tuone kama wanafika kokote, isiwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wana njaa balaa

Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
 
Njaaa unayo wewe unaeshinda huko kwenye mitandao na hao wanaokuomba pesa..... Mimi si wa hivo unavodhani....hao low class unaowala viboga kwenye hiyo mitandao yako pendwa,usiwafananishe na Mimi tafadhali...... pambana na vinuka mkojo wako wa huko mitandaoni mkuu not me [emoji112]
dah umempa makavu ya nguvu mpaka naogopa
 
Duuh kwa hiyo shule ndo umefundishwa role ya mwanaume ni kuhonga eehh?
Basi vizur
kuhonga na kutoa yote ni UANAUME. Bado nasema wee ni kivulana. kwanini umtake msichana wakati hujui kuhudumia?Funga zipu usubiri ukiwa na ndevu...acha kulia dogo!
 
Mwaka huu tutakoboa sana hizi mboga, juzi tu nimeipakua moja kwa shida yake ya elfu 10[emoji13] [emoji13] [emoji13]
Tena na ta.ko wapewa ukitaka

sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
 
Si bora huyo 15000
Mimi niligundua mwanaume wa mtandaoni ukitaka umkatae kijanja mpe jiwe
huwa sikukatai ila ukisogea tu naanza na iphone [emoji23]
Wengi huishia matusi tu....mie roho yangu burudanii
Akufukuzae hakwambii toka! JIongeze dogo
Hahahahahaha bonge ya mbinu na huwa haturudi kamwe

sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
 
c753a990067b3dcaac14e39e9a2cc218.jpg


Yaani hapo kuchat nae tu kanipiga mzinga. Na wapo wengi sana kwenye Badoo. Kama kila siku akiomba wanaume watano elfu 10 kila.mmoja manake ana kipato kikubwa kuliko mwalimu mkuu!

Majibu yangu mwenyewe alikubali akapotea[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuhonga na kutoa yote ni UANAUME. Bado nasema wee ni kivulana. kwanini umtake msichana wakati hujui kuhudumia?Funga zipu usubiri ukiwa na ndevu...acha kulia dogo!
Shukuru sana mungu.ngoja nikuhifadhi
 
Back
Top Bottom