Wasichana wengi mitandaoni njaa, ukimcheki tu anakulilia shida

Wasichana wengi mitandaoni njaa, ukimcheki tu anakulilia shida

Si bora huyo 15000
Mimi niligundua mwanaume wa mtandaoni ukitaka umkatae kijanja mpe jiwe
huwa sikukatai ila ukisogea tu naanza na iphone [emoji23]
Wengi huishia matusi tu....mie roho yangu burudanii
Akufukuzae hakwambii toka! JIongeze dogo
Hakuna habari ya mtandaoni wala nini. Njaa ni kali sana kwa wanawake walio wengi. Kwa ujumla hii ni aibu kubwa sana
 
[emoji23][emoji23][emoji23] mapovu yanawatoka yaani kuna demu niliomba zigo akaelewa kutaka kupakua app akasingizia ngoja amalize pepa nikatulia siku....hiyo hiyo akaomba hela ya kusukia nikamkadiria nikampa kidogo baada ya siku kamaliza pepa nikaenda kumpitia chuo tukapitia kkoo kwenda home anasema hajajiandaa siku ingine mara bado mapema nikamwambia mbona khs vocha,hela ya kusuka hukusubiri upite mwaka ndo uanze kuomba?huku wiki moja nyuma kashaomba hela ya mkoba, bando la chuo ndo usiseme na mm kila alichoomba nikawa namwambia mwisho wa mwezi [emoji23][emoji23][emoji23] nilimtelekeza kkoo hata nauli sikumpa alitukana kinoma nikamwambia mbwa kala mbwa

Sent using Jamii Forums mobile app
mamaee mpaka wnyooke[emoji35] [emoji35]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wasichana ni wadogo zetu tuwapende tuwathamini na tuwalinde

Mtoa mada huna Dada?

Kama unae jua nae anaomba hivyo hivyo !

Hawa watu ni wenzetu wengi ni wavivu wa kutafta hela so kama unakuwa nayo MPE tu usimnyime

Najua wengi hawana mapenzi ya dhati ila nadhani wanaume kama wew mtoa mada ndo mnafanya wasiwe na mapenzi ya dhati

Ukimpa hela siyo lazima akupe papuchi !wew MPE tyu zijae pochi hio papuchi ataitoa mwenyew bila hata kuomba

Ila kama una hela za mawazo ndo pale unapoombwa na kujibu bado mapema ukiogopa kuliwa na usipate kitu

Najua wavulana wengi vihela vyetu ni vya kuunga unga hasa kama huna kazi yakueleweka ila Acheni ubahili toeni hela tupate heshima Kwa warembo wetu kwani hawa ndo pumziko LA nafsi zetu

NAWAPENDA WANAWAKE WOTE POPOTE MLIPO AGIZENI NITALIPA KWA BLUETOOTH


acha uongo
 
Wasichana ni wadogo zetu tuwapende tuwathamini na tuwalinde

Mtoa mada huna Dada?

Kama unae jua nae anaomba hivyo hivyo !

Hawa watu ni wenzetu wengi ni wavivu wa kutafta hela so kama unakuwa nayo MPE tu usimnyime

Najua wengi hawana mapenzi ya dhati ila nadhani wanaume kama wew mtoa mada ndo mnafanya wasiwe na mapenzi ya dhati

Ukimpa hela siyo lazima akupe papuchi !wew MPE tyu zijae pochi hio papuchi ataitoa mwenyew bila hata kuomba

Ila kama una hela za mawazo ndo pale unapoombwa na kujibu bado mapema ukiogopa kuliwa na usipate kitu

Najua wavulana wengi vihela vyetu ni vya kuunga unga hasa kama huna kazi yakueleweka ila Acheni ubahili toeni hela tupate heshima Kwa warembo wetu kwani hawa ndo pumziko LA nafsi zetu

NAWAPENDA WANAWAKE WOTE POPOTE MLIPO AGIZENI NITALIPA KWA BLUETOOTH


acha uongo
Nina mashaka na mtazamo(ushauri) wako kama unaweza kuwa positive kwa vijana,I thik ni destructive rather than constructive.
 
Nina mashaka na mtazamo(ushauri) wako kama unaweza kuwa positive kwa vijana,I thik ni destructive rather than constructive.
we nae hujaelewa tu kama ni promo at work..... lol

me nae nitasutwa sasa [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]

Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
 
FB_IMG_15032027079447973.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si bora huyo 15000
Mimi niligundua mwanaume wa mtandaoni ukitaka umkatae kijanja mpe jiwe
huwa sikukatai ila ukisogea tu naanza na iphone [emoji23]
Wengi huishia matusi tu....mie roho yangu burudanii
Akufukuzae hakwambii toka! JIongeze dogo
[emoji28] [emoji28] [emoji28] nimekumiss dogo, nichek watsap no yako sijui imekuaje siioni
 
we nae hujaelewa tu kama ni promo at work..... lol

me nae nitasutwa sasa [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]

Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
Jiandae mdogo wangu. [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom