Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
[emoji36] [emoji36] [emoji36]Yani wanaume wanazidi kupungua kwa kasi sana wanabaki wavulana tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji36] [emoji36] [emoji36]Yani wanaume wanazidi kupungua kwa kasi sana wanabaki wavulana tu
Kaka Na Dada karibuBado hata tuwe marafiki wa hiyari yaan ile dada na kaka hauwezi jua huko mbelen mambo yakabadilika[emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Twende kwenye kundi letu la whatsapp tukapige story...
Yawezekana alikuwa anachart na mwanaume mwenzie katumia magic voiceSasa kama ana shida kuombwa 15000 unatangaza ukiombwa mil si utafunga unaomba show huangalii muda mliokutana wewe utakuwa wakiume sio mwanaume.
Hakuna habari ya mtandaoni wala nini. Njaa ni kali sana kwa wanawake walio wengi. Kwa ujumla hii ni aibu kubwa sanaSi bora huyo 15000
Mimi niligundua mwanaume wa mtandaoni ukitaka umkatae kijanja mpe jiwe
huwa sikukatai ila ukisogea tu naanza na iphone [emoji23]
Wengi huishia matusi tu....mie roho yangu burudanii
Akufukuzae hakwambii toka! JIongeze dogo
Hawajastuka...watakuchukia siku wakijua ukweliwe huna hela wenzio wakiombwa wanatoa double
mamaee mpaka wnyooke[emoji35] [emoji35][emoji23][emoji23][emoji23] mapovu yanawatoka yaani kuna demu niliomba zigo akaelewa kutaka kupakua app akasingizia ngoja amalize pepa nikatulia siku....hiyo hiyo akaomba hela ya kusukia nikamkadiria nikampa kidogo baada ya siku kamaliza pepa nikaenda kumpitia chuo tukapitia kkoo kwenda home anasema hajajiandaa siku ingine mara bado mapema nikamwambia mbona khs vocha,hela ya kusuka hukusubiri upite mwaka ndo uanze kuomba?huku wiki moja nyuma kashaomba hela ya mkoba, bando la chuo ndo usiseme na mm kila alichoomba nikawa namwambia mwisho wa mwezi [emoji23][emoji23][emoji23] nilimtelekeza kkoo hata nauli sikumpa alitukana kinoma nikamwambia mbwa kala mbwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee umetisha mkuu kwa majibu yako big up.Wana swaga za kishamba na njaa kali ukimsalimia tu anageuka yatima anakufanya foundition au NGOs wanajiabisha kwakweli. Swagga hizo wakawale wengine lakini sio hapa mjini Dar es Salaama, wamefeli wabadilike.
View attachment 570099 View attachment 570101
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina mashaka na mtazamo(ushauri) wako kama unaweza kuwa positive kwa vijana,I thik ni destructive rather than constructive.Wasichana ni wadogo zetu tuwapende tuwathamini na tuwalinde
Mtoa mada huna Dada?
Kama unae jua nae anaomba hivyo hivyo !
Hawa watu ni wenzetu wengi ni wavivu wa kutafta hela so kama unakuwa nayo MPE tu usimnyime
Najua wengi hawana mapenzi ya dhati ila nadhani wanaume kama wew mtoa mada ndo mnafanya wasiwe na mapenzi ya dhati
Ukimpa hela siyo lazima akupe papuchi !wew MPE tyu zijae pochi hio papuchi ataitoa mwenyew bila hata kuomba
Ila kama una hela za mawazo ndo pale unapoombwa na kujibu bado mapema ukiogopa kuliwa na usipate kitu
Najua wavulana wengi vihela vyetu ni vya kuunga unga hasa kama huna kazi yakueleweka ila Acheni ubahili toeni hela tupate heshima Kwa warembo wetu kwani hawa ndo pumziko LA nafsi zetu
NAWAPENDA WANAWAKE WOTE POPOTE MLIPO AGIZENI NITALIPA KWA BLUETOOTH
acha uongo
we nae hujaelewa tu kama ni promo at work..... lolNina mashaka na mtazamo(ushauri) wako kama unaweza kuwa positive kwa vijana,I thik ni destructive rather than constructive.
[emoji28] [emoji28] [emoji28] nimekumiss dogo, nichek watsap no yako sijui imekuaje siioniSi bora huyo 15000
Mimi niligundua mwanaume wa mtandaoni ukitaka umkatae kijanja mpe jiwe
huwa sikukatai ila ukisogea tu naanza na iphone [emoji23]
Wengi huishia matusi tu....mie roho yangu burudanii
Akufukuzae hakwambii toka! JIongeze dogo
Kama anashida aende kwa babaake anasema kabisaa nataka 15000 utafikiri kaziwekaSasa kama ana shida kuombwa 15000 unatangaza ukiombwa mil si utafunga unaomba show huangalii muda mliokutana wewe utakuwa wakiume sio mwanaume.
Haaaaaa sikumpa kabisa na nilimjibu ivyo akasepa na block juu
Jiandae mdogo wangu. [emoji23] [emoji23]we nae hujaelewa tu kama ni promo at work..... lol
me nae nitasutwa sasa [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
Vibaya hivyo best yaani na block juu.Haaaaaa sikumpa kabisa na nilimjibu ivyo akasepa na block juu