Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaonekana ndo tabia zake na anajua sana ila ndo ivyo kashazoeaBest unadhani wote wanajua hivyo basi.
Ila pole sana best angu mana huyo itakuwa hajui usawa huu ulivyo mgumu na kama anajua basi anadhani ni kwake tu.
Duhh!! ten ukagegeda!!!Mwaka huu tutakoboa sana hizi mboga, juzi tu nimeipakua moja kwa shida yake ya elfu 10[emoji13] [emoji13] [emoji13]
Na ni kweeeli my dear.... Kila siku najifunza jipya humuNami huwa nashindwa kuwaelewa wanaume wa humu?
Yaani humu wee cheka , taniana sepa...usilete mazoea nao! Sijui exchange what'ssup contacts ujinga ujinga tuu
Kuna mdada maarufu kadhalilishwa kweli humu juzi kati ndo nikaona dooh! Si kwa mchorano ule!
Sent using Jamii Forums mobile app
Oyoooooo!!! hizo ndio zenyewe!!![emoji23][emoji23][emoji23] mapovu yanawatoka yaani kuna demu niliomba zigo akaelewa kutaka kupakua app akasingizia ngoja amalize pepa nikatulia siku....hiyo hiyo akaomba hela ya kusukia nikamkadiria nikampa kidogo baada ya siku kamaliza pepa nikaenda kumpitia chuo tukapitia kkoo kwenda home anasema hajajiandaa siku ingine mara bado mapema nikamwambia mbona khs vocha,hela ya kusuka hukusubiri upite mwaka ndo uanze kuomba?huku wiki moja nyuma kashaomba hela ya mkoba, bando la chuo ndo usiseme na mm kila alichoomba nikawa namwambia mwisho wa mwezi [emoji23][emoji23][emoji23] nilimtelekeza kkoo hata nauli sikumpa alitukana kinoma nikamwambia mbwa kala mbwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmhhh ulimpa wewe[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ata sikumpa na nilimjibu yani leo tu tumefahamiana na kirungu juu
Damn girl, that's hurt[emoji2] [emoji2]Yani wanaume wanazidi kupungua kwa kasi sana wanabaki wavulana tu
Wanapungua kwa kasi sana mnabaki wavulana tu
Na wake wanapungua kibao wanabaki madunga embeWanapungua kwa kasi sana mnabaki wavulana tu
Ukianza kuchati na mwanaume punguza njaa za kipuuzi, unadhalilika na kuwadhalilisha wanawake wenzioPovu unalijua 😎😉
Huyo wa kwanza mbona kawa mstaarab tu, kaomba Umeme. Ni kitu cha kuomba Meter namba na kumnunulia mweyewe..kama unauwezoWana swaga za kishamba na njaa kali ukimsalimia tu anageuka yatima anakufanya foundition au NGOs wanajiabisha kwakweli. Swagga hizo wakawale wengine lakini sio hapa mjini Dar es Salaama, wamefeli wabadilike.
View attachment 570099 View attachment 570101
Sent using Jamii Forums mobile app
He he he niombe radhi, 'wanabaki' sio 'mna'! Am past that, as a man sio ungoje kuombwa, you figure it out and try your best kumpendezesha your woman!!Wanapungua kwa kasi sana mnabaki wavulana tu
Sawa wakiumeUkianza kuchati na mwanaume punguza njaa za kipuuzi, unadhalilika na kuwadhalilisha wanawake wenzio
Twende kwenye kundi letu la whatsapp tukapige story...Si bora huyo 15000
Mimi niligundua mwanaume wa mtandaoni ukitaka umkatae kijanja mpe jiwe
huwa sikukatai ila ukisogea tu naanza na iphone [emoji23]
Wengi huishia matusi tu....mie roho yangu burudanii
Akufukuzae hakwambii toka! JIongeze dogo
Bado hata tuwe marafiki wa hiyari yaan ile dada na kaka hauwezi jua huko mbelen mambo yakabadilika[emoji16]
Na ukafikiri atakuwa chotara kweli wakati unakuta ni Juma Mabaga wa Magomen katengeneza hiyo profile na kujidai mdada ili awalie wajinga wajinga pesabuku kumi mpk 50 si hela ya soda tu hiyo huwezi mind km unataka papuchi,ila kweli wamezidi mizinga,kuna chotara mmoja nafatilia akanipiga mzinga ooh nitumie 10 nna shida,hapo hatujaonana.nikamwambia 10 sio tabu chukua bajaj ntalipa njoo uchukue mwenyewe.akatosa