Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamanisha ulinunua kitumbua kwa 10,000?? Tz ama Zimbabwe!Mwaka huu tutakoboa sana hizi mboga, juzi tu nimeipakua moja kwa shida yake ya elfu 10[emoji13] [emoji13] [emoji13]
Nami huwa nashindwa kuwaelewa wanaume wa humu?Hivi ni kwa nini wanakosa uvumilivu kiasi hicho...
Tutataniana humu ila sio kuleta userious kabisaa... Unaweza iona dunia chungu sababu ya mtu mmoja.... Halafu ukichunguza kwa makini wote wako hivyo hivyo
Mi mzima, ila dada mh! Unaanzaje kumlipa mtu bila kufanya kazi kwanza[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]Ila kaka ake si unaanza kwanza kutoa hayo mengine baadae au unaogopa mizinga ambayo mwisho wake unaweza kuambulia patupu.
Mzima lakini?
nipe namba yake mkuu nimcheki tuyajengewana swaga za kishamba na njaaa kali ukimsalimia tu anageuka yatima anakufanya foundition au NGOs wanajiabisha kwakwel...Swagga hizo wakawale wengine lakina sio hapa mjini Daslam wamefeli...wabadilike
View attachment 570099 View attachment 570101
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmh. Best! Enhe malizia basi ukampa au ndio ukawa mwisho wenu?Ukweli mtupu na J3 nimekutana na mzinga kama huo fb
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Haya bana kaka ake.Mi mzima, ila dada mh! Unaanzaje kumlipa mtu bila kufanya kazi kwanza[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
nafight with my weather[emoji23][emoji23]
Ata sikumpa na nilimjibu yani leo tu tumefahamiana na kirungu juuMmh. Best! Enhe malizia basi ukampa au ndio ukawa mwisho wenu?
Hahaaa. Pole sana best.Ata sikumpa na nilimjibu yani leo tu tumefahamiana na kirungu juu
Ni kweli havikwepeki but muda mwingine inatakiwa mtu kujiheshimuHahaaa. Pole sana best.
Ila ukiwa mwanaume kuna vingine havikwepeki bana.
Amin nawe pia[emoji23] [emoji23] [emoji23] Haya bana kaka ake.
Uwe na siku njema.
Mwee yaani toleo lako ulikuwa wewe peke yakoSi bora huyo 15000
Mimi niligundua mwanaume wa mtandaoni ukitaka umkatae kijanja mpe jiwe
huwa sikukatai ila ukisogea tu naanza na iphone [emoji23]
Wengi huishia matusi tu....mie roho yangu burudanii
Akufukuzae hakwambii toka! JIongeze dogo
Best unadhani wote wanajua hivyo basi.Ni kweli havikwepeki but muda mwingine inatakiwa mtu kujiheshimu
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]Amin nawe pia
nafight with my weather[emoji23][emoji23]
Kuna hii thread, hebu ingia hapa[emoji116][emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
Sina mume,sina mchumba,sina mpenz[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] ila kupenda Hapana nishaumia ngoja nitulie kidogo