Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole kaka umecheki na afya yake?Mwaka huu tutakoboa sana hizi mboga, juzi tu nimeipakua moja kwa shida yake ya elfu 10[emoji13] [emoji13] [emoji13]
Pole kaka umecheki na afya yake?Mwaka huu tutakoboa sana hizi mboga, juzi tu nimeipakua moja kwa shida yake ya elfu 10[emoji13] [emoji13] [emoji13]
Afadhali useme kiazi nikisema muhogo mchungu mieSasa kama ana shida kuombwa 15000 unatangaza ukiombwa mil si utafunga unaomba show huangalii muda mliokutana wewe utakuwa wakiume sio mwanaume.
Hivi dada kwani me na wewe tunaendana jaman kwa kila kitu hivii ndio mana ujue tunapendana lia shida zako kesho unakutana na bango lakoNitakufa na shiida zangu lakinii sii kumlilia shida mwanaume wa mtandaoni... Wengi wana dharau halafu huwa wanadhani kila mwanamke aloko mtandaoni ni mhuni sijui, huwa nashindwaga kuelewa....
Aombe 1 mil kwani papuchi yake inatibu ukimwi???Sasa kama ana shida kuombwa 15000 unatangaza ukiombwa mil si utafunga unaomba show huangalii muda mliokutana wewe utakuwa wakiume sio mwanaume.
Nafikiri hivyo mdogo wangu... Nitalala njaa lakinii sio kujitangazia shiida kwa mwanaume tena nisiemjua... Ni wepesi saaana kuwabandika wenzao humu lakini sijuagi kwa nini wanawake hatujifunzi jamaniiHivi dada kwani me na wewe tunaendana jaman kwa kila kitu hivii ndio mana ujue tunapendana lia shida zako kesho unakutana na bango lako
Kweli aisee na wengine sie masikini jeuri dada acha tufe na shida zetu acha wanaoomba waanikwe kila siku hawajifunzi tu humuNafikiri hivyo mdogo wangu... Nitalala njaa lakinii sio kujitangazia shiida kwa mwanaume tena nisiemjua... Ni wepesi saaana kuwabandika wenzao humu lakini sijuagi kwa nini wanawake hatujifunzi jamanii
Ni changamotoo kwa kweeeliKweli aisee na wengine sie masikini jeuri dada acha tufe na shida zetu acha wanaoomba waanikwe kila siku hawajifunzi tu humu
Naona unapata like nyingi kichizi...seems ndo wamejaa huku.
Dada nae katoa povu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Sasa kama ana shida kuombwa 15000 unatangaza ukiombwa mil si utafunga unaomba show huangalii muda mliokutana wewe utakuwa wakiume sio mwanaume.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Yani wanaume wanazidi kupungua kwa kasi sana wanabaki wavulana tu
Kuna comment moja hapo juu imejibu vizuri juu ya namna mtoto wa kike anayejirahisi rahisi na vibomu vya aina mbalimbali ambavyo hudhoofisha "muhu" ya wanaume wahitaji wa kweli.
Nakuhitaji ww binti nikubadilishie maisha yakoHivi dada kwani me na wewe tunaendana jaman kwa kila kitu hivii ndio mana ujue tunapendana lia shida zako kesho unakutana na bango lako