Wasichana wengi mitandaoni njaa, ukimcheki tu anakulilia shida

Wasichana wengi mitandaoni njaa, ukimcheki tu anakulilia shida

buku kumi mpk 50 si hela ya soda tu hiyo huwezi mind km unataka papuchi,ila kweli wamezidi mizinga,kuna chotara mmoja nafatilia akanipiga mzinga ooh nitumie 10 nna shida,hapo hatujaonana.nikamwambia 10 sio tabu chukua bajaj ntalipa njoo uchukue mwenyewe.akatosa
 
Hivi ni kwa nini wanakosa uvumilivu kiasi hicho...

Tutataniana humu ila sio kuleta userious kabisaa... Unaweza iona dunia chungu sababu ya mtu mmoja.... Halafu ukichunguza kwa makini wote wako hivyo hivyo
Nami huwa nashindwa kuwaelewa wanaume wa humu?

Yaani humu wee cheka , taniana sepa...usilete mazoea nao! Sijui exchange what'ssup contacts ujinga ujinga tuu

Kuna mdada maarufu kadhalilishwa kweli humu juzi kati ndo nikaona dooh! Si kwa mchorano ule!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati mitandao ya simu inauza dakika na meseji tu hilo halikuwa na shida,TATIZO ni kwamba sasa MITANDAO YA SIMU INAUZA MB.kwahiyo demu anainvest kwenye kufurushi cha jero anaingia fb au whatsapp au badoo au insta na kuanza kutafuta faida kutokana na mtaji wake wa jero.
Mademu siku hizi hata akisikia bf wake abaumwa hasikitiki kihivyo KULIKO akikosa MB.
 
Ila kaka ake si unaanza kwanza kutoa hayo mengine baadae au unaogopa mizinga ambayo mwisho wake unaweza kuambulia patupu.

Mzima lakini?
Mi mzima, ila dada mh! Unaanzaje kumlipa mtu bila kufanya kazi kwanza[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]

nafight with my weather[emoji23][emoji23]
 
Mi mzima, ila dada mh! Unaanzaje kumlipa mtu bila kufanya kazi kwanza[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]

nafight with my weather[emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Haya bana kaka ake.

Uwe na siku njema.
 
Si bora huyo 15000
Mimi niligundua mwanaume wa mtandaoni ukitaka umkatae kijanja mpe jiwe
huwa sikukatai ila ukisogea tu naanza na iphone [emoji23]
Wengi huishia matusi tu....mie roho yangu burudanii
Akufukuzae hakwambii toka! JIongeze dogo
Mwee yaani toleo lako ulikuwa wewe peke yako
Joseverest habar, umekuja na ID mpya mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app


carnte himself
 
Back
Top Bottom