geek jo
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 1,134
- 1,144
Bado wachache sana hao.. You have to kiss a lot of frogs before you find your prince charming'
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado wachache sana hao.. You have to kiss a lot of frogs before you find your prince charming'
Nimesema most of them ok?Unakosea, walioko jf ndio haohao mtaani kwako, mpenzi, mchumba, mmeo, baba au kaka zako. Tuombe radhi
Shikamoo dadaNitakufa na shiida zangu lakinii sii kumlilia shida mwanaume wa mtandaoni... Wengi wana dharau halafu huwa wanadhani kila mwanamke aloko mtandaoni ni mhuni sijui, huwa nashindwaga kuelewa....
Hamna mkuu...unajua hebu mwenyewe nambie! Vitu vingine sio kuteteana kisa wanaume bana..Leo sijui kala maharagevya wapi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] witnessj ni miongoni mwa wadada wanaojitambua lkn hapo kachemka
Asante!Tatizo wengi ni wanaume wa Dar!
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji125] [emoji125]Sasa kama ana shida kuombwa 15000 unatangaza ukiombwa mil si utafunga mtaa. Mbna pum**bu Zako zikibana unaomba show huangalii muda mliokutana wewe utakuwa wakiume sio mwanaume.
Sijawahi ona Mahusiano ya mtandaoni yakawa serious!Nitakufa na shiida zangu lakinii sii kumlilia shida mwanaume wa mtandaoni... Wengi wana dharau halafu huwa wanadhani kila mwanamke aloko mtandaoni ni mhuni sijui, huwa nashindwaga kuelewa....
Hivi ni kwa nini wanakosa uvumilivu kiasi hicho...Sijawahi ona Mahusiano ya mtandaoni yakawa serious!
Mi naonaga michorano tuu
Akuchoreee weeee badae aje akutangaze humu.....mfyuuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka na wewe uwe unawapa tu. [emoji23]Ni ukweli mtupu
nafight with my weather[emoji23][emoji23]
Kula kwa kukukataaa?Endelea kula vya watu siku yako yaja
Sent From My Nokia Ya Tochi
Kuwapa sio tatizo, but bila papuchi kweli[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]Kaka na wewe uwe unawapa tu.
Ila kaka ake si unaanza kwanza kutoa hayo mengine baadae au unaogopa mizinga ambayo mwisho wake unaweza kuambulia patupu.Kuwapa sio tatizo, but bila papuchi kweli[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Kuna wimbo wa taarab unaitwa "nipe nikupe", muimbaji Othman Soud, au ule wa Prezzo na Ay, ukizisikiliza hizo nyimbo raha sana.
nafight with my weather[emoji23][emoji23]
No kiss or hugBado wachache sana hao.. You have to kiss a lot of frogs before you find your prince charming'
Sent using Jamii Forums mobile app
Witness naona chura ipo naomba tuwe hata marafiki wa kawaida jamani!
una mpenzi??? kama huna naomba nije pmIla Jamani mjue baadhi ya wanawake wanatuponza wanawake wote tunaonekana ovyo sana kiukweli tusitetee ujinga mpaka sasa ndoa zimekuwa mtihani mwanaume anashindwa kujua yupi kitabia anamfaa mwanaume anakutongoza Jamani hamjuani hamjaonana unakimbilia kuomba pesa kabla ya kukutongoza ulikuwa unaishije sometimes hatakama mwanaume alikuwa anania yakweli anakudharau Mimi siku zote nipo upande Wa wanawake wenzangu nikweli wanaume nimatapeli ila hii mwanaume kakufwata mambo poa unaomba hela anaweza akakupa akakuita akakutafuna ndoimetoka mwaname mvutie kasi kidogo nasio unamuomba direct unaji Fanya kuingizia kitu chako kimekwama unawaza utakisove vip yeye mwenyewe atajiongeza mpaka unamuomba mwanaume pesa mshakaa ata miez 3 au unajua mwanaume Wa kibongo wengi hawajui kutenga bajeti kila mwezi kumpa mwenzi wake mpaka waombwe Mimi kiukweli Jamani wanawake tubadilikeni sometimes tunajitakia kuzalauliwa Jamani mwanamke unambembesha mzigo mwanaume kama mzazi wako Mimi mwanaume kunihonga kila siku sitaki bwana ela unayonipa yamatumizi nifungulie genge ela izunguuke matumiz yatatoka hapa kiukweli mwanaume atakuona una akili sana kama anauwezo anakufumgulia kila siku vibomu mtu hatakukujulia hali inafika hatua anaogopa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona povu? Au na wewe ndo tabia yako?Imekuchoma wewe muomba papuchi, kuombwa 15000 unakuja kuhoroja Jf
HahahahahahahahaahaaaaaaaaaaMwaka huu tutakoboa sana hizi mboga, juzi tu nimeipakua moja kwa shida yake ya elfu 10[emoji13] [emoji13] [emoji13]