Wasichana wengi mitandaoni njaa, ukimcheki tu anakulilia shida

Wasichana wengi mitandaoni njaa, ukimcheki tu anakulilia shida

Nitakufa na shiida zangu lakinii sii kumlilia shida mwanaume wa mtandaoni... Wengi wana dharau halafu huwa wanadhani kila mwanamke aloko mtandaoni ni mhuni sijui, huwa nashindwaga kuelewa....
Shikamoo dada
 
Leo sijui kala maharagevya wapi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] witnessj ni miongoni mwa wadada wanaojitambua lkn hapo kachemka
Hamna mkuu...unajua hebu mwenyewe nambie! Vitu vingine sio kuteteana kisa wanaume bana..

Hivi elfu 15 ya kuja kulia lia huku jukwaani!??[emoji15] [emoji15] like serious?

Cc. Husna the bosslady

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nitakufa na shiida zangu lakinii sii kumlilia shida mwanaume wa mtandaoni... Wengi wana dharau halafu huwa wanadhani kila mwanamke aloko mtandaoni ni mhuni sijui, huwa nashindwaga kuelewa....
Sijawahi ona Mahusiano ya mtandaoni yakawa serious!

Mi naonaga michorano tuu

Akuchoreee weeee badae aje akutangaze humu.....mfyuuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijawahi ona Mahusiano ya mtandaoni yakawa serious!

Mi naonaga michorano tuu

Akuchoreee weeee badae aje akutangaze humu.....mfyuuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ni kwa nini wanakosa uvumilivu kiasi hicho...

Tutataniana humu ila sio kuleta userious kabisaa... Unaweza iona dunia chungu sababu ya mtu mmoja.... Halafu ukichunguza kwa makini wote wako hivyo hivyo
 
Kaka na wewe uwe unawapa tu.
Kuwapa sio tatizo, but bila papuchi kweli[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Kuna wimbo wa taarab unaitwa "nipe nikupe", muimbaji Othman Soud, au ule wa Prezzo na Ay, ukizisikiliza hizo nyimbo raha sana.

nafight with my weather[emoji23][emoji23]
 
Kuwapa sio tatizo, but bila papuchi kweli[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Kuna wimbo wa taarab unaitwa "nipe nikupe", muimbaji Othman Soud, au ule wa Prezzo na Ay, ukizisikiliza hizo nyimbo raha sana.

nafight with my weather[emoji23][emoji23]
Ila kaka ake si unaanza kwanza kutoa hayo mengine baadae au unaogopa mizinga ambayo mwisho wake unaweza kuambulia patupu.

Mzima lakini?
 
Ila Jamani mjue baadhi ya wanawake wanatuponza wanawake wote tunaonekana ovyo sana kiukweli tusitetee ujinga mpaka sasa ndoa zimekuwa mtihani mwanaume anashindwa kujua yupi kitabia anamfaa mwanaume anakutongoza Jamani hamjuani hamjaonana unakimbilia kuomba pesa kabla ya kukutongoza ulikuwa unaishije sometimes hatakama mwanaume alikuwa anania yakweli anakudharau Mimi siku zote nipo upande Wa wanawake wenzangu nikweli wanaume nimatapeli ila hii mwanaume kakufwata mambo poa unaomba hela anaweza akakupa akakuita akakutafuna ndoimetoka mwaname mvutie kasi kidogo nasio unamuomba direct unaji Fanya kuingizia kitu chako kimekwama unawaza utakisove vip yeye mwenyewe atajiongeza mpaka unamuomba mwanaume pesa mshakaa ata miez 3 au unajua mwanaume Wa kibongo wengi hawajui kutenga bajeti kila mwezi kumpa mwenzi wake mpaka waombwe Mimi kiukweli Jamani wanawake tubadilikeni sometimes tunajitakia kuzalauliwa Jamani mwanamke unambembesha mzigo mwanaume kama mzazi wako Mimi mwanaume kunihonga kila siku sitaki bwana ela unayonipa yamatumizi nifungulie genge ela izunguuke matumiz yatatoka hapa kiukweli mwanaume atakuona una akili sana kama anauwezo anakufumgulia kila siku vibomu mtu hatakukujulia hali inafika hatua anaogopa

Sent using Jamii Forums mobile app
una mpenzi??? kama huna naomba nije pm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom