Wasichana wengi mitandaoni njaa, ukimcheki tu anakulilia shida

Wasichana wengi mitandaoni njaa, ukimcheki tu anakulilia shida

Si bora huyo 15000
Mimi niligundua mwanaume wa mtandaoni ukitaka umkatae kijanja mpe jiwe
huwa sikukatai ila ukisogea tu naanza na iphone [emoji23]
Wengi huishia matusi tu....mie roho yangu burudanii
Akufukuzae hakwambii toka! JIongeze dogo
Endelea kula vya watu siku yako yaja

Sent From My Nokia Ya Tochi
 
Ila Jamani mjue baadhi ya wanawake wanatuponza wanawake wote tunaonekana ovyo sana kiukweli tusitetee ujinga mpaka sasa ndoa zimekuwa mtihani mwanaume anashindwa kujua yupi kitabia anamfaa mwanaume anakutongoza Jamani hamjuani hamjaonana unakimbilia kuomba pesa kabla ya kukutongoza ulikuwa unaishije sometimes hatakama mwanaume alikuwa anania yakweli anakudharau Mimi siku zote nipo upande Wa wanawake wenzangu nikweli wanaume nimatapeli ila hii mwanaume kakufwata mambo poa unaomba hela anaweza akakupa akakuita akakutafuna ndoimetoka mwaname mvutie kasi kidogo nasio unamuomba direct unaji Fanya kuingizia kitu chako kimekwama unawaza utakisove vip yeye mwenyewe atajiongeza mpaka unamuomba mwanaume pesa mshakaa ata miez 3 au unajua mwanaume Wa kibongo wengi hawajui kutenga bajeti kila mwezi kumpa mwenzi wake mpaka waombwe Mimi kiukweli Jamani wanawake tubadilikeni sometimes tunajitakia kuzalauliwa Jamani mwanamke unambembesha mzigo mwanaume kama mzazi wako Mimi mwanaume kunihonga kila siku sitaki bwana ela unayonipa yamatumizi nifungulie genge ela izunguuke matumiz yatatoka hapa kiukweli mwanaume atakuona una akili sana kama anauwezo anakufumgulia kila siku vibomu mtu hatakukujulia hali inafika hatua anaogopa

Sent using Jamii Forums mobile app
Uko vizuri sana
 
Inasikitisha sana...

Kuweni makini sana na hao mnaochat nao kwenye hizo nanii zenu...

Mwanamke wa kweli anakuwa na haiba, anakuvutia timing kwanza...

Kama wewe ni mwanaume, ukawa ukaanza ku-chat na unayehisi ni mwanamke kwa profile yake...

Ukiona baada ya maneno mawili akakuomba pesa, au anaomba msaada haraka haraka, shtuka, unachat na dume mwenzako...


Cc: mahondaw
 
Usijali Bali penye ukweli lazima tuseme

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa, Mimi binafsi mwanamke akianza mambo ya luku,sijui simu imeingia maji sitampa hiyo pesa na huo utakuwa ndiyo mwisho wa kumtafuta...hayo ni mambo ya kitoto kabisa!
Alafu unakuta mtu huyo anakuja humu anaaza ooh! natafuta mume,mume utampataje kwa tabia mbaya kama hiyo,.... msipojiongeza mtaishia kukaa nyumbani mpaka muote mizizi hamtaolewa.
 
Kabisa, Mimi binafsi mwanamke akianza mambo ya luku,sijui simu imeingia maji sitampa hiyo pesa na huo utakuwa ndiyo mwisho wa kumtafuta...hayo ni mambo ya kitoto kabisa!
Alafu unakuta mtu huyo anakuja humu anaaza ooh! natafuta mume,mume utampataje kwa tabia mbaya kama hiyo,.... msipojiongeza mtaishia kukaa nyumbani mpaka muote mizizi hamtaolewa.
[emoji46] [emoji46] [emoji46] [emoji46] [emoji32] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inasikitisha sana...

Kuweni makini sana na hao mnaochat nao kwenye hizo nanii zenu...

Mwanamke wa kweli anakuwa na haiba, anakuvutia timing kwanza...

Kama wewe ni mwanaume, ukawa ukaanza ku-chat na unayehisi ni mwanamke kwa profile yake...

Ukiona baada ya maneno mawili akakuomba pesa, au anaomba msaada haraka haraka, shtuka, unachat na dume mwenzako...


Cc: mahondaw

Bwaha Bwaha Bwaha Bwaha Bwaha!

My king Njaa mbaya sana hasa awamu hii



Mahondaw wa Smart911
 
Vivulana viko vingi! Wanaume hawalii ku-provide.
Ukiweza kujibu the meaning of being a men. ...hutarudia kuleta na kujaza seva kwa maneno yasiyona mashiko.
ROLE YA MWANAUME NI NINI? ?Ndiyo maana mashoga NI wanaume wasiojua majukumu ya kiume.
Kama unaona huwezi subiri ukiwa mwanaume ndipo utafute mwanamke. ..acha uasherati subiri ukioa ambapo NI umri sahihi wa uanaume hutaona shida kumuhudumia mwanamke kwani automatically utaprovide na wala hutaona kwamba siyo kazi yako
 
Back
Top Bottom