Wasichokijua wengi kuhusu Israel

Wasichokijua wengi kuhusu Israel

Wayahudi ni jamii iliyopigana vita vingi kuliko jamii yoyote.

Kabla ya Masiha, Wayahudi walitumia vita kama uthibitisho wa Mungu kuwa pamoja nao. Walipotenda sawa na mapenzi ya Mungu, waliwapiga maadui zao, tena kwa irahisi. Walipokengeuka, walipoenda vitani, walipigwa, na hata kuchukuliwa mateka na kupelekwa utumwani.

Kumepiganwa zaidi ya vita 100 kugombea mji wa Jerusalem pekee.

Mara baada ya Umoja wa Mataifa kutangaza rasmi uwepo la Israel, kumepiganwa vita 9.

Kwa myahudi, vita imekuwa ni sehemu ya maisha. Wayahudi ni watu wanaotajwa kuwa ni jamii yenye high IQ. Gunduzi nyingi za kisayansi zimefanywa na jamii hii. Jamii hii ya Wayahudi, inashikilia maeneo muhimu ya tekinolojia na biashara huko Marekani na Ulaya.

Wakati wayahudi waliopo Israel ni milioni 7.2 waliopo Marekani pekee ni milioni 7.5. Na hawa waliopo USA siyo watu hohehahe, wengi wao wanashikilia maeneo muhimu. Hiyo ndiyo sababu ya Marekani kudai kuwa daima itasimama na Israel. US inalipa fadhila, kwani hawa wayahudi wana mchango mkubwa sana wa maendeleo ya Sayansi, tekinolojia na biashara kwa Marekani na Ulaya.

Uimara wa jeshi la Israel kwenye vita unachangiwa sana maendeleo ya tekinolojia, uwezo mkubwa wa akili na uzoefu wa miaka mingi katika masuala ya vita.

Wasiojua, wanaamini kuwa Israel imekuwa tishio kwa Iran na makundi yake ya kigaidi kwa sababu inasaidiwa na Marekani. Jambo ambalo siyo kweli. Marekani inaisaidia Israel zaidi kwenye masuala ya kifedha, lakini siyo kwenye mbinu au utaalam wa vita. Kwenye utaalam wa vita, Israel ina uwezo wa kuifundisha Marekani.

Kwenye bajeti ya mwisho ya Marekani ya kuzisaidia Israel na Ukraine, Israel ilipata dola bilioni 60, Ukraine ilipata dola bilioni 90. Je, Ukraine iliyopata msaada mkubwa zaidi, imeweza kuisambaratisha Urusi?

Israel wamesema wazi kuwa wakati wowote Iran itakapofanya maendeleo kuelekea kutengeneza silaha za nuklia, itaenda kuipiga bila ya kusubiri maamuzi ya UN.

Vita ngumu kwa Israel ni hiyo ya Hamas kwa sababu inapiganwa ndani ya nchi yake, na kwenye maeneo yenye mjazano mkubwa wa raia. Lakini jeshi la Iran likisema liingine vitani na Israel, bila ya kujificha kwenye makundi ya raia, kama wanavyofanya Hamas, humkini Iran itapata pigo la kushangaza. Kauli ya balozi wa Iran UN inathibitisha hofu ya Iran kupigana na Israel. Balozi wa Iran UN, alizungumza kwa unyonge mkubwa akisema kuwa Iran inataka amani, wakati ni hii nchi ya Iran ndiyo ilikuwa ya kwanza kuwa na itikadi inayosema Wazayuni hawatakiwi kuwepo Duniani.

Israel kwenye vita dhidi Hezbolah itashinda kiurahisi kuliko dhidi ya Hamas. Makundi ya kigaidi yaliyoundwa na Iran, yanachukiwa na serikali zote za nchi za kiarabu. Pia mataifa ya kiarabu yana uhusiano wa kinafiki na Iran, kwa sababu ya Iran kutengeneza makundi ya kigaidi ili yaziondoe Setikali zote zinazoongozwa na Sunni muslims. Hata kundi la Hezbolah kule Lebanon lina uhasimu na Serikali, na linaungwa na baadhi tu ya waislam wa shia. Hivyo wala si ajabu, serikali ya Lebanon kutoa taarifa za kiintelijensia kwa Israel.

Kwa hali inavyoendelea, na kauli ya Rais wa Iran kwenye umoja wa mataifa, ni wazi Iran inataka ifanye kama ilivyofanya Misri. Misri baada ya kuongoza mashambulizi mara kadhaa dhidi ya Israel na kuishia kupigwa vibaya, mwaka 1979, iliomba kuwa na uhusiano wa kibalozi na Israel. Toka wakati huo hakujawahi kuwepo na vita baina ya Misri na Israel. Iran nayo inaonekana ima hamu ya kuitafuta hiyo njia, baada ya kuona njia ya mapigano na Israel, ni sawa na simba akiwa ndani ya maji kutaka kupigana na mamba.

"After several Arab-Israeli wars, Egypt was the first Arab state to recognize Israel diplomatically in 1979 with the signing of the Israel-Egypt Peace Treaty. It was followed by Jordan with the Israel-Jordan Peace Treaty in 1994. In 2020, four more Arab states (the UAE, Bahrain, Morocco and Sudan) normalized relations."

Pia soma: Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS
Mbona husemi kuwa Wayahudi ni jamii isiyo na nchi yao.
 
1. Tofautisha jews kama dini na Israelite kama watu. Hao waisrael walisemwa zamani sio wote bado ni wayahudi, Asilimia kubwa wameshabadili dini na kuwa Waisilamu/Wakristo.

2. Hakuna popote kwenye Uisilamu panaposema Wayahudi ni maadui wa Waisilamu, kila Aya/Hadithi ya kiisilamu ina context yake, isome uelelewe, kama lengo lako ni kuelewa, kama lengo lako ni dhihaka ukiona comment yangu ipotezee tu.

Hio Aya imeshushwa baada ya waisilamu waliokimbilia Ethiopia kupokelewa na mfalme Najashi na kutodhuriwa, wa kapewa ukimbizi, Japo Washirikina wa Makka wakati huo walienda Ethiopia ili mfalme Najashi asiwape hifadhi hakukubaliana nao, At same time Kulikuwa na wayahudi Madina ambao walikuwa pia wanashirikiana na Hao Washirikina wa Makka, koo kama Banu Qurayzah so imeshushwa Specific kuwa adress hao, na mafunzo tunayapata kutokana kwao,

Aya ina Apply mpaka kwa jews wa leo (sio wote) ila hao wenye tabia kama zilizokuwa described na Context ya hio Aya jews ambao wana Belittle others, wanapenda kuanzisha uasi, kukataa wasomi, kukataa ukweli etc.

Angalia hizo sifa hao watu wanaojiita watawala wa Israel wanazo hadi leo
1. Wanajiona wao ni Chosen one na wengine wote ni wajinga tu wao ni binadamu bora zaidi
2. Wasomi mbalimbali na tafiti mbalimbali zinazoonesha wapalestina na Lebanon kama Israelite wa zamani utaona wanawakandia hao wasomi
3. Wana tabia za kuua wasomi ambao si upande wao ili wasomi wao tu waonekane bora
4. Kila sehemu wanatengeneza uasi na makundi mbalimbali ambayo yana Destabilize nchi mbalimbali kama Vile Isis, Al Qaeda etc.
Hizi ni propaganda tu za kupotosha ukweli.Huwezi kuutofautisha uyahudi na Waisrael.Dini asili ya Waisrael ni Wayahudi kama ilivyo dini ya Induism kwa wahindi.Muisrael kuwa muislam au mkristo hiyo haiondoi ukweli kuwa Waisrael dini yao ya asili ni Judaism.Kama sivyo Kwa nini dini ya kiyahudi haijasambaa duniani?Kwa nini hakuna mtanzania,mkenya,mmalawi,au muafrika yeyote Kwa asili anayefuata dini ya kiyahudi?Uislamu na ukristo umetokea Middle east lkn umeenea dunia nzima.Kwa nini uyahudi uwe katika taifa moja tu?
*Pili inasema Waisrael wenyewe ni Wapalestina!Hivi unajua lugha asili ya Waisrael wa kweli ni ipi? Waisrael wa kweli lugha yao ni kiebrania.Sasa Wapalestina lugha yao ya asili ni kiebrania?Kwa nini dunia nzima taifa linaloongea kiebrania kama lugha yao ya taifa liwe moja tu?Au Wapalestina wamesahau lugha yao ya kiebrania? Basi yatakuwa maajabu ya milele;Yaani mwenye lugha yake aisahau kabisa lugha yake halafu mgeni aje kuifahamu na kuitumia kama lugha yake mama!! Waisrael ni Watu wa kawaida sana.Ni kama sisi watanzania tu.Tofauti wao walikabidhiwa mausia ya MUNGU ili wayasambaze kwetu,lkn walikataa.Kitendo cha kukataa ndo kikaondoa upekee wao Kwa MUNGU.Ugomvi wa Wapalestina na Waisrael hautaisha hadi mwisho wa dunia.Wapalestina ndo wafilisti.Waisrael walipoletwa hapo na Joshua waliwakuta.Waliambiwa wawaangamize wote maana nchi ilishawatapika kutokana na maovu yao,lakini wao hawakuwaua wote.Mungu akawaambia hao wamekuwa mtego kwao.Wanapokengeuka tu Wapalestina wanakuwa fimbo ya MUNGU kwao.Netanyahu atawapiga na kuwaangamiza sana,lakini hawataisha milele.Wataendelea kuzaliana Kwa wingi,na kuendelea kuwa fimbo ya MUNGU Kwa Israeli hadi kiyama.
 
Hizi ni propaganda tu za kupotosha ukweli.Huwezi kuutofautisha uyahudi na Waisrael.Dini asili ya Waisrael ni Wayahudi kama ilivyo dini ya Induism kwa wahindi.Muisrael kuwa muislam au mkristo hiyo haiondoi ukweli kuwa Waisrael dini yao ya asili ni Judaism.Kama sivyo Kwa nini dini ya kiyahudi haijasambaa duniani?Kwa nini hakuna mtanzania,mkenya,mmalawi,au muafrika yeyote Kwa asili anayefuata dini ya kiyahudi?Uislamu na ukristo umetokea Middle east lkn umeenea dunia nzima.Kwa nini uyahudi uwe katika taifa moja tu?
*Pili inasema Waisrael wenyewe ni Wapalestina!Hivi unajua lugha asili ya Waisrael wa kweli ni ipi? Waisrael wa kweli lugha yao ni kiebrania.Sasa Wapalestina lugha yao ya asili ni kiebrania?Kwa nini dunia nzima taifa linaloongea kiebrania kama lugha yao ya taifa liwe moja tu?Au Wapalestina wamesahau lugha yao ya kiebrania? Basi yatakuwa maajabu ya milele;Yaani mwenye lugha yake aisahau kabisa lugha yake halafu mgeni aje kuifahamu na kuitumia kama lugha yake mama!! Waisrael ni Watu wa kawaida sana.Ni kama sisi watanzania tu.Tofauti wao walikabidhiwa mausia ya MUNGU ili wayasambaze kwetu,lkn walikataa.Kitendo cha kukataa ndo kikaondoa upekee wao Kwa MUNGU.Ugomvi wa Wapalestina na Waisrael hautaisha hadi mwisho wa dunia.Wapalestina ndo wafilisti.Waisrael walipoletwa hapo na Joshua waliwakuta.Waliambiwa wawaangamize wote maana nchi ilishawatapika kutokana na maovu yao,lakini wao hawakuwaua wote.Mungu akawaambia hao wamekuwa mtego kwao.Wanapokengeuka tu Wapalestina wanakuwa fimbo ya MUNGU kwao.Netanyahu atawapiga na kuwaangamiza sana,lakini hawataisha milele.Wataendelea kuzaliana Kwa wingi,na kuendelea kuwa fimbo ya MUNGU Kwa Israeli hadi kiyama.
Wapalestina sio wafilisti ishakuwa debunked mara kibao, unaniambia mimi Naongea propaganda, ila nakupa ushahidi wa Kisayansi wa studies mbalimbali zikionesha kwamba Wapalestina na Walebanon wa Sasa ndio OG canaanite,


Angalia hii Ted talks huyo jamaa ni Ashkenazi jew na amefafanua kwa undani study inayo imesha miaka 3700 iliopita walioishi hapo Dna zao ni sawa na wapalestina wa leo

View: https://x.com/expatvibes/status/1796810792832053428/mediaViewer?currentTweet=1796810792832053428&currentTweetUser=expatvibes

Pia Ame Debunk kwamba wapalestina ni waarabu/wafilist.

Pia ukiangalia hizo Tweets za Netanyahu kila siku anabadili Gia mara Wapalestina ni wazungu (Wafilisiti) mara wapalestina ni waarabu wametoka Gulf, huwezi kuwa Mwarabu halafu hapo hapo ukawa mzungu, na hio ni dalili ya propaganda na kusema uongo.

Ukitoa hio video kuna studies kibao zimefanyika hadi Havard na vyuo vikubwa vikubwa zote zina Agree kitu kimoja Wapalestina wa sasa ndio Israelite wa Zamani.

Hii study nyengine ya Dna

View: https://x.com/MiroCyo/status/1712258026881921287

F8Mr07vbYAEJgQ5.jpeg

F8Mr0BCaMAAQqvJ.png
F8MrtdnbcAAigu9-1.png


Hizi picha Inaelezea kwa laymen makundi mengi ya Huo Ukanda kama Samaritan, Wapalestina Wakristo, Wapalestina waisilamu etc wana Dna kali zaidi ya Israelite wa zamani, at same Time hao Ashkenazi Dna zao za Kuchovya.


Kama mimi nilivyoelezea kwa Ushahidi na wewe leta ushahidi hapa
1. Wapalestina ni wafilisti na Dna zao ni Za kizungu
2. Ashkenazi ndio wayahudi OG

Kama huna ushahidi na una maneno matupu basi wewe ndio mueneza propaganda.
 
Wayahudi ni jamii iliyopigana vita vingi kuliko jamii yoyote.

Kabla ya Masiha, Wayahudi walitumia vita kama uthibitisho wa Mungu kuwa pamoja nao. Walipotenda sawa na mapenzi ya Mungu, waliwapiga maadui zao, tena kwa irahisi. Walipokengeuka, walipoenda vitani, walipigwa, na hata kuchukuliwa mateka na kupelekwa utumwani.

Kumepiganwa zaidi ya vita 100 kugombea mji wa Jerusalem pekee.

Mara baada ya Umoja wa Mataifa kutangaza rasmi uwepo la Israel, kumepiganwa vita 9.

Kwa myahudi, vita imekuwa ni sehemu ya maisha. Wayahudi ni watu wanaotajwa kuwa ni jamii yenye high IQ. Gunduzi nyingi za kisayansi zimefanywa na jamii hii. Jamii hii ya Wayahudi, inashikilia maeneo muhimu ya tekinolojia na biashara huko Marekani na Ulaya.

Wakati wayahudi waliopo Israel ni milioni 7.2 waliopo Marekani pekee ni milioni 7.5. Na hawa waliopo USA siyo watu hohehahe, wengi wao wanashikilia maeneo muhimu. Hiyo ndiyo sababu ya Marekani kudai kuwa daima itasimama na Israel. US inalipa fadhila, kwani hawa wayahudi wana mchango mkubwa sana wa maendeleo ya Sayansi, tekinolojia na biashara kwa Marekani na Ulaya.

Uimara wa jeshi la Israel kwenye vita unachangiwa sana maendeleo ya tekinolojia, uwezo mkubwa wa akili na uzoefu wa miaka mingi katika masuala ya vita.

Wasiojua, wanaamini kuwa Israel imekuwa tishio kwa Iran na makundi yake ya kigaidi kwa sababu inasaidiwa na Marekani. Jambo ambalo siyo kweli. Marekani inaisaidia Israel zaidi kwenye masuala ya kifedha, lakini siyo kwenye mbinu au utaalam wa vita. Kwenye utaalam wa vita, Israel ina uwezo wa kuifundisha Marekani.

Kwenye bajeti ya mwisho ya Marekani ya kuzisaidia Israel na Ukraine, Israel ilipata dola bilioni 60, Ukraine ilipata dola bilioni 90. Je, Ukraine iliyopata msaada mkubwa zaidi, imeweza kuisambaratisha Urusi?

Israel wamesema wazi kuwa wakati wowote Iran itakapofanya maendeleo kuelekea kutengeneza silaha za nuklia, itaenda kuipiga bila ya kusubiri maamuzi ya UN.

Vita ngumu kwa Israel ni hiyo ya Hamas kwa sababu inapiganwa ndani ya nchi yake, na kwenye maeneo yenye mjazano mkubwa wa raia. Lakini jeshi la Iran likisema liingine vitani na Israel, bila ya kujificha kwenye makundi ya raia, kama wanavyofanya Hamas, humkini Iran itapata pigo la kushangaza. Kauli ya balozi wa Iran UN inathibitisha hofu ya Iran kupigana na Israel. Balozi wa Iran UN, alizungumza kwa unyonge mkubwa akisema kuwa Iran inataka amani, wakati ni hii nchi ya Iran ndiyo ilikuwa ya kwanza kuwa na itikadi inayosema Wazayuni hawatakiwi kuwepo Duniani.

Israel kwenye vita dhidi Hezbolah itashinda kiurahisi kuliko dhidi ya Hamas. Makundi ya kigaidi yaliyoundwa na Iran, yanachukiwa na serikali zote za nchi za kiarabu. Pia mataifa ya kiarabu yana uhusiano wa kinafiki na Iran, kwa sababu ya Iran kutengeneza makundi ya kigaidi ili yaziondoe Setikali zote zinazoongozwa na Sunni muslims. Hata kundi la Hezbolah kule Lebanon lina uhasimu na Serikali, na linaungwa na baadhi tu ya waislam wa shia. Hivyo wala si ajabu, serikali ya Lebanon kutoa taarifa za kiintelijensia kwa Israel.

Kwa hali inavyoendelea, na kauli ya Rais wa Iran kwenye umoja wa mataifa, ni wazi Iran inataka ifanye kama ilivyofanya Misri. Misri baada ya kuongoza mashambulizi mara kadhaa dhidi ya Israel na kuishia kupigwa vibaya, mwaka 1979, iliomba kuwa na uhusiano wa kibalozi na Israel. Toka wakati huo hakujawahi kuwepo na vita baina ya Misri na Israel. Iran nayo inaonekana ima hamu ya kuitafuta hiyo njia, baada ya kuona njia ya mapigano na Israel, ni sawa na simba akiwa ndani ya maji kutaka kupigana na mamba.

"After several Arab-Israeli wars, Egypt was the first Arab state to recognize Israel diplomatically in 1979 with the signing of the Israel-Egypt Peace Treaty. It was followed by Jordan with the Israel-Jordan Peace Treaty in 1994. In 2020, four more Arab states (the UAE, Bahrain, Morocco and Sudan) normalized relations."

Pia soma: Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS
wayahudi walishapigana sana hadi na Warumi, Roman empire yenyewe ikanyoosha mikono ikakaa nao mezani wakakubaliana kwamba tutawatawala ila muwe na serikali yenu na sheria zenu, ndio maana hata kipindi cha Yesu, pamoja na kuwa ni koloni na warumi, wayahudi walikuwa na mfalme wao aliyeitwa Herode na ndiye aliyejenga sinagogi lile pale waarabu walivunja wakajenga al aqsa.

kwa wasomaji wa Biblia hata ujio wa Yesu alipojitangaza mfalme, walifikiri ni mfalme anakuja kuwafuta kabisa warumi, walimuuliza mara kwa mara kama wakati huu ndio amekuja kuwarudishia israel ufalme toka mikononi mwa warumi. Herode aliendelea kutawala hata baada ya Yesu Kupaa, na ndiye alimkata kichwa Yakobo mwanafunzi wa Yesu, akadhamiria kukata kichwa cha Petro pia kabla Mungu hajamwaibisha kwa kuliwa na chango baada ya wateule wa Mungu kupiga sala ya nguvu kwa Mungu.
 
Mbona husemi kuwa Wayahudi ni jamii isiyo na nchi yao.
Hakuna binadamu asiye na nchi yake, labda mtu huyo akose kumbukumbu au jamii imnyang'anye haki yake ya kuwa na nchi.

Matatizo ya Mashariki ya Kati, hayataisha mpaka wahusika wote watakapoukubali ukweli kuwa wahusika wote wana haki katika ardhi ya mababu zao. Kama tangu kale watu wa kabila mbalimbali waliisha katika taifa moja, inashindikana nini leo watu wa jamii tofauti kuishi pamoja?
 
Hili la msaada wa Marekani kwa Israel sio suala la kuamini.Hii ni fact.

Israel ndiyo nchi inayopokea msaada mkubwa wa marekani kuliko nchi yoyote kwa mwaka ukiitoa Ukraine iliyoanza kupigana na Urusi 2022.

Bila misaada ya USA Israel si chochote si lolote.
Sio kweli Israel hana uwezo wa kuifundisha Marekani mbinu za kivita.

Sema Israel inaweza kubadilishana mbinu za kivita na Marekani kama ambabyo US wanaweza kutrain pamoja na kubadilishana mbinu na nchi kama poland au Kenya.Ni mambo ya kawaida tu kijeshi.

Kingine usichojua ni kwamba Mafunzo au mitaala ya kijeshi ya Israel ni copy and paste ya mifumo ya US.
Hapa ndo nimejua unaendeshwa na mapenzi zaidi kuliko uhalisia.

Ukraine hatoweza kuibomoa wala kuishinda russia hata apewe msaada mkubwa kiasi gani.

Yani ukraine nchi ambayo haipo hata kumi bora kijeshi duniani inayopigana kwa silaha za kuokoteza na kuombaomba iibomoe Urusi ambayo ni nchi ya pili kwa nguvu za kijeshi duniani?

Nakuhakikishia hata huyo Israeli hana uwezo wa kumshinda Urusi kivita.

Israeli anaonekana bora kwa sababu anapigana na very weak opponents ambao hawana AD hawana ndege za kivita hawana silaha za kueleweka zaidi ya silaha za kuungaunga ambazo nyingine ni home made.
Kuna mahali nimesema kuwa Ukraine imeisambaratisha Urusi? Rudia usome tena.
 
Hakuna binadamu asiye na nchi yake, labda mtu huyo akose kumbukumbu au jamii imnyang'anye haki yake ya kuwa na nchi.

Matatizo ya Mashariki ya Kati, hayataisha mpaka wahusika wote watakapoukubali ukweli kuwa wahusika wote wana haki katika ardhi ya mababu zao. Kama tangu kale watu wa kabila mbalimbali waliisha katika taifa moja, inashindikana nini leo watu wa jamii tofauti kuishi pamoja?
Unachanganya mada na kuhitimisha kama vile umeshaamuwa wote wametokea wapi na ardhi yao ilikuwa ipi.

Nakuuliza swali, unalifaham azimio la Balfour?
 
Kwa logic hii ina maana kila vita ambayo Israel inashinda means Mungu yuko nao? Nchi inayoongoza kwa kusupport ushoga je Mungu anaweza kaa hapo? Duh

Huo ushoga umeanza lini? Na je, maasi, uovu na dhambi ni ushoga pekee?

Uzingatie kuwa nilichokisema ni jinsi walivyoamini nyakati hizo, sijasema mimi kuwa Wayahudi wanaposhinda vita maana yake Mungu amebariki.

Ninachokiamini mimi, ambacho unaweza kukipinga pia, jamii ikitenda kinyume na mapenzi ya Mungu, uasi ukizidi, Mungu anaweza kuiadhibu jamii yenu hata kwa kutumia wanadamu wenzenu, ambao yawezekana pia nao wasiwe jamii takatifu.

Yumkini mauaji mengi dhidi ya waarabu, kuanzia yale ya wenyewe kwa wenyewe mpaka haya ya Wayahudi dhidi yao, huenda kuna matendo ya jamii hizi za kiarabu yenye uovu uliopindukia, ambao haumpendezi Muumba wetu. Bwana wa Mbingu na Nchi anawaadhibu kupitia namna mbalimbali.

NB: Eneo la Mashariki ya kati ndilo linaloongoza kwa vifo vinavyotokana na mapigano kuliko eneo lolote Duniani. Na vingi ni mauaji ya wenyewe kwa wenyewe. Kuna mwaka, miaka ya karibuni, vifo vilivyotokea Mashariki ya kati, vilivyotokana na mapigano ya wenyewe kwa wenyewe vilifikia karibia laki 3.
 
Unachanganya mada na kuhitimisha kama vile umeshaamuwa wote wametokea wapi na ardhi yao ilikuwa ipi.

Nakuuliza swali, unalifaham azimio la Balfour?
Sijawahi kulisikia. Fafanua.
 
Ngoja nikutajie mmoja. Newton unamjua mkuu? Wagunduzi wakubwa duniani ni Waisrael wanaishi katika mataifa mbalimbali hapa duniani. Na wamebobea sana kwenye sector ya mawasiliano.
ficha ujinga wako wewe mfia dini. Sir isaac newton sio myahudi na hajawahi kuwa myahudi hata siku moja nakupa historia ya sayansi. Ugiriki(mji mkuu wake athens) ndio kitovu na chimbuko la sayansi na falsafa ya ulimwengu. Wanasayansi na wanafalsafa wote manguli wametokea ugiriki na waliishi na kufanya gunduzi zao hata kabla yesu hajazaliwa huyo newton ndo kabisa mtoto wa juzi. Zamani enzi za kina newton shule nyingi zilikuwa zinafundisha historia ya ugiriki na lugha ya kigiriki(sio historia ya israel na lugha ya kiyahudi) na huyo newton alisoma historia ya ugiriki na lugha ya kigiriki na akawa inspired na wanasayansi wa kigiriki na kitabu chake aliandika kwa lugha ya kigiriki. Unamjua pythagoras wewe? socrates? Plato je? Xenophon? Aristotle je?Hao wote wameishi kabla ya yesu.
 
Yumkini mauaji mengi dhidi ya waarabu, kuanzia yale ya wenyewe kwa wenyewe mpaka haya ya Wayahudi dhidi yao, huenda kuna matendo ya jamii hizi za kiarabu yenye uovu uliopindukia, ambao haumpendezi Muumba wetu. Bwana wa Mbingu na Nchi anawaadhibu kupitia namna mbalimbali.
Kumbe vifo ina maana tuna dhambi? Unaongeleaje vifo vya Ukraine kufika malaki nao walimkosea nini Mungu? Au wayahudi million 6 waliochinjwa na Hitler je nao walikua na dhambi? Sikujua kumbe vita zinazochochewa na marekani huko uarabuni ni sababu ya dhambi za waarabu duh!!
 
ushoga umeanza lini? Na je, maasi, uovu na dhambi ni ushoga pekee?
Si ndio dhambi kubwa kuliko zote according to JamiiForums!! sasa gay capital of the world ni Tel Aviv ndio najiuliza je Mungu anapendezwa na hayo mambo? Hata pornography industry inaongozwa na wayahudi je Mungu anapendezwa? Hata silaha za maangamizi hao wayahudi ndio wanaongoza kutengeneza!! Je Mungu anapendezwa?
 
Kwa hiyo huyo Mungu watu wake ni waisrael tu?

Na huyo Mungu alikubali waisraeli waue hayo mataifa mengine ili yeye apate kuthibitishwa?

Aisee huyo Mungu wa waisraeli ni wa hovyo sana.

Huyo Mungu hafai kabisa ni muuaji anapaswa kufurushwa.

Hizi hekaya muwe mnawasimulia wajukuu zenu huko nyumbani.
🤣🤣🤣🤣
 
nyakati hizo,
Hii ni kweli, ila kwa sasa hawana Mungu in fact hata biblia hawaiamini wanaona ni ukafiri wanaamini torati tu, sasa Yesu ni Mungu according to wakristo sasa hao wayahudi hawaamini Yesu ni Mungu sasa unadhani wana Mungu gani anayewalinda wakati hawamuamini tena? Hao wanashinda sababu ya silaha na marekani. Enzi hizo walishinda kwa nguvu za Mungu maana walikua na silaha haba, jeshi dogo na bado walishinda hivyo utukufu alichukua Mungu, je kwa sasa utukufu anachukua Mungu au watu wanasifia akili na silaha za wayahudi?
 
Kuna mwamba mmoja aliwahi sema Dini ni biggest lie ever invented by a man ,hakukosea.

Ukizisoma hizi dini kwa imani tu peke yake zitakupeleka puta sana while walio zi invent wanatimiza tu mambo yao,nyie mnabaki tuu kupingana kwa ukristo na uislam wenu ,sijui Taifa Teule ,sijui makafiri.... wote kaeni msome sanaa

There is no such things
 
Si ndio dhambi kubwa kuliko zote according to JamiiForums!! sasa gay capital of the world ni Tel Aviv ndio najiuliza je Mungu anapendezwa na hayo mambo? Hata pornography industry inaongozwa na wayahudi je Mungu anapendezwa? Hata silaha za maangamizi hao wayahudi ndio wanaongoza kutengeneza!! Je Mungu anapendezwa?
Sio tu inaongoza na wayahudi bali na Rabi wakubwa wakubwa, just imagine mtu kama Askofu pengo ama Mufti Simba awe na website ya Porn,

Na sio tu Porn bali vifaa kama Dildos na vinginevyo ndio biashara kubwa ya MA rabbi.

Bila kusahau Hollywood silaha zao nyengine za kimaadili.
 
Back
Top Bottom