Wasichokijua wengi kuhusu Israel

Wasichokijua wengi kuhusu Israel

Tatizo lako wewe unataka utuhadisie mambo ya kizamani yale, siku hizi kuna kila kitu eka ushahidi wa maana na sio "trust me bro evidence"

Na mimi sijifichi mimi ni mwarabu kwetu Oman, ukoo wetu mzima ni Mixture baina ya weusi na waarabu, Babu yangu mmoja mweusi na bibi Mwarabu, sijaona hata siku moja wakibaguliwa na waarabu weusi Omani hawabaguliwi, inshort ndio wengi wapo kwenye Serikali, mpaka Sultan wa sasa na Qaboos wote ni Mixture ya waarabu na weusi, Same kwa Nchi kama Quwait walikuwa na Amir mweusi, Saudi, na Nchi nyingi kuna Royal Families weusi.

Convince me Nchi yenye Ubaguzi kuliko zote duniani kwanini viongozi wao ni weusi? Iweje matajiri weusi watoke huko?
Waarabu wenye afadhali ni wa oman na nafikiri ni kwasababu waliishi na waafrika miaka mingi. Nimekaa al ain nimekaa shajar nimekaa Kuwaiti na Abudhabi, kwa Oman nimekuwa sana nsalalaah kwasababu ya mizigo ila kote nilipopita ni ushenz mtupu. Nakumbuka kuna kipind napita na mshikaji mitaan tukamkuta bint mkenya anapiga kelele dirishan akibahatisha asaidiwe. Ni Mungu tu alimsaidia. Binti yeyote anaekwenda uarabun kutafuta kaz wananyang'anya kwanza kabisa passport yake ili ashindwe kukimbia.
 
Wasiojua, wanaamini kuwa Israel imekuwa tishio kwa Iran na makundi yake ya kigaidi kwa sababu inasaidiwa na Marekani. Jambo ambalo siyo kweli. Marekani inaisaidia Israel zaidi kwenye masuala ya kifedha, lakini siyo kwenye mbinu au utaalam wa vita. Kwenye utaalam wa vita, Israel ina uwezo wa kuifundisha Marekani.
Malaria 2 Baljurashi Adiosamigo TUJITEGEMEE 100 others
 
Katika Uislamu, kufa katika jihad (juhudi au jitihada kwa ajili ya Allah) kunachukuliwa kuwa na malipo makubwa katika Akhera (maisha ya baada ya kifo). Katika Quran, Allah anazungumzia kwa uzito na ahadi kubwa kwa wale wanaopigana katika njia Yake.Miongoni mwa aya zinazozungumzia kuhusu faida ya kufa katika jihad ni:Surat At-Tawba 9:111:
"Hakika Mwenyezi Mungu amenunua kwa Waumini nafsi zao na mali zao kwa kuwa wao watapata Pepo. Wanapigana katika Njia ya Mwenyezi Mungu, wanaua na wanauawa. Hii ni ahadi ya kweli katika Taurati, Injili na Qur’ani. Na nani atimizaye agano kuliko Mwenyezi Mungu? Basi furahini kwa biashara yenu mliyo fanya naye. Na huko ndiko kufuzu kukubwa."Surat Ali Imran 3:169:
"Wala usidhani walio uawa katika Njia ya Mwenyezi Mungu kuwa wamekufa, bali wao wako hai, wanaruzukiwa kwa Mola wao."Hizi aya zinaonyesha kuwa wale wanaokufa wakiwa katika jihad kwa ajili ya Allah wanapata malipo makubwa, ikiwa ni pamoja na Pepo na riziki kutoka kwa Allah. Pia wanachukuliwa kuwa wamefuzu na kupokea ahadi kubwa kutoka kwa Allah kwa sababu ya kujitolea kwao.
 
Waarabu wenye afadhali ni wa oman na nafikiri ni kwasababu waliishi na waafrika miaka mingi. Nimekaa al ain nimekaa shajar nimekaa Kuwaiti na Abudhabi, kwa Oman nimekuwa sana nsalalaah kwasababu ya mizigo ila kote nilipopita ni ushenz mtupu. Nakumbuka kuna kipind napita na mshikaji mitaan tukamkuta bint mkenya anapiga kelele dirishan akibahatisha asaidiwe. Ni Mungu tu alimsaidia. Binti yeyote anaekwenda uarabun kutafuta kaz wananyang'anya kwanza kabisa passport yake ili ashindwe kukimbia.
Unyanyasaji=/=ubaguzi wa rangi.

Kama mfanyakazi Wa Ufilipino, Kenya, India, Bangladesh ananyanyaswa na mfanyabiashara kenya, India, Ufilipino hanyanyaswi huo si ubaguzi wa rangi.
 
Wayahudi ni jamii iliyopigana vita vingi kuliko jamii yoyote.

Kabla ya Masiha, Wayahudi walitumia vita kama uthibitisho wa Mungu kuwa pamoja nao. Walipotenda sawa na mapenzi ya Mungu, waliwapiga maadui zao, tena kwa irahisi. Walipokengeuka, walipoenda vitani, walipigwa, na hata kuchukuliwa mateka na kupelekwa utumwani.

Kumepiganwa zaidi ya vita 100 kugombea mji wa Jerusalem pekee.

Mara baada ya Umoja wa Mataifa kutangaza rasmi uwepo la Israel, kumepiganwa vita 9.

Kwa myahudi, vita imekuwa ni sehemu ya maisha. Wayahudi ni watu wanaotajwa kuwa ni jamii yenye high IQ. Gunduzi nyingi za kisayansi zimefanywa na jamii hii. Jamii hii ya Wayahudi, inashikilia maeneo muhimu ya tekinolojia na biashara huko Marekani na Ulaya.

Wakati wayahudi waliopo Israel ni milioni 7.2 waliopo Marekani pekee ni milioni 7.5. Na hawa waliopo USA siyo watu hohehahe, wengi wao wanashikilia maeneo muhimu. Hiyo ndiyo sababu ya Marekani kudai kuwa daima itasimama na Israel. US inalipa fadhila, kwani hawa wayahudi wana mchango mkubwa sana wa maendeleo ya Sayansi, tekinolojia na biashara kwa Marekani na Ulaya.

Uimara wa jeshi la Israel kwenye vita unachangiwa sana maendeleo ya tekinolojia, uwezo mkubwa wa akili na uzoefu wa miaka mingi katika masuala ya vita.

Wasiojua, wanaamini kuwa Israel imekuwa tishio kwa Iran na makundi yake ya kigaidi kwa sababu inasaidiwa na Marekani. Jambo ambalo siyo kweli. Marekani inaisaidia Israel zaidi kwenye masuala ya kifedha, lakini siyo kwenye mbinu au utaalam wa vita. Kwenye utaalam wa vita, Israel ina uwezo wa kuifundisha Marekani.

Kwenye bajeti ya mwisho ya Marekani ya kuzisaidia Israel na Ukraine, Israel ilipata dola bilioni 60, Ukraine ilipata dola bilioni 90. Je, Ukraine iliyopata msaada mkubwa zaidi, imeweza kuisambaratisha Urusi?

Israel wamesema wazi kuwa wakati wowote Iran itakapofanya maendeleo kuelekea kutengeneza silaha za nuklia, itaenda kuipiga bila ya kusubiri maamuzi ya UN.

Vita ngumu kwa Israel ni hiyo ya Hamas kwa sababu inapiganwa ndani ya nchi yake, na kwenye maeneo yenye mjazano mkubwa wa raia. Lakini jeshi la Iran likisema liingine vitani na Israel, bila ya kujificha kwenye makundi ya raia, kama wanavyofanya Hamas, humkini Iran itapata pigo la kushangaza. Kauli ya balozi wa Iran UN inathibitisha hofu ya Iran kupigana na Israel. Balozi wa Iran UN, alizungumza kwa unyonge mkubwa akisema kuwa Iran inataka amani, wakati ni hii nchi ya Iran ndiyo ilikuwa ya kwanza kuwa na itikadi inayosema Wazayuni hawatakiwi kuwepo Duniani.

Israel kwenye vita dhidi Hezbolah itashinda kiurahisi kuliko dhidi ya Hamas. Makundi ya kigaidi yaliyoundwa na Iran, yanachukiwa na serikali zote za nchi za kiarabu. Pia mataifa ya kiarabu yana uhusiano wa kinafiki na Iran, kwa sababu ya Iran kutengeneza makundi ya kigaidi ili yaziondoe Setikali zote zinazoongozwa na Sunni muslims. Hata kundi la Hezbolah kule Lebanon lina uhasimu na Serikali, na linaungwa na baadhi tu ya waislam wa shia. Hivyo wala si ajabu, serikali ya Lebanon kutoa taarifa za kiintelijensia kwa Israel.

Kwa hali inavyoendelea, na kauli ya Rais wa Iran kwenye umoja wa mataifa, ni wazi Iran inataka ifanye kama ilivyofanya Misri. Misri baada ya kuongoza mashambulizi mara kadhaa dhidi ya Israel na kuishia kupigwa vibaya, mwaka 1979, iliomba kuwa na uhusiano wa kibalozi na Israel. Toka wakati huo hakujawahi kuwepo na vita baina ya Misri na Israel. Iran nayo inaonekana ima hamu ya kuitafuta hiyo njia, baada ya kuona njia ya mapigano na Israel, ni sawa na simba akiwa ndani ya maji kutaka kupigana na mamba.

"After several Arab-Israeli wars, Egypt was the first Arab state to recognize Israel diplomatically in 1979 with the signing of the Israel-Egypt Peace Treaty. It was followed by Jordan with the Israel-Jordan Peace Treaty in 1994. In 2020, four more Arab states (the UAE, Bahrain, Morocco and Sudan) normalized relations."

Pia soma: Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS
Mkuu ukweli itabaki kuwa kweli tuu..Misri ilimpiga Israel..huo Ndio ukweli..
 
Wayahudi ni jamii iliyopigana vita vingi kuliko jamii yoyote.

Kabla ya Masiha, Wayahudi walitumia vita kama uthibitisho wa Mungu kuwa pamoja nao. Walipotenda sawa na mapenzi ya Mungu, waliwapiga maadui zao, tena kwa irahisi. Walipokengeuka, walipoenda vitani, walipigwa, na hata kuchukuliwa mateka na kupelekwa utumwani.

Kumepiganwa zaidi ya vita 100 kugombea mji wa Jerusalem pekee.

Mara baada ya Umoja wa Mataifa kutangaza rasmi uwepo la Israel, kumepiganwa vita 9.

Kwa myahudi, vita imekuwa ni sehemu ya maisha. Wayahudi ni watu wanaotajwa kuwa ni jamii yenye high IQ. Gunduzi nyingi za kisayansi zimefanywa na jamii hii. Jamii hii ya Wayahudi, inashikilia maeneo muhimu ya tekinolojia na biashara huko Marekani na Ulaya.

Wakati wayahudi waliopo Israel ni milioni 7.2 waliopo Marekani pekee ni milioni 7.5. Na hawa waliopo USA siyo watu hohehahe, wengi wao wanashikilia maeneo muhimu. Hiyo ndiyo sababu ya Marekani kudai kuwa daima itasimama na Israel. US inalipa fadhila, kwani hawa wayahudi wana mchango mkubwa sana wa maendeleo ya Sayansi, tekinolojia na biashara kwa Marekani na Ulaya.

Uimara wa jeshi la Israel kwenye vita unachangiwa sana maendeleo ya tekinolojia, uwezo mkubwa wa akili na uzoefu wa miaka mingi katika masuala ya vita.

Wasiojua, wanaamini kuwa Israel imekuwa tishio kwa Iran na makundi yake ya kigaidi kwa sababu inasaidiwa na Marekani. Jambo ambalo siyo kweli. Marekani inaisaidia Israel zaidi kwenye masuala ya kifedha, lakini siyo kwenye mbinu au utaalam wa vita. Kwenye utaalam wa vita, Israel ina uwezo wa kuifundisha Marekani.

Kwenye bajeti ya mwisho ya Marekani ya kuzisaidia Israel na Ukraine, Israel ilipata dola bilioni 60, Ukraine ilipata dola bilioni 90. Je, Ukraine iliyopata msaada mkubwa zaidi, imeweza kuisambaratisha Urusi?

Israel wamesema wazi kuwa wakati wowote Iran itakapofanya maendeleo kuelekea kutengeneza silaha za nuklia, itaenda kuipiga bila ya kusubiri maamuzi ya UN.

Vita ngumu kwa Israel ni hiyo ya Hamas kwa sababu inapiganwa ndani ya nchi yake, na kwenye maeneo yenye mjazano mkubwa wa raia. Lakini jeshi la Iran likisema liingine vitani na Israel, bila ya kujificha kwenye makundi ya raia, kama wanavyofanya Hamas, humkini Iran itapata pigo la kushangaza. Kauli ya balozi wa Iran UN inathibitisha hofu ya Iran kupigana na Israel. Balozi wa Iran UN, alizungumza kwa unyonge mkubwa akisema kuwa Iran inataka amani, wakati ni hii nchi ya Iran ndiyo ilikuwa ya kwanza kuwa na itikadi inayosema Wazayuni hawatakiwi kuwepo Duniani.

Israel kwenye vita dhidi Hezbolah itashinda kiurahisi kuliko dhidi ya Hamas. Makundi ya kigaidi yaliyoundwa na Iran, yanachukiwa na serikali zote za nchi za kiarabu. Pia mataifa ya kiarabu yana uhusiano wa kinafiki na Iran, kwa sababu ya Iran kutengeneza makundi ya kigaidi ili yaziondoe Setikali zote zinazoongozwa na Sunni muslims. Hata kundi la Hezbolah kule Lebanon lina uhasimu na Serikali, na linaungwa na baadhi tu ya waislam wa shia. Hivyo wala si ajabu, serikali ya Lebanon kutoa taarifa za kiintelijensia kwa Israel.

Kwa hali inavyoendelea, na kauli ya Rais wa Iran kwenye umoja wa mataifa, ni wazi Iran inataka ifanye kama ilivyofanya Misri. Misri baada ya kuongoza mashambulizi mara kadhaa dhidi ya Israel na kuishia kupigwa vibaya, mwaka 1979, iliomba kuwa na uhusiano wa kibalozi na Israel. Toka wakati huo hakujawahi kuwepo na vita baina ya Misri na Israel. Iran nayo inaonekana ima hamu ya kuitafuta hiyo njia, baada ya kuona njia ya mapigano na Israel, ni sawa na simba akiwa ndani ya maji kutaka kupigana na mamba.

"After several Arab-Israeli wars, Egypt was the first Arab state to recognize Israel diplomatically in 1979 with the signing of the Israel-Egypt Peace Treaty. It was followed by Jordan with the Israel-Jordan Peace Treaty in 1994. In 2020, four more Arab states (the UAE, Bahrain, Morocco and Sudan) normalized relations."

Pia soma: Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS
Sawa lkn kumbuka Israel imedundwa mara kibao Kwa mfano na wababilon, waamedi na waajemi, wayunani na hata warumi na kupelekwa utumwani miaka kibao pale waisrael walipo mwasi Mungu yaani kuabudu masanamu, kufanya ushoga n.k. Sasa ukitaka kufahamu Israel itadundwa au itashinda kigezo ni matendo mema Kwa Mung, Leo Israel pale tel Aviv ni kitovu Cha mashoga duniani. Kiufupi pamoja na teknolojia Yao Kwa uovu waufanyao Leo Israel kudundwa ni swala la mda tu
 
Ntasimama daima na Israel🇮🇱 . Katika yale makabila 12 ya Israel, 10 yalipotea, yakabaki makabila 2 tu... kabila la Yuda na la Benjamin, yanayotembeza kichapo mashariki ya kati. Viva Israel 🇮🇱, viva wayahudi, viva uzao wa Ibrahim kupitia Isaka
Ndio maana wazungu wanasema kuwa mtu mweuzi ni laana,

Means wewe ni mkristo,watakuja waislamu nao utasikia Israel ni ibirisi ifutike,watu weusi wamegawanywa kiimani ,kila upande unamtetea bwana ake..nenda china,India or Russia huwezi kuta ushabiki wa kijinga hivi
 
  • Kicheko
Reactions: Lax
Waarabu nao hawana akili wanalazimisha vita wasivyo na uwezo navyo..wamezidiwa kila kitu ila bado wapo tu..

mimi ningekuwa na uwezo wa kushauri iran na nchi zinazoipinga Israel ningewaambia hivi..wakati ni ukuta ukishindana nao utakupiga tu.. kwa sasa mbabe wa dunia ni marekani ambaye mshirika wake mkuu ni Israel..sasa hapo huwezi kutoboa

wangejiimarisha kwenye uchumi km china au india then waache kazi ya kumtoa Israel kwa vizazi vijavyo huko..

kipindi cha othuman empire au ottoman empire ilikuwa rahisi sana kuwaondoa hapo maana mturuki alikuwa na nguvu na mbabe dunia zima lakini kwa vile wamerudi sasa wawaache maana wamerudi na nguvu kubwa mara 100 zaidi yao..

Waarabu Wasubili wakati sahihi wanakurupuka sana kwa jazba.
Yaani wewe upo nchi ambayo hata kiwanda cha kutengeneza kijiko hamna ,then unasema warabu hawana akili,seriously???? Bandari, mbuga zenu za wanyama ,viwanja vya ndege baadhi ,hivyo vyote vinaendeshwa na mwarabu then unasema hawana akili?
 
Ndio maana wazungu wanasema kuwa mtu mweuzi ni laana,

Means wewe ni mkristo,watakuja waislamu nao utasikia Israel ni ibirisi ifutike,watu weusi wamegawanywa kiimani ,kila upande unamtetea bwana ake..nenda china,India or Russia huwezi kuta ushabiki wa kijinga hivi
Huna akili ya biblia wala ya historia
 
watu wanapenda kudanganyana sana, vita ni mchezo wa wazi wote tutaona
 
Ndio maana wazungu wanasema kuwa mtu mweuzi ni laana,

Means wewe ni mkristo,watakuja waislamu nao utasikia Israel ni ibirisi ifutike,watu weusi wamegawanywa kiimani ,kila upande unamtetea bwana ake..nenda china,India or Russia huwezi kuta ushabiki wa kijinga hivi
Labda utumie viboko
 
Kabla ya Masiha, Wayahudi walitumia vita kama uthibitisho wa Mungu kuwa pamoja nao. Walipotenda sawa na mapenzi ya Mungu, waliwapiga maadui zao, tena kwa irahisi. Walipokengeuka, walipoenda vitani, walipigwa, na hata kuchukuliwa mateka na kupelekwa utumwani.
Kwa logic hii ina maana kila vita ambayo Israel inashinda means Mungu yuko nao? Nchi inayoongoza kwa kusupport ushoga je Mungu anaweza kaa hapo? Duh
 
Jamii yenye watu wenye IQ Tanzania ni watu wa ccm ...wameshinda chaguzi nyingi
 
Ashkenazi ambao wanaua watu sasa hivi si kabila lolote la Israel bali hao Wanaouliwa yaani Wapalestina, Lebanon, Syria ni katika wana Wa Israel, pamoja na makundi mengine kama Samaritan, Mizrahi jews na to some extent sepharadic jews.
Unaposema waisrael wa kweli ni Wapalestina,Wasyria na Lebanoni ndo unazidi kutuhakikishia kuwa mungu wa Quran ni muongo.Kwenye Qr 5:82 inasema walio maadui na Waislam ni mayahudi.Na leo hii tunaona Wayahudi wanachukiwa sana na waislamu duniani kuliko taifa lolote duniani.Leo unapotuambia Wapalestina,Lebanoni Syria,he Waislam leo ni maadui na Hayo mataifa?Au Quran imeongopa?
 
Unaposema waisrael wa kweli ni Wapalestina,Wasyria na Lebanoni ndo unazidi kutuhakikishia kuwa mungu wa Quran ni muongo.Kwenye Qr 5:82 inasema walio maadui na Waislam ni mayahudi.Na leo hii tunaona Wayahudi wanachukiwa sana na waislamu duniani kuliko taifa lolote duniani.Leo unapotuambia Wapalestina,Lebanoni Syria,he Waislam leo ni maadui na Hayo mataifa?Au Quran imeongopa?
1. Tofautisha jews kama dini na Israelite kama watu. Hao waisrael walisemwa zamani sio wote bado ni wayahudi, Asilimia kubwa wameshabadili dini na kuwa Waisilamu/Wakristo.

2. Hakuna popote kwenye Uisilamu panaposema Wayahudi ni maadui wa Waisilamu, kila Aya/Hadithi ya kiisilamu ina context yake, isome uelelewe, kama lengo lako ni kuelewa, kama lengo lako ni dhihaka ukiona comment yangu ipotezee tu.

Hio Aya imeshushwa baada ya waisilamu waliokimbilia Ethiopia kupokelewa na mfalme Najashi na kutodhuriwa, wa kapewa ukimbizi, Japo Washirikina wa Makka wakati huo walienda Ethiopia ili mfalme Najashi asiwape hifadhi hakukubaliana nao, At same time Kulikuwa na wayahudi Madina ambao walikuwa pia wanashirikiana na Hao Washirikina wa Makka, koo kama Banu Qurayzah so imeshushwa Specific kuwa adress hao, na mafunzo tunayapata kutokana kwao,

Aya ina Apply mpaka kwa jews wa leo (sio wote) ila hao wenye tabia kama zilizokuwa described na Context ya hio Aya jews ambao wana Belittle others, wanapenda kuanzisha uasi, kukataa wasomi, kukataa ukweli etc.

Angalia hizo sifa hao watu wanaojiita watawala wa Israel wanazo hadi leo
1. Wanajiona wao ni Chosen one na wengine wote ni wajinga tu wao ni binadamu bora zaidi
2. Wasomi mbalimbali na tafiti mbalimbali zinazoonesha wapalestina na Lebanon kama Israelite wa zamani utaona wanawakandia hao wasomi
3. Wana tabia za kuua wasomi ambao si upande wao ili wasomi wao tu waonekane bora
4. Kila sehemu wanatengeneza uasi na makundi mbalimbali ambayo yana Destabilize nchi mbalimbali kama Vile Isis, Al Qaeda etc.
 
Back
Top Bottom