Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uyasemayo sidhani kama yanaakisi huwalisia...Hakuna hao watu duniani hapa, (Uwezi kutumikia mabwana wawili). Matajiri hawawezi kuiteka Mbingu, b'coz , fedha zao ukamilisha tamaa zao zote ziwajiazo. Na kila wakifanyacho duniani, kina mapungufu mengi ya Ki-Mungu, bali kimejaa heshima na tabia za Kidunia. Matajiri wanaonekana kama wacha Mungu na wafadhiri wa watu wa Mungu, lakini ukiwa na hekima ya Mungu, utajua wanaikana nguvu ya Mungu na wanakufanya wewe unaowaona au unaesaidiwa na wao kuwa mtumwa wa hao matajiri kifikra na kimaisha( Wanaiba sifa ya Mungu kuwa tegemeo na kuichukua wao Matajiri bila kukuwambia)
Uwe Padri, Askofu, Mchungaji, Unatoa pepo, Maadam wewe ni tajiri, unaangukia kwenye kanuni ile ile ya huwezi kumtumikia Mungu na Mali, either uambatane na Mungu au Uambatane na Mali zako. Mungu ni mwaminifu, maneno yetu mengi ya kupambana labda alimaanishe vingine haimsumbui. Kumbuka tajiri kuingia kwenye Ufalme wa Mungu anatakiwa achukue kanuni ya Yesu Kristo ya "Kujitoa Sadaka Yeye Mwenyewe". Yaani amtumikie Mungu yeye sio mali zake. Hakuna mtu mwenye hela nyingi ata kama ni Askofu anaejitoa sadaka kwa Mungu, wengi wanampa Mungu Sadaka ya pesa zao na mali zao na kujiokoa kutoka kwa Mungu. Matajiri siku zote huziokoa na kuziponya nafsi zao zisizurike kwa maana, wana vyeo na Mali, wanazipenda na wana fedha za kuzirinda, masikini yeye huiangamiza nafsi yake maana haoni samani ya dunia (Yesu alisema haiponyae nafsi yake ataingamiza na haingamizae nafsi yake ataiponya), Put Masikini yeye hujimaliza kwa sababu hana fedha wala dhahabu kwahiyo humpa Mungu vyote roho na mwili. KWA BINADAMU HAIWEZEKANI LAKINI KWA MUNGU YOTE YAWEZEKANA. Tuombeane.Uyasemayo sidhani kama yanaakisi huwalisia...
Wengi watu wa imani tunautafsiri utajiri ktk Hali hasi...lakini tunasahau kuwa tunaviongozi wengi wa dini tena wanatuongoza ktk nyumba za ibada wanautajiri wa kupindukia.
Embu fikiria Hali ya kiuchumi ya wachungaji wengi barani Africa...afu angalia Hali ya wafuasi wao ( waumini).
Njoo tuwaangalie mapadre Hali zao za kiuchumi...afu tuangalie waumini wao.
Kwa kifupi tukiangalia wachungaji na mapadre wengi ni matajiri...
Swali la kujiuliza,je utajiri wao wa Hali??
Nahitimisha kwa kusema...utajiri si dhambi,wala sio kwamba matajiri hawataiona mbingu...wapo watakaoiona mbingu Ila ni wachache.
Kuichukua dunia haimaanishi kujitenga na utafutaji wa pesa,haimaanishi kutokujipenda kula vzur,kuvaa na kuendesha magari mazuri.
Kuichukia dunia ni kujiepusha na matamanio ambayo yanamchukiza Mungu...na kujisahaulisha kwa starehe fupi za kidunia na kusahau majukumu ya kimungu.
Uwe Padri, Askofu, Mchungaji, Unatoa pepo, Maadam wewe ni tajiri, unaangukia kwenye kanuni ile ile ya huwezi kumtumikia Mungu na Mali, either uambatane na Mungu au Uambatane na Mali zako. Mungu ni mwaminifu, maneno yetu mengi ya kupambana labda alimaanishe vingine haimsumbui. Kumbuka tajiri kuingia kwenye Ufalme wa Mungu anatakiwa achukue kanuni ya Yesu Kristo ya "Kujitoa Sadaka Yeye Mwenyewe". Yaani amtumikie Mungu yeye sio mali zake. Hakuna mtu mwenye hela nyingi ata kama ni Askofu anaejitoa sadaka kwa Mungu, wengi wanampa Mungu Sadaka ya pesa zao na mali zao na kujiokoa kutoka kwa Mungu. Matajiri siku zote huziokoa na kuziponya nafsi zao zisizurike kwa maana, wana vyeo na Mali, wanazipenda na wana fedha za kuzirinda, masikini yeye huiangamiza nafsi yake maana haoni samani ya dunia (Yesu alisema haiponyae nafsi yake ataingamiza na haingamizae nafsi yake ataiponya), Put Masikini yeye hujimaliza kwa sababu hana fedha wala dhahabu kwahiyo humpa Mungu vyote roho na mwili. KWA BINADAMU HAIWEZEKANI LAKINI KWA MUNGU YOTE YAWEZEKANA. Tuombeane.
Sawa, unavyoamini wewe. Naeshimu mawazo yako pia.Mkuu umaskini sio ndo kipimo cha uchamungu....kama ulikuwa hujui umaskini ni nusu ya ukafiri (kukufuru).
Bado hujajua kusudio sahihi wa ule msemo,na huenda ule msemo umekuja sahihishwa na aya hii ktk Qur'an.View attachment 1659445
Na si kwamba enzi za mitume hapakuwa na matajiri wakiwaamini mitume...laaa.
Walikuwepo matajiri wengi wakiwaamini mitume na walikuwepo maskini wakiwaamini mitume pia na kinyume chake.
Ondoa dhana hii kichwani kwako...utajiri sio dhambi,utajiri sio chanzo cha maovu...kuwa tajiri haimaanishi hauna sifa ya kuwa mfuasi wa Mungu (mcha Mungu).
Embu ilewe kwanza aya hiyo apo juu ndo utanielewa namaanisha nini.
Pamoja mkuu..Sawa, unavyoamini wewe. Naeshimu mawazo yako pia.
Hapana. Haina maana hiyo. Kule palestina enzi hizo za taifa la Israel kulikuwa na eneo la mlimani ambapo illikuwa ni njia kuelekea malishomomlakoni Ni wanyama wadogo tu hasa kondoo waliweza kupenya katikati ya miamba hiyo iloyokuwa imegusana. Kwenye njia hiyo, ngamia walishindwa kupenya kwa hiyo oakaitwa "tundu la sindano" kwa sababu ya udogo wake. Yesu alipotoa mfano huu was tajiri, alikuwa akimaanisha mahali ambapo ngamia wanashindwa kupenya na sio sindano ya kawaida.Katika kitabu kitakatifu cha Biblia, Marko 10: 25 inasema: Ni rahisi ngamia kupenya katika tundu ya sindano kuliko tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu.
Wanachokielewa wengi, wakiwemo baadhi ya watumishi wa Mungu, ni kwamba ngamia anayezungumziwa hapa ni yule mnyama mwenye nundu kubwa mgongoni, pengine hata wewe kwa miaka mingi umekuwa ukijua hivyo.
Hata hivyo, ngamia iliyomaanishwa hapa, ni kamba! Ndiyo, kamba! Zile kamba nene zinazotumika kuvuta kwa mfano meli iliyozama na kadhalika. Makosa ya tafsiri hii yanaanzia kwenye kufasiri kifungu hiki cha Biblia kutoka kwenye Kiingereza kuja kwenye Kiswahili. Kwa Kiingereza, Mark 10:25 inasomeka hivi: It is easier for a camel to go through the eye of a needle than for a rich person to enter the kingdom of God.
Ukichukua kamusi yako, angalia maana ya neno camel, ya kwanza utaona ni ngamia mnyama lakini kuna maana ya pili ambayo ni hii: Camel: An apparatus for raising a sunken ship, consisting of one or more watertight chests to provide buoyancy. Kwa tafsiri nyepesi, ni kamba nene zinazotumika kuvuta meli iliyozama...
Kwa commoni sense ya kawaida tu, ngamia mnyama anawezaje kufananishwa na kupenya kwenye tundu la sindano? Hakuna uhusiano wowote, lakini kuna uhusiano wa kamba nene kupenya kwenye tundu la sindano kwa sababu kamba nyembamba (uzi) unapenya kirahisi!
Kwa hiyo tunahitimisha kwa kusema, ngamia/camel inayomaanishwa kwenye bible ni kamba. I stand to be corrected!
Hapana mtoa.mada hujaelewa vizuri lugha ya asiliw we
View attachment 1651630
Summarization
Hoja ni tatu
1. Ngamia mnyama kupita kwenye tundu la sindano(sindano hapa inamaanisha kifaa). Hii ni hoja kongwe na iliyozoeleka mno. Kifupi hapa tunaona haiwezekan kabisa ngamia kupita kwenye hilo tundu.
2. Ngamia kama kamba kupita kwenye tundu la sindano kifaa. Hii ni tafsiri ambayo siyo maarufu sana. Hapa ngamia inamaanisha kamba ambayo ni nene na hutumika kuvitia meli iliyozama au kutia nanga. Pia hapa kimantiki ni ngumu kamba hiyo kupita kwenye matundu ya sindano nyingi tunazozifahamu.
3. Ngamia kama mnyama kupita kwenye mlango wa kuingia mji Jerusalem ambao kwao ulijulikana kama tundu la sindano. Kihistoria inaonyesha ni lango ambalo lilikuwa ni dogo kwa umbile lake hivyo ili kupitisha ngamia ilibidi alazimishwe sana kwa kuwa alikuwa hapiti amesimama na watu ndiyo walitumia nguvu kubwa zaidi kumpitisha. Hapa huenda yesu alitaka kututizamisha kuwa ni kwa unyekekevu wa hali ya juu kwa Mungu ndiyo kitu pekee kinachoweza kumuingiza tajiri mbinguni.
Majumuisho:
Hoja ya tatu hapo inaonyesha kuwa kuna uwezekano wa tajiri kuingia mbinguni tofauti na hoja mbili za awali.
Maoni yangu ya awali kabla sijatafuta maandiko zaidi kuhusu hili yananiaminisha hoja ya tatu ni sahihi kwa sababu
kwanza inaonesha kuna uwezekano wa tajiri kuingia mbinguni tofauti na mbili za awali.
Pili, pamoja na kuwa hoja kuwa ngamia kama kamba inajishikiza kwenye ukweli wenye nguvu kwamba alikuwa anaongea na wavuvi ambao bila shaka walielewa vema maudhui ya kamba hiyo. Ikumbukwe ni kanuni ya mawasiliano kuwa mada lazima izingatie muktadha husika lakini ni hakika bila shaka kama alikuwa anaongea na wakazi wa mji wa yerusalemu basi walijua uwepo wa mlango ulioitwa tundu la sindano. Hivyo Yesu alijua fika wataelewa kwa kuwa wanaujua mji wao.
Kosa lenyewe la tafsiri. Kama ulishawahi kufanya kazi au kusomea maarifa kuhusu taaluma ya tafsiri basi pasi na shaka unaweza kuona kuwa huenda mfasiri alitumia tafsiri sisisi zaidi kulifasiri neno ambalo linaibua kiini cha mjadala yaani hakuzingatia matumizi mapana ya neno hilo kutoka katika jamii ya matini chanzi.
Mjadala uendelee
Kuna mtu aliwahi kusema hivi: ngamia iiliyoongelewa hapa na Yesu, ni milango ya majumba makubwa ya zamani yale yaliyokuwa yanayojengwa kwa architecture ya duara kama uwanja wa mpira, halafu mule ndani kunakuwa na uwazi mkubwa, na majumba hayo yanakuwa na nyumba nyingi zimekaa kwenye mduara. Majumba hayo yalikuwa yanakuwa na milango michache mikubwa (kama gates) na pia milango mingine midogo midogo yenye sura kama tundu la sindano, ambayo ngamia mnyama, alikuwa hawezi kupita kwenye milango hii isipokuwa binadamu peke yake. Ngamia wenyewe walikuwa na uwezo wa kupita kwa kutumia yale mageti yale makubwa tu. Milango hii iliyofanana na matundu ya sindano, ilikuwa inaitwa tundu la sindano. Ukweli ni kuwa tafsri uliyoitoa wewe hapa ndiyo ina uwezekano mkubwa wa kuwa sahihiKatika kitabu kitakatifu cha Biblia, Marko 10: 25 inasema: Ni rahisi ngamia kupenya katika tundu ya sindano kuliko tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu.
Wanachokielewa wengi, wakiwemo baadhi ya watumishi wa Mungu, ni kwamba ngamia anayezungumziwa hapa ni yule mnyama mwenye nundu kubwa mgongoni, pengine hata wewe kwa miaka mingi umekuwa ukijua hivyo.
Hata hivyo, ngamia iliyomaanishwa hapa, ni kamba! Ndiyo, kamba! Zile kamba nene zinazotumika kuvuta kwa mfano meli iliyozama na kadhalika. Makosa ya tafsiri hii yanaanzia kwenye kufasiri kifungu hiki cha Biblia kutoka kwenye Kiingereza kuja kwenye Kiswahili. Kwa Kiingereza, Mark 10:25 inasomeka hivi: It is easier for a camel to go through the eye of a needle than for a rich person to enter the kingdom of God.
Ukichukua kamusi yako, angalia maana ya neno camel, ya kwanza utaona ni ngamia mnyama lakini kuna maana ya pili ambayo ni hii: Camel: An apparatus for raising a sunken ship, consisting of one or more watertight chests to provide buoyancy. Kwa tafsiri nyepesi, ni kamba nene zinazotumika kuvuta meli iliyozama...
Kwa commoni sense ya kawaida tu, ngamia mnyama anawezaje kufananishwa na kupenya kwenye tundu la sindano? Hakuna uhusiano wowote, lakini kuna uhusiano wa kamba nene kupenya kwenye tundu la sindano kwa sababu kamba nyembamba (uzi) unapenya kirahisi!
Kwa hiyo tunahitimisha kwa kusema, ngamia/camel inayomaanishwa kwenye bible ni kamba. I stand to be corrected!
View attachment 1651630