Wasichokijua Wengi Kuhusu Marko 10: 25 katika Biblia

Wasichokijua Wengi Kuhusu Marko 10: 25 katika Biblia

Katika kitabu kitakatifu cha Biblia, Marko 10: 25 inasema: Ni rahisi ngamia kupenya katika tundu ya sindano kuliko tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu.

Wanachokielewa wengi, wakiwemo baadhi ya watumishi wa Mungu, ni kwamba ngamia anayezungumziwa hapa ni yule mnyama mwenye nundu kubwa mgongoni, pengine hata wewe kwa miaka mingi umekuwa ukijua hivyo.

Hata hivyo, ngamia iliyomaanishwa hapa, ni kamba! Ndiyo, kamba! Zile kamba nene zinazotumika kuvuta kwa mfano meli iliyozama na kadhalika. Makosa ya tafsiri hii yanaanzia kwenye kufasiri kifungu hiki cha Biblia kutoka kwenye Kiingereza kuja kwenye Kiswahili. Kwa Kiingereza, Mark 10:25 inasomeka hivi: It is easier for a camel to go through the eye of a needle than for a rich person to enter the kingdom of God.

Ukichukua kamusi yako, angalia maana ya neno camel, ya kwanza utaona ni ngamia mnyama lakini kuna maana ya pili ambayo ni hii: Camel: An apparatus for raising a sunken ship, consisting of one or more watertight chests to provide buoyancy. Kwa tafsiri nyepesi, ni kamba nene zinazotumika kuvuta meli iliyozama...

Kwa commoni sense ya kawaida tu, ngamia mnyama anawezaje kufananishwa na kupenya kwenye tundu la sindano? Hakuna uhusiano wowote, lakini kuna uhusiano wa kamba nene kupenya kwenye tundu la sindano kwa sababu kamba nyembamba (uzi) unapenya kirahisi!

Kwa hiyo tunahitimisha kwa kusema, ngamia/camel inayomaanishwa kwenye bible ni kamba. I stand to be corrected!

View attachment 1651630
Siyo hivyo

Mji Wa Yesusalem ulizungushiwa ukuta Mkubwa. Na kulikuwa na milango 12, katika hiyo milango 12 kulikuwa Na lango moja kubwa tunaliita lango la mji. Lango hili hutumika kwa ajili ya magari, ngamia na mizigo na watu hasa wafanyabiashara. Ili pia waweze kulipishwa ushuru.

Sasa kila mlango ulikuwa una jina lake, upo ulioitwa mlango mzuri, n.k sasa kuna mlango uliitwa Tundu la Sindano. Mlango huu ulikuwa maarufu sana kwa wafanya biashara wakwepa ushuru. Walikuwa wakipita hapo wao Na mizigo yao.

Sasa kasheshe ilikuwa kupitisha Ngamia, sababu mlango ule ulikuwa kwa ajili ya kupita mtu mmoja mmoja tena kwa kupishana. Sasa ngamia ni Mkubwa ilibidi wamlaze Na ile nundu Yake, wamburute wafanye wawezalo ili apite.

Kwa hiyo alikuwa anapita ila kwa mateso sana. Ndo ukapewa jina la TUNDU LA SINDANO. Na Yesu katika kufundisha alimaanisha mlango Na siyo sindano.

Mungu awabariki.
 
Hivi ikiwa MUNGU alitaka tu kusema kwa uwezo wake kuwa ni rahisi kwa ngamia mnyama kupenya kwenye tundu la sindano (anajaribu kuonyesha ukuu wake ) hapo napo vipi? Alafu mawazo yetu siyo mawazo yake.. Bali kila neno lafaa kwa mafundisho, iwe ngamia mnyama, iwe kamba fresh tu kubwa kushika amri zake na kuzifuata
 
Waiter naomba ka energy ka kuchanganyia plz [emoji481][emoji481][emoji481][emoji481][emoji481][emoji481][emoji482][emoji482][emoji482]
 
Yaani huo mfano wa yesu kuhusu ngamia kupenya kwenye tundu la sindano unaeleweka vizuri kuliko wewe unavyotafsiri
 
Katika kitabu kitakatifu cha Biblia, Marko 10: 25 inasema: Ni rahisi ngamia kupenya katika tundu ya sindano kuliko tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu.

Wanachokielewa wengi, wakiwemo baadhi ya watumishi wa Mungu, ni kwamba ngamia anayezungumziwa hapa ni yule mnyama mwenye nundu kubwa mgongoni, pengine hata wewe kwa miaka mingi umekuwa ukijua hivyo.

Hata hivyo, ngamia iliyomaanishwa hapa, ni kamba! Ndiyo, kamba! Zile kamba nene zinazotumika kuvuta kwa mfano meli iliyozama na kadhalika. Makosa ya tafsiri hii yanaanzia kwenye kufasiri kifungu hiki cha Biblia kutoka kwenye Kiingereza kuja kwenye Kiswahili. Kwa Kiingereza, Mark 10:25 inasomeka hivi: It is easier for a camel to go through the eye of a needle than for a rich person to enter the kingdom of God.

Ukichukua kamusi yako, angalia maana ya neno camel, ya kwanza utaona ni ngamia mnyama lakini kuna maana ya pili ambayo ni hii: Camel: An apparatus for raising a sunken ship, consisting of one or more watertight chests to provide buoyancy. Kwa tafsiri nyepesi, ni kamba nene zinazotumika kuvuta meli iliyozama...

Kwa commoni sense ya kawaida tu, ngamia mnyama anawezaje kufananishwa na kupenya kwenye tundu la sindano? Hakuna uhusiano wowote, lakini kuna uhusiano wa kamba nene kupenya kwenye tundu la sindano kwa sababu kamba nyembamba (uzi) unapenya kirahisi!

Kwa hiyo tunahitimisha kwa kusema, ngamia/camel inayomaanishwa kwenye bible ni kamba. I stand to be corrected!

View attachment 1651630
Katika kitabu kitakatifu cha Biblia, Marko 10: 25 inasema: Ni rahisi ngamia kupenya katika tundu ya sindano kuliko tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu.

Wanachokielewa wengi, wakiwemo baadhi ya watumishi wa Mungu, ni kwamba ngamia anayezungumziwa hapa ni yule mnyama mwenye nundu kubwa mgongoni, pengine hata wewe kwa miaka mingi umekuwa ukijua hivyo.

Hata hivyo, ngamia iliyomaanishwa hapa, ni kamba! Ndiyo, kamba! Zile kamba nene zinazotumika kuvuta kwa mfano meli iliyozama na kadhalika. Makosa ya tafsiri hii yanaanzia kwenye kufasiri kifungu hiki cha Biblia kutoka kwenye Kiingereza kuja kwenye Kiswahili. Kwa Kiingereza, Mark 10:25 inasomeka hivi: It is easier for a camel to go through the eye of a needle than for a rich person to enter the kingdom of God.

Ukichukua kamusi yako, angalia maana ya neno camel, ya kwanza utaona ni ngamia mnyama lakini kuna maana ya pili ambayo ni hii: Camel: An apparatus for raising a sunken ship, consisting of one or more watertight chests to provide buoyancy. Kwa tafsiri nyepesi, ni kamba nene zinazotumika kuvuta meli iliyozama...

Kwa commoni sense ya kawaida tu, ngamia mnyama anawezaje kufananishwa na kupenya kwenye tundu la sindano? Hakuna uhusiano wowote, lakini kuna uhusiano wa kamba nene kupenya kwenye tundu la sindano kwa sababu kamba nyembamba (uzi) unapenya kirahisi!

Kwa hiyo tunahitimisha kwa kusema, ngamia/camel inayomaanishwa kwenye bible ni kamba. I stand to be corrected!

View attachment 1651630


Katika kitabu kitakatifu cha Biblia, Marko 10: 25 inasema: Ni rahisi ngamia kupenya katika tundu ya sindano kuliko tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu.

Wanachokielewa wengi, wakiwemo baadhi ya watumishi wa Mungu, ni kwamba ngamia anayezungumziwa hapa ni yule mnyama mwenye nundu kubwa mgongoni, pengine hata wewe kwa miaka mingi umekuwa ukijua hivyo.

Hata hivyo, ngamia iliyomaanishwa hapa, ni kamba! Ndiyo, kamba! Zile kamba nene zinazotumika kuvuta kwa mfano meli iliyozama na kadhalika. Makosa ya tafsiri hii yanaanzia kwenye kufasiri kifungu hiki cha Biblia kutoka kwenye Kiingereza kuja kwenye Kiswahili. Kwa Kiingereza, Mark 10:25 inasomeka hivi: It is easier for a camel to go through the eye of a needle than for a rich person to enter the kingdom of God.

Ukichukua kamusi yako, angalia maana ya neno camel, ya kwanza utaona ni ngamia mnyama lakini kuna maana ya pili ambayo ni hii: Camel: An apparatus for raising a sunken ship, consisting of one or more watertight chests to provide buoyancy. Kwa tafsiri nyepesi, ni kamba nene zinazotumika kuvuta meli iliyozama...

Kwa commoni sense ya kawaida tu, ngamia mnyama anawezaje kufananishwa na kupenya kwenye tundu la sindano? Hakuna uhusiano wowote, lakini kuna uhusiano wa kamba nene kupenya kwenye tundu la sindano kwa sababu kamba nyembamba (uzi) unapenya kirahisi!

Kwa hiyo tunahitimisha kwa kusema, ngamia/camel inayomaanishwa kwenye bible ni kamba. I stand to be corrected!

View attachment 1651630
Katika kitabu kitakatifu cha Biblia, Marko 10: 25 inasema: Ni rahisi ngamia kupenya katika tundu ya sindano kuliko tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu.

Wanachokielewa wengi, wakiwemo baadhi ya watumishi wa Mungu, ni kwamba ngamia anayezungumziwa hapa ni yule mnyama mwenye nundu kubwa mgongoni, pengine hata wewe kwa miaka mingi umekuwa ukijua hivyo.

Hata hivyo, ngamia iliyomaanishwa hapa, ni kamba! Ndiyo, kamba! Zile kamba nene zinazotumika kuvuta kwa mfano meli iliyozama na kadhalika. Makosa ya tafsiri hii yanaanzia kwenye kufasiri kifungu hiki cha Biblia kutoka kwenye Kiingereza kuja kwenye Kiswahili. Kwa Kiingereza, Mark 10:25 inasomeka hivi: It is easier for a camel to go through the eye of a needle than for a rich person to enter the kingdom of God.

Ukichukua kamusi yako, angalia maana ya neno camel, ya kwanza utaona ni ngamia mnyama lakini kuna maana ya pili ambayo ni hii: Camel: An apparatus for raising a sunken ship, consisting of one or more watertight chests to provide buoyancy. Kwa tafsiri nyepesi, ni kamba nene zinazotumika kuvuta meli iliyozama...

Kwa commoni sense ya kawaida tu, ngamia mnyama anawezaje kufananishwa na kupenya kwenye tundu la sindano? Hakuna uhusiano wowote, lakini kuna uhusiano wa kamba nene kupenya kwenye tundu la sindano kwa sababu kamba nyembamba (uzi) unapenya kirahisi!

Kwa hiyo tunahitimisha kwa kusema, ngamia/camel inayomaanishwa kwenye bible ni kamba. I stand to be corrected!




DON'T TRANSLATE BIBLE VERSE LIKE TEXT MSG ! THINK BIG,,,, THINK BEYOND HORIZON,,, HII NI MARKO JE INGEKUA UFUNUO INGEKUAJE?

Parables illustrate the invisible (spiritual) world by using analogies from the visible (natural) world. Scholars differ on the exact number of parables Jesus told en We know He used over 100 metaphors and told at least 36, parables 15 are found in Matthew, 6 occur in Mark (4 are repeats), and 35 appear in Luke (16 are repeats, 19 are unique). Why Jesus preached in parables:

  • To fulfill prophecy: “All these things Jesus spoke to the multitude in parables; and without a parable He did not speak to them, that it might be fulfilled which was spoken by the prophet, saying: ‘I will open My mouth in parables; I will utter things kept secret from the foundation of the world’” (Mt. 13:34-35, NKJV). 1,000 years before Jesus came, the Psalmist Asaph predicted He would preach in parables (Ps. 78:1-3). Jesus fulfilled every prophecy about His life, ministry, death, burial, and resurrection.
  • To reveal truth: “And the disciples came and said to Him, ‘Why do You speak to them in parables?’ He answered and said to them, ‘Because it has been given to you to know the mysteries of the kingdom of heaven, but to them it has not been given’” (Mt. 13:10-11). The mysteries of the kingdom are contained in the parables of the kingdom (secrets hidden from the foundation of the world). Parables open our eyes to deeper insights into Christ and His kingdom and give us a greater glimpse into the spiritual realm.
  • To conceal truth: Jesus explained, “Therefore I speak to them in parables, because seeing they do not see, and hearing they do not hear, nor do they understand. And in them the prophecy of Isaiah is fulfilled, which says: ‘Hearing you will hear and shall not understand, and seeing you will see and not perceive’” (Mt. 13:13-14). Not everyone was intended to understand Christ’s message. He skillfully used parables to throw curve balls and confuse those who were not open to truth. Parables have a unique way of withdrawing the light from those who love darkness. They have an element of mystery, forcing the listener to meditate on them to fully fathom their meaning. The casual listener is left baffled, hearing the superficial story but failing to grasp the underlying truths conveyed.

  • To illustrate truth: Parables provide examples of how truth applies to everyday life. When a lawyer asked Jesus, “Who is my neighbor?” He responded with the Parable of the Good Samaritan (Lk. 10:29-36). In it, Jesus redefined the term “neighbor” as any person of any race who is in need, not just a person who lives nearby, and He showed how true neighbors treat others. To illustrate the need for persistence in prayer, Jesus shared the Parable of the Unjust Judge (Lk. 18:1-8). His point? If persistence pays with a crooked judge who has no interest in your case, how much more so with the just Judge (God) who has a supreme interest in your case.


 
Siyo hivyo

Mji Wa Yesusalem ulizungushiwa ukuta Mkubwa. Na kulikuwa na milango 12, katika hiyo milango 12 kulikuwa Na lango moja kubwa tunaliita lango la mji. Lango hili hutumika kwa ajili ya magari, ngamia na mizigo na watu hasa wafanyabiashara. Ili pia waweze kulipishwa ushuru.

Sasa kila mlango ulikuwa una jina lake, upo ulioitwa mlango mzuri, n.k sasa kuna mlango uliitwa Tundu la Sindano. Mlango huu ulikuwa maarufu sana kwa wafanya biashara wakwepa ushuru. Walikuwa wakipita hapo wao Na mizigo yao.

Sasa kasheshe ilikuwa kupitisha Ngamia, sababu mlango ule ulikuwa kwa ajili ya kupita mtu mmoja mmoja tena kwa kupishana. Sasa ngamia ni Mkubwa ilibidi wamlaze Na ile nundu Yake, wamburute wafanye wawezalo ili apite.

Kwa hiyo alikuwa anapita ila kwa mateso sana. Ndo ukapewa jina la TUNDU LA SINDANO. Na Yesu katika kufundisha alimaanisha mlango Na siyo sindano.

Mungu awabariki.
Duh!! mbona inakuwa hivyo tena...
 
Sawa kabisa
Mkuu, yawezekana "tundu la sindano" ikawa ni metaphor tu ikimaanisha lango dogo katika mji wa Yerusalemu.
Kwamba malango mengine makubwa ktk mji huu yalifungwa wakati wa usiku na hili lango dogo lilifunguliwa kwa sababu za kiusalama na wale waliochekewa kuingia maskani walipia mlango huu.
Aidha wanyama kama ngamia kunako late hours walipitishwa ktk mlango mdogo lakini kwa kupunguziwa mzigo waliobeba na kuwa push kwa nguvu ili wapite pale. Iliwezekana ngamia kupita ktk mlango mdogo (tundu la sindano).
Hapa maneno 'tundu la sindano' yametumika kama hyperbole.
 
Naam
Hii inaleta sense!
Binadamu kujinyenyekeza (humbleness), kama ngamia anavyopita ktk mlango mdogo (eye of the needle) wa ukuta wa Yerusalemu. Ngamia huondolewa mzigo mgongoni mwake na kukunja miguu yake (kupigishwa magoti) ili aweze kupita katika mlango huu mdogo wakati wa usiku. Ni rahisi ngamia huyu kupita ktk mlango huu mdogo na kuingia ktk mji wa Yerusalemu au ni rahisi ngamia kupita katikati ya miti miwili inayobana ili aweze kusafishwa uchafu ulio ktk ngozi yake.
Kumbe metaphor hii ni kwa ajili yetu sisi binadamu. Kama tunaweza kujishusha na kupitia mlango mdogo/njia nyembamba baada ya kushusha mizigo yetu ( viburi, majivuno, husda, visasi, wizi, uzinzi ...), tunaweza kuingia ktk Yerusalemu mpya.
If we humble ourselves and pray on our knees, we can approach the kingdom of heaven.
 
Kabisa!
Tundu la sindano ( vimilango vidogo vilivyokuwa vikitobolewa kwenye boma(ngome) au ukuta upiokuwa ukizunguka mji .
Hapo zamani miji mingi mfano mji wa Yeriko huko Mashariki ya kati ilikuwa inazungushiwa ukuta mnene.
Sasa ikitimia mida ya jioni miji hufugwa. Wafanyabiashara au wafugaji wakichelewa kuingia mjini hufunguliwa vimilango vidogo (Tundu la sindano) . Sasa kwa urefu wa ngamia basi ni mbinde kuingia kwa hivi vimilango. Technics za kuwabembeleza hutumika mpaka wanainama kwa hiari yao na kuingia kwenye vile vimilango (Tundu la sindano).
Chuo nilichosoma Mimi tundul la sindano maana yake ni vile milango midogo /mifupi ya dharura iliyowekwa kwenye ngome.
 
Ameni!
Siyo hivyo

Mji Wa Yesusalem ulizungushiwa ukuta Mkubwa. Na kulikuwa na milango 12, katika hiyo milango 12 kulikuwa Na lango moja kubwa tunaliita lango la mji. Lango hili hutumika kwa ajili ya magari, ngamia na mizigo na watu hasa wafanyabiashara. Ili pia waweze kulipishwa ushuru.

Sasa kila mlango ulikuwa una jina lake, upo ulioitwa mlango mzuri, n.k sasa kuna mlango uliitwa Tundu la Sindano. Mlango huu ulikuwa maarufu sana kwa wafanya biashara wakwepa ushuru. Walikuwa wakipita hapo wao Na mizigo yao.

Sasa kasheshe ilikuwa kupitisha Ngamia, sababu mlango ule ulikuwa kwa ajili ya kupita mtu mmoja mmoja tena kwa kupishana. Sasa ngamia ni Mkubwa ilibidi wamlaze Na ile nundu Yake, wamburute wafanye wawezalo ili apite.

Kwa hiyo alikuwa anapita ila kwa mateso sana. Ndo ukapewa jina la TUNDU LA SINDANO. Na Yesu katika kufundisha alimaanisha mlango Na siyo sindano.

Mungu awabariki.
 
Le resulta más fácil a un camello pasar por el ojo de una aguja, que a un rico entrar en el reino de Dios.
Hiyo Ni fasiri ya kiispaniola ambayo cammello Ina stand Kama mnyama ngamia inamaana na fasiri ya kiratini bado inashaka? Kwa maoni yangu umeenda haraka Sana Yesu alimaanisha ngamia hata fasiri ya kigiriki haiendi tofauti na mtazamo
 
Me naona nachanganyikiwa tu maana maelezo yenu wote yananikosha ngamia kamba sawa ngamia mnyama sawa... japo kamba ndo ina-make sense zaidi ila ukiendelea mstari wa 26 na 27 ni kama alimaanisha mnyama basi ndo nazidi kuchanganyikiwa tu
 
Lakini Waliozingua ni Waswahili kutaka kulazimisha neno hilo (NGAMIA) litafsiriwe kwa maana zilezile na zifanane na zile za neno lile la Kiingereza (CAMEL)

Binafsi hata neno FAST huwa nashangaa sana eti kuwa na maana ya FUNGA kwa maana zote mbili mbili kwa kila lugha kufanana... nahisi kuna kilicholazimishwa hapo
 
Duh...! Watu wanagonga hadi Kilatini humu kuthibitisha![emoji38]

Imefahamika NGAMIA aliyetajwa hapo ni mnyama mjadala ufungwe[emoji433][emoji407][emoji993][emoji161][emoji357]
 
Katika kitabu kitakatifu cha Biblia, Marko 10: 25 inasema: Ni rahisi ngamia kupenya katika tundu ya sindano kuliko tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu.

Wanachokielewa wengi, wakiwemo baadhi ya watumishi wa Mungu, ni kwamba ngamia anayezungumziwa hapa ni yule mnyama mwenye nundu kubwa mgongoni, pengine hata wewe kwa miaka mingi umekuwa ukijua hivyo.

Hata hivyo, ngamia iliyomaanishwa hapa, ni kamba! Ndiyo, kamba! Zile kamba nene zinazotumika kuvuta kwa mfano meli iliyozama na kadhalika. Makosa ya tafsiri hii yanaanzia kwenye kufasiri kifungu hiki cha Biblia kutoka kwenye Kiingereza kuja kwenye Kiswahili. Kwa Kiingereza, Mark 10:25 inasomeka hivi: It is easier for a camel to go through the eye of a needle than for a rich person to enter the kingdom of God.

Ukichukua kamusi yako, angalia maana ya neno camel, ya kwanza utaona ni ngamia mnyama lakini kuna maana ya pili ambayo ni hii: Camel: An apparatus for raising a sunken ship, consisting of one or more watertight chests to provide buoyancy. Kwa tafsiri nyepesi, ni kamba nene zinazotumika kuvuta meli iliyozama...

Kwa commoni sense ya kawaida tu, ngamia mnyama anawezaje kufananishwa na kupenya kwenye tundu la sindano? Hakuna uhusiano wowote, lakini kuna uhusiano wa kamba nene kupenya kwenye tundu la sindano kwa sababu kamba nyembamba (uzi) unapenya kirahisi!

Kwa hiyo tunahitimisha kwa kusema, ngamia/camel inayomaanishwa kwenye bible ni kamba. I stand to be corrected!

View attachment 1651630
Nakubaliana na tafsiri yako , I can see the relevance!!
 
Summarization

Hoja ni tatu

1. Ngamia mnyama kupita kwenye tundu la sindano(sindano hapa inamaanisha kifaa). Hii ni hoja kongwe na iliyozoeleka mno. Kifupi hapa tunaona haiwezekan kabisa ngamia kupita kwenye hilo tundu.

2. Ngamia kama kamba kupita kwenye tundu la sindano kifaa. Hii ni tafsiri ambayo siyo maarufu sana. Hapa ngamia inamaanisha kamba ambayo ni nene na hutumika kuvitia meli iliyozama au kutia nanga. Pia hapa kimantiki ni ngumu kamba hiyo kupita kwenye matundu ya sindano nyingi tunazozifahamu.

3. Ngamia kama mnyama kupita kwenye mlango wa kuingia mji Jerusalem ambao kwao ulijulikana kama tundu la sindano. Kihistoria inaonyesha ni lango ambalo lilikuwa ni dogo kwa umbile lake hivyo ili kupitisha ngamia ilibidi alazimishwe sana kwa kuwa alikuwa hapiti amesimama na watu ndiyo walitumia nguvu kubwa zaidi kumpitisha. Hapa huenda yesu alitaka kututizamisha kuwa ni kwa unyekekevu wa hali ya juu kwa Mungu ndiyo kitu pekee kinachoweza kumuingiza tajiri mbinguni.

Majumuisho:
Hoja ya tatu hapo inaonyesha kuwa kuna uwezekano wa tajiri kuingia mbinguni tofauti na hoja mbili za awali.

Maoni yangu ya awali kabla sijatafuta maandiko zaidi kuhusu hili yananiaminisha hoja ya tatu ni sahihi kwa sababu
kwanza inaonesha kuna uwezekano wa tajiri kuingia mbinguni tofauti na mbili za awali.

Pili, pamoja na kuwa hoja kuwa ngamia kama kamba inajishikiza kwenye ukweli wenye nguvu kwamba alikuwa anaongea na wavuvi ambao bila shaka walielewa vema maudhui ya kamba hiyo. Ikumbukwe ni kanuni ya mawasiliano kuwa mada lazima izingatie muktadha husika lakini ni hakika bila shaka kama alikuwa anaongea na wakazi wa mji wa yerusalemu basi walijua uwepo wa mlango ulioitwa tundu la sindano. Hivyo Yesu alijua fika wataelewa kwa kuwa wanaujua mji wao.

Kosa lenyewe la tafsiri. Kama ulishawahi kufanya kazi au kusomea maarifa kuhusu taaluma ya tafsiri basi pasi na shaka unaweza kuona kuwa huenda mfasiri alitumia tafsiri sisisi zaidi kulifasiri neno ambalo linaibua kiini cha mjadala yaani hakuzingatia matumizi mapana ya neno hilo kutoka katika jamii ya matini chanzi.

Mjadala uendelee
 
Back
Top Bottom