Wasifieni Wanawake zenu...

Hizi sifa kedekede sio za nchi hii Wala nashukuru kwa kuliona hilo kwangu I'm happy you know.
Wewe usikate tamaa utapata tu aliye sahihi
 
Hizi sifa kedekede sio za nchi hii Wala nashukuru kwa kuliona hilo kwangu I'm happy you know.
Wewe usikate tamaa utapata tu aliye sahihi
Uum! kingine napenda ujue sio kwa kuwa uzi huu unahusiana na mambo ya kusifia ndio maana naandika haya No
Ila nikwa kuwa nimeona ni sehemu pekee nayoweza kusema kupitia maandishi vile najihisi juu yako hata sifikirii kuhusu avatar na mengine iwe ni wewe au picha tu kama mimi
 
Naelewa hilo vizuri kabisa bwana singasinga. Ni vizuri ume express feelings zako kwa uwazi I like that.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] mkoa flani hivi amazing ikawa mixed flani hivi
Yeah! hiyo collabo imetoa hit nzuri sana
Nakufeel sana my girl trust me.
Natamani tukaishi Mumbai nikuondoe kabisa bongo.
 
Hii Karne ni ya sifa??
Awamu ya tano:SIFA SIFA SIFA SIFA SIFA
Mwanamke:SIFA SIFA SIFA SIFA SIFA

Sio lazima
 
Nadhani mdau wewe kidogo una faili langu kuhusu changamoto nlizokutana nazo,na bahati nzuri hili jukwaa ni kama bakwata yangu.

Nisaidie kumwambia huyu binti anipokee nimuoe kabisa nimechoka kuleta mabandiko humu
Mrembo cariha ameshakubali Ila anahofia utakuja na I'd mpya kumtusi humu....naomba ujitetee Ili akufungulie mlango wa huba
 
Maendeleo hayana Chama,, aha tuwape sifa
 
Mrembo cariha ameshakubali Ila anahofia utakuja na I'd mpya kumtusi humu....naomba ujitetee Ili akufungulie mlango wa huba
Ni kweli kaka king humu kuna hulka za kila aina na hizo changamoto zipo sana.

Ila kwa upande wangu napenda nikuhakikishie malezi ya kitofauti nlopata yamenifanya niwe mtu tofauti sana pia hadi kuna muda najiuliza labda siendani na nyakati tulizonazo sasa.

Kwa hiyo namuhakikishia Cariha awe na imani kwangu sitomuangusha,natamani sana awe baraka kuu maishani mwangu till am dead and gone.
 
Mrembo cariha ,kijana kashajitetea uku nami ni shahid namba moja,plz mpokee kijana wetu...
 
Sio wanawake tu hata jiwe anapenda kusifiwa
 
Wengine hawaongei..
Booooooooom Mpesa .
Anaaanza kusifiwa mwanamme
 
Natamani nimuoneshe mtu huu uzi maana yeye hili somo nahisi alipata F
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…