Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu special sana wapo na hao mapopoma unaosema pia huwenda wapo. Iko hivyo mkuuZa vijiweni hizi. Ziache huko huko. Zamani tukiwaona watu wa usalama wa taifa ni watu special sana kumbe ni wengi ni mapopomaa tu.
Acha kuwaita hivyo basi popoma si yupo humu mmoja wapoZa vijiweni hizi. Ziache huko huko. Zamani tukiwaona watu wa usalama wa taifa ni watu special sana kumbe ni wengi ni mapopomaa tu.
True, huyu ni kati ya Tiss wabobezi.Tiss wa kitambo
Sifa hujengwa na mtu mwenyewe. Wamekubali mno kutumiwa na CCM kufanya mambo ya kijinga.Acha kuwaita hivyo basi popoma si yupo humu mmoja wapo
Kagame alikuwa anajua kaletewa mtu wa aina isiyo mchezo.Rais Paul Kagame alichelewesha kupitishwa kwa uteuzi wa Siwa toka August 2014 hadi Mei 2015 ambapo hatimaye aliruhusiwa kuwasilisha kitambulisho chake, na hivyo kumaliza tetesi za vyombo vya habari kwamba Kagame amekataa chaguo la Kikwete la kuwa mjumbe mpya wa Tanzania mjini Kigali.
Mwamba kama mwamba..
Hilo mbona liko wazi?Sijawai kuwaamini wenyeviti wa BODI ZA MASHIRIKA YA UMMA na MASHIRIKA BINAFSI makubwa makubwa, RC, RAS, DC, DAS, DG wa mashirika ya umma yote, wakuu wa shule kongwe zote, ma DED wote ni watu wa mfumo. Beware mwana jf
Huionei aibu nafsi yako kwa kulidogosha taifa lako ?!!!kumbe kikwete anaweka watu wake
Wanadiplomasia nguli hawastaafu....Sio kwa Nia mbaya, huyu mwamba ana umri gani? 77 nilikua darasa la saba, Sasa hivi nimestaafu.
Asiee humu tunachat na Baba na Babu zetu, Shikamoo nyingi kwako mkuuSio kwa Nia mbaya, huyu mwamba ana umri gani? 77 nilikua darasa la saba, Sasa hivi nimestaafu.
Hivi huoni CV yake ilivyoshiba uzoefu wa nyanja ya kimataifa?!!! [emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]JK Team inaendelea kula mema ya nchi. Mstaafu anarudi ofisini unategemea mawazo gani mapya zaidi ya kumlinda aliyemteua iwe jua iwe mvua?. Hapo hakuna faida kwa taifa labda kwa aliyemteua
Mimi nilikuwa sijazaliwa.Leo nina watoto, mtu bado anarudishwa kazini kuwa DG.MwehSio kwa Nia mbaya, huyu mwamba ana umri gani? 77 nilikua darasa la saba, Sasa hivi nimestaafu.
Kuwaamini ?!!!Sijawai kuwaamini wenyeviti wa BODI ZA MASHIRIKA YA UMMA na MASHIRIKA BINAFSI makubwa makubwa, RC, RAS, DC, DAS, DG wa mashirika ya umma yote, wakuu wa shule kongwe zote, ma DED wote ni watu wa mfumo. Beware mwana jf
Hao wanakulaga kiapo cha kifo, umri sio kipaumbele kwao.
Ndo maana alibaki kuwa mwenyekiti wa Bodi tu.Sasa karudishwa tena kwenye kazi za kuhitaji akili. HUYU NI MBABU NA ATAKUWA NA MIAKA 70.Sio kwa Nia mbaya, huyu mwamba ana umri gani? 77 nilikua darasa la saba, Sasa hivi nimestaafu.
Hilo lisikutishe mkuu, ukiona watu wako na amani na nchi imetulia, ujue kuna watu wako kazini.Sijawai kuwaamini wenyeviti wa BODI ZA MASHIRIKA YA UMMA na MASHIRIKA BINAFSI makubwa makubwa, RC, RAS, DC, DAS, DG wa mashirika ya umma yote, wakuu wa shule kongwe zote, ma DED wote ni watu wa mfumo. Beware mwana jf
Kwa hiyo mwenye afya njema akiwa na miaka 70 IQ humpungua?!!!Ndo maana alibaki kuwa mwenyekiti wa Bodi tu.Sasa karudishwa tena kwenye kazi za kuhitaji akili. HUYU NI MBABU NA ATAKUWA NA MIAKA 70.