Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Huyo ana 70+Anaweza kuwa na 61
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ana 70+Anaweza kuwa na 61
Magufuli alimteua Diwani Athumani kwani mkristo?Hiyo nafasi kila rais hupendelea kuweka wa dini yake,si unajua kondoo watiifu kwa wachungaji wao
Ishara za uteuzi wa namna hii una akisi kabisa haya unayoyaeleza wewe hapa.Hali ni mbaya na itazidi kuwa mbaya!!!
Hii ndio CV yake?!
Uwe unaelewaMagufuli alimteua Diwani Athumani kwani mkristo?
Mstaafu karudi 'high tableSio kwa Nia mbaya, huyu mwamba ana umri gani? 77 nilikua darasa la saba, Sasa hivi nimestaafu.
Acha kubrainwash watu..taja viashiria vya ukosefu wa amani hapa Tanzania kuthibitisha hao walio kazini wanafanya kazi..Hilo lisikutishe mkuu, ukiona watu wako na amani na nchi imetulia, ujue kuna watu wako kazini.
Hakuna lolote..Kagame aogope mtu hata vita ya Uganda hajawahi kupigana, mbona huwa hamsemi kilichotokea darfur kwa watunza amani kutoka Tanzania wakati viongozi hawa wawili wakilumbana? Nini kilitokea..Kagame alikuwa anajua kaletewa mtu wa aina isiyo mchezo.
Na wakati huo Kikwete ana bifu na Kagame.
[emoji3]Tiss wa kitambo
Kaja kutimiza mkakata rasmi wa dp wodi maana kakaa sana huko kikazi anawajua vilivyoView attachment 2731607Balozi mstaafu Ali Siwa amekuwa katika utumishi wa umma tangu mwaka 1977 na kuweza kushika nafasi mbalimbali za uongozi.
Kati ya mwaka 2001 mpaka 2014, Balozi Mstaafu Ndugu Siwa alikuwa Afisa Mambo ya Nje, Mkuu katika ofisi ya Ubalozi wa Tanzania Abu Dhabi iliyoko nchi za Umoja wa Falme za Kiarabu (United Arab Emirates); Moscow, nchini Urusi na baadaye Berlin, nchini Ujerumani.
Mwaka 2014, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt Jakaya Mrisho Kikwete, alimteua Ndugu Ali Idi siwa kuwa Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kigali, nchini Rwanda, nafasi aliyoihudumu mpaka mwaka 2018.
September 2018, aliteuliwa na Hayati Rais John Pombe Magufuli kuwa mwenyekiti wa bodi ya wadhamini NSSF, nafasi ambayo alikuwa anaitumikia mpaka mwaka huu.
View attachment 2731607Balozi mstaafu Ali Siwa amekuwa katika utumishi wa umma tangu mwaka 1977 na kuweza kushika nafasi mbalimbali za uongozi.
Kati ya mwaka 2001 mpaka 2014, Balozi Mstaafu Ndugu Siwa alikuwa Afisa Mambo ya Nje, Mkuu katika ofisi ya Ubalozi wa Tanzania Abu Dhabi iliyoko nchi za Umoja wa Falme za Kiarabu (United Arab Emirates); Moscow, nchini Urusi na baadaye Berlin, nchini Ujerumani.
Mwaka 2014, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt Jakaya Mrisho Kikwete, alimteua Ndugu Ali Idi siwa kuwa Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kigali, nchini Rwanda, nafasi aliyoihudumu mpaka mwaka 2018.
September 2018, aliteuliwa na Hayati Rais John Pombe Magufuli kuwa mwenyekiti wa bodi ya wadhamini NSSF, nafasi ambayo alikuwa anaitumikia mpaka mwaka huu.
ni shida sana mkuu hawa wote ni chawa wao, fikiria spika wa bunge ni chawa wa serikaliJK Team inaendelea kula mema ya nchi. Mstaafu anarudi ofisini unategemea mawazo gani mapya zaidi ya kumlinda aliyemteua iwe jua iwe mvua?. Hapo hakuna faida kwa taifa labda kwa aliyemteua
JK Team inaendelea kula mema ya nchi. Mstaafu anarudi ofisini unategemea mawazo gani mapya zaidi ya kumlinda aliyemteua iwe jua iwe mvua?. Hapo hakuna faida kwa taifa labda kwa aliyemteua
Mzee alizaliwa mwaka ganiView attachment 2731607Balozi mstaafu Ali Siwa amekuwa katika utumishi wa umma tangu mwaka 1977 na kuweza kushika nafasi mbalimbali za uongozi.
Kati ya mwaka 2001 mpaka 2014, Balozi Mstaafu Ndugu Siwa alikuwa Afisa Mambo ya Nje, Mkuu katika ofisi ya Ubalozi wa Tanzania Abu Dhabi iliyoko nchi za Umoja wa Falme za Kiarabu (United Arab Emirates); Moscow, nchini Urusi na baadaye Berlin, nchini Ujerumani.
Mwaka 2014, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt Jakaya Mrisho Kikwete, alimteua Ndugu Ali Idi siwa kuwa Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kigali, nchini Rwanda, nafasi aliyoihudumu mpaka mwaka 2018.
September 2018, aliteuliwa na Hayati Rais John Pombe Magufuli kuwa mwenyekiti wa bodi ya wadhamini NSSF, nafasi ambayo alikuwa anaitumikia mpaka mwaka huu.
Hakuna cv hapo au hujui maana ya CvView attachment 2731607Balozi mstaafu Ali Siwa amekuwa katika utumishi wa umma tangu mwaka 1977 na kuweza kushika nafasi mbalimbali za uongozi.
Kati ya mwaka 2001 mpaka 2014, Balozi Mstaafu Ndugu Siwa alikuwa Afisa Mambo ya Nje, Mkuu katika ofisi ya Ubalozi wa Tanzania Abu Dhabi iliyoko nchi za Umoja wa Falme za Kiarabu (United Arab Emirates); Moscow, nchini Urusi na baadaye Berlin, nchini Ujerumani.
Mwaka 2014, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt Jakaya Mrisho Kikwete, alimteua Ndugu Ali Idi siwa kuwa Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kigali, nchini Rwanda, nafasi aliyoihudumu mpaka mwaka 2018.
September 2018, aliteuliwa na Hayati Rais John Pombe Magufuli kuwa mwenyekiti wa bodi ya wadhamini NSSF, nafasi ambayo alikuwa anaitumikia mpaka mwaka huu.
Kama ma-DED nao ni watu wa vitengo basi hapo kuna shida kwani hao ndio wanaoongoza Kwa kupiga pesa za miradi zinazoletwa halmashauri na kudhulumu haki za watumishiSijawai kuwaamini wenyeviti wa BODI ZA MASHIRIKA YA UMMA na MASHIRIKA BINAFSI makubwa makubwa, RC, RAS, DC, DAS, DG wa mashirika ya umma yote, wakuu wa shule kongwe zote, ma DED wote ni watu wa mfumo. Beware mwana jf
Atakuwa anakaribia miaka 40 hiviSio kwa Nia mbaya, huyu mwamba ana umri gani? 77 nilikua darasa la saba, Sasa hivi nimestaafu.
Vijana ajira zao zinaporwa haijakaa vizuriTrue, huyu ni kati ya Tiss wabobezi.
Kurudi kwake Idarani naona ni kunyoosha mambo mengi yasiyoenda sawasawa.
Tatizo kubwa sana ni jinsi ya kuwapata hao vijana.Vijana ajira zao zinaporwa haijakaa vizuri