ubongokid
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 2,154
- 4,184
Soma na hii kisha tumjadili vizuri.Huyu anapaswa kwenda kucheza na wajukuu....
www.jamiiforums.com
Hongera na Pole mzee wangu SIWA.Je Utaiweza TISS au TISS itakuweza?
Naandika andiko hili nkiwa ndani ya Ofisi yangu ya Mpya ya Centre for Strategic Intelligence and Clandestine Operation hapa ndani ya kijiji chetu hiki kdogo. Rais wangu Samia Suluhu,Najua kazi ya Urais ni Ngumu Sana,Ila TRUST me kwamba ni kazi Rahisi Sana.Tatizo wanoko ni wengi na wanaoitaka...