mtaa umetulea
JF-Expert Member
- Nov 17, 2020
- 1,840
- 2,381
R I P huna baya kwangu ingekua kafa madelu ningelewa sana leo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu unaonekana una jambo unalijua vzur tuuInasemekana lakini .. Ni Afisa Kipenyo nguli ... Kama yule mama aliyepewa ukatibu wa bunge
wewe Ngabu usiwe mbishi, CVs nyingi kama sio zote zamani zilikuwa zikiandikwa hivyo, hata yangu labda niifanyie update sasa hivi, but ilikuwa inaonesha hayo mambo ya kikabila na maritus ststus, inawezekana wewe ni wa kisasa sanaWala siyo siku hizi tu. Hata zamani.
Kabila, umri, kimo, uzito wako, rangi yako ya ngozi, na vitu vingine kama hivyo ni irrelevant!
wewe Ngabu usiwe mbishi, CVs nyingi kama sio zote zamani zilikuwa zikiandikwa hivyo, hata yangu labda niifanyie update sasa hivi, but ilikuwa inaonesha hayo mambo ya kikabila na maritus ststus, inawezekana wewe ni wa kisasa sana
Ah wapi!wewe Ngabu usiwe mbishi, CVs nyingi kama sio zote zamani zilikuwa zikiandikwa hivyo, hata yangu labda niifanyie update sasa hivi, but ilikuwa inaonesha hayo mambo ya kikabila na maritus ststus, inawezekana wewe ni wa kisasa sana
Alianzia Wizara ya Works chini ya Msukuma Big.
CV yake inajiuza yenyewe, unamwona hatoshi kwenye position hizo alizopita??Yaani nchi ilifikishwa pabaya sana,fikiria Waziri wa Ujenzi Msukuma Naibu Waziri Msukuma [emoji205].
Mwinyi alipoondoka kapewa Ulinzi,Bwana yulee alikuwa mkabila kupitiliza.
Kwa hiyo Samia naye alimteua kuwa waziri wa ulinzi baada ya kuona kabila lake kwenye resumé?Ukabila mtupu. Huyu aliandika CV alijua atapewa nafasi ya uteuzi Kama akiweka kabila..wengi mawaziri wa sasa waliokuwepo enzi za mwendazake walikua hivi ..Kama si kabila ukada wa Chama pia ndio ilikua kigezo...hata ukada wa Chama haitakiwi kwenye nafasi za kiserikali...lakini hawa wanaweka maana ndio kigezo kikuu kwao.... mwendazake aliharibu hii nchi Sana..
Jina lako umejitambulisha kama nderingosha?. Kama hupendi ukabila futa surname/family name/jina la ukoo kwenye kitambulisho chako cha NIDA. Halafu hakuna mbunge anayeandika CV yake bila kuweka ukada wa chamba chake tusichangie bila kufikiria.Ukabila mtupu. Huyu aliandika CV alijua atapewa nafasi ya uteuzi Kama akiweka kabila..wengi mawaziri wa sasa waliokuwepo enzi za mwendazake walikua hivi ..Kama si kabila ukada wa Chama pia ndio ilikua kigezo...hata ukada wa Chama haitakiwi kwenye nafasi za kiserikali...lakini hawa wanaweka maana ndio kigezo kikuu kwao.... mwendazake aliharibu hii nchi Sana..
Mwajiri anakatia bima watoto!?Kwanza inaonekana hujaoa na huna mpango wa kuoa. We unashangaa marital status wakati mwajiri anauliza hadi number of children ili ajue anakatia bima watu wazima wangapi na watoto wangapi.
Kuhusu kabila kwenye CV si kosa na si ajabu. Inaonekana we hupendi kabila lako wala hutaki kurudi kijijini kusalimia babu na bibi zako na kama hutaki subiri uingie mikononi mwa polisi uone atakavyosoma CV yako kama hajataja kabila lako. Kwenye makabila ndo kuna tamaduni, mila na desturi. Kama huyataki haya basi hujui historia ya nchi na unataka kuendekeza u-magharibi.
Nimegundua wewe ni kijana mdogo, na kama ni mtu mzima basi una shida sehemu !!, kama hujui kuwa waajiri huwa wanakatia bima za afya wafanyakazi wao basi una shida sana ya utambuzi wa mambo, anyway, uwe na siku njemaMwajiri anakatia bima watoto!?
Mwajiri gani huyo?
Nyie watu mna akili ndogo sana aisee.
Yaani kabisa unaona kuweka marital status na idadi ya watoto ulionao kwenye resumé ni sawa?
Resumé ni muhtasari wa qualifications zako ulizonazo.
Hali ya kindoa, idadi ya watoto, kimo chako, rangi yako, idadi ya kaka na dada ulionao, wajomba zako, shangazi zako, babu na bibi yako, majirani zako, na kadhalika, havihusiani na chochote kuhusu sifa ulizonazo katika muktadha wa kuomba kazi.
Really? Waajiri gani hao? NaNimegundua wewe ni kijana mdogo, na kama ni mtu mzima basi una shida sehemu !!, kama hujui kuwa waajiri huwa wanakatia bima za afya wafanyakazi wao basi una shida sana ya utambuzi wa mambo, anyway, uwe na siku njema
Duh! naamini siyo mimi tu mwenye wasiwasi na uelewa wako. Yaishe tu endelea kupambana na wengine labda watakuelewaMwajiri anakatia bima watoto!?
Mwajiri gani huyo?
Nyie watu mna akili ndogo sana aisee.
Yaani kabisa unaona kuweka marital status na idadi ya watoto ulionao kwenye resumé ni sawa?
Resumé ni muhtasari wa qualifications zako ulizonazo.
Hali ya kindoa, idadi ya watoto, kimo chako, rangi yako, idadi ya kaka na dada ulionao, wajomba zako, shangazi zako, babu na bibi yako, majirani zako, na kadhalika, havihusiani na chochote kuhusu sifa ulizonazo katika muktadha wa kuomba kazi.
Idadi ya watoto na kabila lako haviwekwi kwenye resume wewe!Duh! naamini siyo mimi tu mwenye wasiwasi na uelewa wako. Yaishe tu endelea kupambana na wengine labda watakuelewa
Shauri zenu 1980s diseasehuyu ni jirani kabisa hapa kibaha ya ndege nyumba yake na ya kwetu zinatizamana kwa ukaribu
mkubwa sana nasikitikia tu yule mke wake ambae mh:-akiwa bungeni vijana kama sisi tulikuwa tunaruka nae sana tu.
Hope mlikuwa mnavaa ndomu.huyu ni jirani kabisa hapa kibaha ya ndege nyumba yake na ya kwetu zinatizamana kwa ukaribu
mkubwa sana nasikitikia tu yule mke wake ambae mh:-akiwa bungeni vijana kama sisi tulikuwa tunaruka nae sana tu.