Wasifu wa aliyekuwa Waziri wa Ulinzi

Wasifu wa aliyekuwa Waziri wa Ulinzi

View attachment 1878290
Other name? Siyo ‘Middle name’?

Sex?

Marital Status?

Tribe?

Sina hakika kama yeye mwenye hii resume/ CV ndo aliyeiandika.

Mwandishi awe yeye au si yeye, ni nani aliyewafundisha watu jinsi ya kuandika resumé .
Taarifa za hali yako ya ndoa na kabila lako zinahusu nini hadi uziweke kwenye resume?

Labda ni huu ushamba wangu tu! Ila nakumbuka vizuri sana kwenye capstone course nilipofundishwa jinsi ya kuandika resumé, hizo taarifa hupaswi kuziweka kabisa hapo!
Ww utakuwa mpuuzi kweli.....
yani unataka wasifu tunavyoandaa kivyetu basi ufanane na hao unaowafulia vyupi!!?
 
Ni kawaida kuweka marital status kwenye resume....suala la kabila lina ukakasi.
nadhani hiyo huwa ina kwenye employee Bio data form ndo huwa kwenye mtindo huo

Screen Shot 2021-08-03 at 15.28.21.png
 
Mwajiri anakatia bima watoto!?

Mwajiri gani huyo?
kuna baadhi ya waajiri wanatoa bima ya afya kwa familia ila wasizidi watoto watatu pia inategemea nafasi yako kwenye kampuni husika hasa mashirika ya kimataifa yaliyo nchini wanatoa hiyo ni kwa uzoefu wangu binafsi
 
kuna baadhi ya waajiri wanatoa bima ya afya kwa familia ila wasizidi watoto watatu pia inategemea nafasi yako kwenye kampuni husika hasa mashirika ya kimataifa yaliyo nchini wanatoa hiyo ni kwa uzoefu wangu binafsi
Mambo ya bima, makato ya kodi, etc., yanakuja baada ya kuwa umeshapewa offer ya kazi na umeikubali.

Hapo ndipo utajaza mafomu mengine na mambo ya dependents ndo yako huko.

Unaweka idadi ya dependents kwenye resumé ili iweje?

Unaweka kabila lako kwenye resumé ili iweje?

Kama kuweka kabila ni sawa, kwa nini usiweke na dini yako?

Kwa nini usiweke na kimo chako?

Kwa nini usiweke na uzito wako?

Kwa nini usiweke hali yako ya kiafya?
 
Mambo ya bima, makato ya kodi, etc., yanakuja baada ya kuwa umeshapewa offer ya kazi na umeikubali.

Hapo ndipo utajaza mafomu mengine na mambo ya dependents ndo yako huko.

Unaweka idadi ya dependents kwenye resumé ili iweje?

Unaweka kabila lako kwenye resumé ili iweje?

Kama kuweka kabila ni sawa, kwa nini usiweke na dini yako?

Kwa nini usiweke na kimo chako?

Kwa nini usiweke na uzito wako?

Kwa nini usiweke hali yako ya kiafya?
Ok nimekuelewa na uko sahihi hiyo ni kweli na hizo detail nadhani huwa ni kwenye form ya uajiri baada ya kuajiriwa huwa si kwenye CV labda hizo za kizamani wanazosema
 
Marital status ni sawa kuweka,ila religion or tribe si sawa. Kwa religion labda kama unaomba kazi za Kanisa au msikiti,unaweza kuandika au pia kama kwenye tangazo la kazi umesisitiziwa kuandika imani yako
 
Marital status ni sawa kuweka,ila religion or tribe si sawa. Kwa religion labda kama unaomba kazi za Kanisa au msikiti,unaweza kuandika au pia kama kwenye tangazo la kazi umesisitiziwa kuandika imani yako
Marital status unaweka ya nini?
 
Kazi gani hizo ambazo hutaka watu walio single?

Kuwa single au married hakuhusiani chochote na utendaji kazi wa mtu!
Wewe si single gay man na una miaka 50? Goes to show the reason you are making such a ruckus is because you’re a stand- out queer in the eyes of normal general society in this beloved country of ours. Tanzania is not America; and definitely not Atlanta or San Fransisco, places where you gays rule.
 
CV yake inajiuza yenyewe, unamwona hatoshi kwenye position hizo alizopita??
Haitoshi, haitoshi. Taaluma proper waziri wa ujenzi ni mhandisi. Kapelekwa ulinzi lakini hakuna mahali panapo onesha alipita jkt, sawa na Mwinyi jnr aliesepa jkt baadae akawa wzr wa ulinzi.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Hata USA ukiomba kazi nyingi haswa Serikalini huwa kuna questionnaire unaulizwa kama wewe Mwombaji ni African American, Asian. Latino, Non-White Latino, White etc ingawa siyo lazima kujibu kama hupendi. Huko USA hayo ni sawa na makabila.
 
Yaani nchi ilifikishwa pabaya sana,fikiria Waziri wa Ujenzi Msukuma Naibu Waziri Msukuma [emoji205].

Mwinyi alipoondoka kapewa Ulinzi,Bwana yulee alikuwa mkabila kupitiliza.
Jiwe hakuwa mkabila ila tu it happened kwamba alimpenda kila mtu lakini wa kwao zaidi. Au labda tuseme kuna watu walikuwa na bahati naye mfano kina kijazi aliwabeba japo sio wa kabila lake.
Jiwe alikuwa anakua na amani sana akiwa na wasukuma kwa mfano babu yangu alikua mshikaji wake sana. Ukiangalia hakuna upendeleo wowote alimpa ila ulikua ni urafiki tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 1878290
Other name? Siyo ‘Middle name’?

Sex?

Marital Status?

Tribe?

Sina hakika kama yeye mwenye hii resume/ CV ndo aliyeiandika.

Mwandishi awe yeye au si yeye, ni nani aliyewafundisha watu jinsi ya kuandika resumé .
Taarifa za hali yako ya ndoa na kabila lako zinahusu nini hadi uziweke kwenye resume?

Labda ni huu ushamba wangu tu! Ila nakumbuka vizuri sana kwenye capstone course nilipofundishwa jinsi ya kuandika resumé, hizo taarifa hupaswi kuziweka kabisa hapo!

Wanaofundisha mambo haya ya business communication, kwenye kipengele cha CV husema hivi: Japo tumekupa maarifa haya ya uandishi wa CV, bado CV yako itatofautiana na ya wengine kutokana na anaendikiwa CV. Yani, unawaandikia kina nani kwa malengo gani. Hivyo, huwezi jua huyo bwana alikusudia nini na kwa nani.

note
Siamini kama hiyo screenshot ina ukweli. Ninajadili hoja ya kitaaluma iliyojitokeza tu
 
Wanaofundisha mambo haya ya business communication, kwenye kipengele cha CV husema hivi: Japo tumekupa maarifa haya ya uandishi wa CV, bado CV yako itatofautiana na ya wengine kutokana na anaendikiwa CV. Yani, unawaandikia kina nani kwa malengo gani. Hivyo, huwezi jua huyo bwana alikusudia nini na kwa nani.

note
Siamini kama hiyo screenshot ina ukweli. Ninajadili hoja ya kitaaluma iliyojitokeza tu
Naam.

A resume should be tailored to the specific job that you are applying for.

However, information like your tribe, religion, race, sexual orientation, etc., is irrelevant.

Why would you put your sexual orientation on your resume?
 
Back
Top Bottom