1xbet Sports - EA
JF-Expert Member
- Feb 27, 2017
- 789
- 729
BCM sio tu CV hata uwezo binafsi anao. Na anajiamini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana PhD ya kuchoma korosho😂😂😂😂Mpangaji wa Magogoni hajawahi kupitia kwenye chuo chochote cha uongozi ndiyo maana labda tunaona yanayotokea nchini. Uvumilivu wa kisiasa hakuna kabisa
Manaake alioa akiwa na umri wa miaka 33
Mimi nimeoa na miaka 52Manaake alioa akiwa na umri wa miaka 33
Nishaichora hiyo picha una 3M ?Natangaza ofa kwa yeyote ambaye ni cartoonist achore BCM na JPM wakiwa kwenye jukwaa la mchezo wa masumbwi huku refa kavaa shati la kijani na mabondia hao wanavuja damu kuonyesha walivyo jeruhiana.
Anione pm tukubaliane tenda hiyo
🤣🤣🤣😂😂😂😂😆😆😆mwambie 2020 kazi na bata
Yes, Watu wa Kitengo zamani walikuwa wakichelewa kuoa kutokana na majukumu pamoja na vetting kali ya wenza wao
Lakini hebu cheki CV ilivyoshiba, huyu mtu kapitia kwenye mifumo yote ya kuandaa viongozi, yaani kapikwa haswaa, Sijui CCM walimpata wapi huyu mkazi wa Magogoni wa sasa!. Wametuletea disaster katika nchi!
Ndio maana wataalamu humuita JASUSI MBOBEZI.Mwaka 1978, Ndugu Membe alipata Mafunzo ya sheria za Jinai na usalama wa nchi, nchini Uingereza.
hapa yupo vizuri kama haya mambo alifanyia huko U.k
Hapo ulipo unajiona upo hai!?Membe ni JANGA HATOKUWA RAIS WA NCHI HII LABDA NIFE.
Hapo ulipo unajiona upo hai!?
Kweli kumekucha, siamini kama jiwe ndio baibai. Baba jeni baibai [emoji112][emoji112][emoji112]