MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Ni Mburundi aliyechangamka Kiukatili akiwa Tanzania na ndiyo Mmoja wa Waandamizi wa Operation zote za Kiunyonyaji na Kiutesaji alizokuwa akizifanya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Mkoani Kilimanjaro Ole Sabaya ambaye hata Yeye alimtaja pia.Who's our VP, Dr Philip Mpango. Sitaki CV yake. Hiyo ninayo. Nataka kumfahamu kwa undani sana. JF haijawahi kushindwa. "Who's Philip Mpango"?
Anakaa Chanika wapi?Alikuwa jirani yangu Tabata Kimanga kwa Swai na sasa jirani tena Chanika. Mengine sijui
Philip Isdor Mpango Zabayanga 😀😂Na majina yake yatajwe yote labda tutakua na pakuanzia😂
“Bohoro bohoro “😄😂Philip Isdor Mpango Zabayanga 😀😂
Anatokea Kijiji Cha Kasumo Buhingwe Mpakani Mwa Tanzania Na Burundi!!!
Alikosea Siku Alipoapishwa Akataja Hilo Jina Zabayanga Likaleta Ukakasi 😀😂😁😃“Bohoro bohoro “😄😂
Muha wa nyoko labda, amezaliwa , kulelewa na kusomea Burundi, kavuka mpaka na kuingia Tanzania.
Philip Isdor Mpango Zabayanga 😀😂
Anatokea Kijiji Cha Kasumo Buhingwe Mpakani Mwa Tanzania Na Burundi!!!
Umeona Tatizo Gani HapoKwahiyo Hakuna watanzania wanaoishi mipakani? Kuzaliwa mopakani ni kosa? Tuache upoyoyo
hahahaItakuwa labda anatamani aliepo afe ili aukwae Urahisi wa Tanzania,Wana CCM wamefungua njia mupya,CCM bana hawashindwi japo kuangushana wao kwa wao ,ni hatari isiyojulikana kuwemo CCM unapokuwa pale kwenye nofu kubwa.
Uzi wa 2011 Leo imekuwa mpyaaaaKwa nini mmefufua huu UZI?kunani?