Wasifu wa Dkt. Philip Isdor Mpango

Wasifu wa Dkt. Philip Isdor Mpango

Mkuu hebu funguka coz kama una kitu unataka kusema lkn unasita, hata kuomba CV yake siyo kwamba ulishindwa kuipata ila kuna ujumbe unataka kufikisha lkn bado, hebu funguka zaidi
ha ha ha
 
Kama hutaki CV yake unataka nini!? Kuna kingine kinachomuelezea mtu zaidi ya wasifu wake?

Basi tambua ya kwamba kile unachokitafuta ni Umbea tu. Na wewe ni mbea. Nothing more.
 
Yupo tele
Leo alikuwa Zanzibar kwenye kikao cha kujadili kero za Muungano
Watu tuna kero kibao, watu Wana discuss kero imaginary.
Tuna kero ya tozo
Kero ya Kodi ya jengo kulipiwa kwa luku.

Kero ya Bei ya mafuta ya kupikia kupanda ilhali tuna alizeti.
Kero ya Bei ya sukari.
Kero ya foleni Dar.
Kero ya mabasi ya mwendokasi kujaa kupita kiasi.
Kero ya wapinzani kuswekwa rumande.
Kero ya ajira kwa vijana.

HEBU MUONYESHENI HIZI CHACHE KABLA HATUJAMLETEA ZA UBADHILIFU WA MALI NA PESA ZA UMMA.
 
Back
Top Bottom