Wasifu wa Dkt. Philip Isdor Mpango

Wasifu wa Dkt. Philip Isdor Mpango

Ile sio Kisukuru ni Kimanga kwa Swai. Mke wake alikuwa mweka hazina kanisa Katoliki Kimanga
Ni mtaalamu kutoka UDSM, intake ya akina Mlimuka nadhani, nyumba yake pale karibu na mtaro? Inachakaa kwa kasi, au tayari ishafanyiwa ukarabati?
 
Kama huna namba yake sema tukupe umpigie akwambie yeye ni nani kama humjui.
 
Kama hutaki CV yake unataka nini!? Kuna kingine kinachomuelezea mtu zaidi ya wadhifu wake?

Basi tambua ya kwamba kile unachokitafuta ni Umbea tu. Na wewe ni mbea. Nothing more.
Kuna descripions kama mpole, mweledi, mcha mungu... May be
 
Mbona mleta uzi ni kama unataka kuandika tanzia kijanja!
 
Ndio Mshauri Mkuu wa uchumi wa serikali ya Awamu ya Sita
Pia ndiye aliyependekeza ishu ya Tozo
Pia ndiye aliyependekeza jina la Waziri wa fedha
Na mwenendo mzima wa uchumi ndio mastermind
 
Ni mrundi fulani hivi ambaye kwa sasa kuna minong'ono mitaani inamuhusu.
 
Back
Top Bottom