Wasifu wa Dkt. Philip Isdor Mpango

Wasifu wa Dkt. Philip Isdor Mpango

Huyu bwana watu hawajuitu. Huyu ni jembe kweli kweli. Watanzania wanapoona nchi yetu imeongeza kasi ya ukusanyaji mapato, pamoja na Kusimamia Miradi yote ya kimkakati basi Dkt Mpango Anahusika.

Hivyo nimpongeze Mama Yetu Samia kwa kutambua mchango wa Dkt Mpango na kweli Atamsaidia sana kwenye kusimamia Utekelezaji wa malengo yote Tuliyojiwekea kama nchi.

Kama angekuwa na mtazamo unaousema hapa Dr. Mpango angefanywa kuwa waziri mkuu. Nafasi ya makamu wa Rais si ya utendaji sana kuliko Waziri Mkuu.

Tuna haja ya katiba mpya kujua majukumu ya watu hawa Rais, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu. Kama Rais ni mtendaji mkuu wa serikali, hakuna haja ya Waziri Mkuu. Mfumo sahihi ulikuwa ni kuwa na Rais kama kiongozi wa nchi, na waziri mkuu kama kiongozi wa serikali ya Tanzania Bara na huyu Rais wa Zanzibar kama waziri mkuu huko!! Sasa huko visiwani hata kuna waziri kiongozi na makamu wawili wa Rais. Tuna kazi sana!!
 
Hiv makamu wa rais ndio nchi iko mikonon mwake?
Yeye kazi yake ni kukata utepe tu na kuzindua miradi basi.Yeye sio mwenye nchi
Kazi yake inaamuliwa na Rais. Ingawa yeye sio mwenye nchi, Rais akitaka anaweza kumfanya msaidizi wake Mkuu katika uongozi wake. Na nitashangaa kama akimpa kazi za kukata utepe tu mchumi mwenye sifa za alimteua kuwa Makamu wake.

Amandla...
 
Nimejaribu kusoma vizuri wadhifa wa Mh. Makamu wa Rais, nimegundua kuwa ni mtu mwenye elimu pamoja na uzoefu mkubwa kwenye masuala ya uchumi.

Je, kwenye hiki kipindi chake cha uongozi tutegemee nchi kupiga hatua zaidi kwenye ukuaji wa uchumi hasa kwenye maendeleo ya watu?
Rekodi yake ya nyuma inasemaje!? Tuachane na elimu yake kwanza
 
Tulikuwa na Makamu wa Raisi Mwenye elimu ya Nuclear but madini ya Uranium yaliishia kuchimbwa wa Warusi kule Mikumi wakayamaliza wakasepa zao bila Malipo.. Huyu Mchumi ni Msaidizi wa Raisi Samia so Acha Kumsifia Msaidizi wakati Mwenye Kiti yupo.
Kabisa
 
Nimejaribu kusoma vizuri wadhifa wa Mh. Makamu wa Rais, nimegundua kuwa ni mtu mwenye elimu pamoja na uzoefu mkubwa kwenye masuala ya uchumi.

Je, kwenye hiki kipindi chake cha uongozi tutegemee nchi kupiga hatua zaidi kwenye ukuaji wa uchumi hasa kwenye maendeleo ya watu?
Hivi kazi ya kuzunguka na mikasi na kuendesha nchi mbona ni mambo mawili tofauti?

Au 'mnaombea' awe Rais?

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Nimejaribu kusoma vizuri wadhifa wa Mh. Makamu wa Rais, nimegundua kuwa ni mtu mwenye elimu pamoja na uzoefu mkubwa kwenye masuala ya uchumi.

Je, kwenye hiki kipindi chake cha uongozi tutegemee nchi kupiga hatua zaidi kwenye ukuaji wa uchumi hasa kwenye maendeleo ya watu?
KWA Iyo nchi kua mikononi mwa mchumi so yeye Rais wa nchi hii, mbona mnakua na mazalau KWA mh Rais, yeye ni msaidizi, na mshauri acheni Mambo yenu ,anaweza kushauri na akakataliwa atafanya nini, mpeni Rais heshima yake na mpeni VP heshima yake, maana maneno yenu naona mnaona Kama Kama mteule ndo Anakua rais wa tz kaeni mbali nchi inaongozwa KWA mjibu wa sheria nyie vipi
 
KWA Iyo nchi kua mikononi mwa mchumi so yeye Rais wa nchi hii, mbona mnakua na mazalau KWA mh Rais, yeye ni msaidizi, na mshauri acheni Mambo yenu ,anaweza kushauri na akakataliwa atafanya nini, mpeni Rais heshima yake na mpeni VP heshima yake, maana maneno yenu naona mnaona Kama Kama mteule ndo Anakua rais wa tz kaeni mbali nchi inaongozwa KWA mjibu wa sheria nyie vipi
Mkuu achana na hiyo "heading"
KWA Iyo nchi kua mikononi mwa mchumi so yeye Rais wa nchi hii, mbona mnakua na mazalau KWA mh Rais, yeye ni msaidizi, na mshauri acheni Mambo yenu ,anaweza kushauri na akakataliwa atafanya nini, mpeni Rais heshima yake na mpeni VP heshima yake, maana maneno yenu naona mnaona Kama Kama mteule ndo Anakua rais wa tz kaeni mbali nchi inaongozwa KWA mjibu wa sheria nyie vipi
Inaonekana mkuu ulisoma "heading" tu basi uka-reply. Soma tena vzr mkuu naona bado hatujaelewana..
 
Nimejaribu kusoma vizuri wadhifa wa Mh. Makamu wa Rais, nimegundua kuwa ni mtu mwenye elimu pamoja na uzoefu mkubwa kwenye masuala ya uchumi.

Je, kwenye hiki kipindi chake cha uongozi tutegemee nchi kupiga hatua zaidi kwenye ukuaji wa uchumi hasa kwenye maendeleo ya watu?
Masikini Wamejaa Mitaani
 
Mkuu hebu funguka coz kama una kitu unataka kusema lkn unasita, hata kuomba CV yake siyo kwamba ulishindwa kuipata ila kuna ujumbe unataka kufikisha lkn bado, hebu funguka zaidi
Ha ha ha...niliiomba tu nothing more nothing less
 
Ukiisha sikia ni kutoka wilaya za mipakani, wewe elewa tuu kuwa atatusaidia sana, kwa sababu kiukweli wenyewe tumeshindwa!. Ile mipaka iliwekwa
na wazungu tuu lakini kule mipakani watu wote wa pande zote ni dugu moya!, hata alipokuja yule kijana wa kutoka nchumbiji, alitusaidia sana!, alipotoka si tukalongwa tukampa wa ku nyumba!, matokeo sote tunayajua!, tangu alipoingia huyu banyamulenge aliyelowea kule, si unashuhudia jinsi anavyochapa kazi, hivyo vha muhimu sio roots bali delivery!.
This guy is dam good!.
Pasco
Kumbe hiz tetez za mpngo clianza mapema
 
Ooh
Kiutendaji yuko vizuri na ni mtu mwenye vision sana waliowahi kufanya nae kazi wanasema jamaa ni intelligent sana na hua yuko strict na kazi zake sema utawala uliopita alikwamishwa na Kikwete na yeye alikua moja ya waliokua wanaumia kuandaa mipango mizuri lakini inatupwa kabatini bila kutekelezwa
 
Jf
Dr Philip Mpango ni mdogo wake Retired Anglican Bishop Dr Gerard Mpango (Diocese of Western Tanganyika,Kasulu Kigoma). Ni mchapakazi,Mwadilifu. Nimemjua kuanzia kwa Bintiye,my Classmate,na baadae (hadi siku za karibu amekuwa Boss wangu),a very Credible Man, non-Incongruous guy. Binafsi nadhani anamfaa Magufuli kwa idara yoyote ya uchumi Serikalini. Infact, yeye na Dr Bukuku ni Vichwa ambavyo Dr Magufuli anavihitaji.
 
Eeeeh[emoji44]
Si ndugu yake na Kikumbi Mpango. Hili nina uhakika kabisa.

Baba mzazi wa Dr. Mpango ni Marehemu Mzee Isidori Nzabhayanga Mpango, ambaye alizaliwa kijiji cha Kasumo wilaya ya Kasulu na ni Muha. Dr. Mpango alizaliwa hapo hapo Kasumo, na mpaka sasa wana nyumba ya ukoo wao hapo Kasumo.

Kumbuka waha hawana asili ya Congo.

Kwa hiyo Dr. Mpango hana uhusiano wowote na huyo Kikundi Mpango.
 
Back
Top Bottom