BigBro
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 3,585
- 11,601
Ile sio Kisukuru ni Kimanga kwa Swai. Mke wake alikuwa mweka hazina kanisa Katoliki KimangaHe is married to a beautiful wife . They have several children. He used to reside at Tabata Kisukuru.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile sio Kisukuru ni Kimanga kwa Swai. Mke wake alikuwa mweka hazina kanisa Katoliki KimangaHe is married to a beautiful wife . They have several children. He used to reside at Tabata Kisukuru.
TuchatiKITENGO mwaka wa 37 huu
Na majina yake yatajwe yote labda tutakua na pakuanzia😂
Who's our VP, Dr Philip Mpango. Sitaki CV yake. Hiyo ninayo. Nataka kumfahamu kwa undani sana. JF haijawahi kushindwa. "Who's Philip Mpango"?
Ni mtaalamu kutoka UDSM, intake ya akina Mlimuka nadhani, nyumba yake pale karibu na mtaro? Inachakaa kwa kasi, au tayari ishafanyiwa ukarabati?Ile sio Kisukuru ni Kimanga kwa Swai. Mke wake alikuwa mweka hazina kanisa Katoliki Kimanga
YsTuchati
Moja ya kazi za hovyo sana kupata kutokea DunianiKITENGO mwaka wa 37 huu
Muha wa nyoko labda, amezaliwa , kulelewa na kusomea Burundi, kavuka mpaka na kuingia Tanzania.Ni muha wa kigoma
Unamtakia nini wewe usije kua mwanga.Who's our VP, Dr Philip Mpango. Sitaki CV yake. Hiyo ninayo. Nataka kumfahamu kwa undani sana. JF haijawahi kushindwa. "Who's Philip Mpango"?
Yeye ndiye mwanzilishi wa kampuni, kwa kuwa ni kampuni yake na familia yake ndo maana ikaitwa philips, yani kina philipPhilip ni ndugu na kampuni ya Philips?
Kuna descripions kama mpole, mweledi, mcha mungu... May beKama hutaki CV yake unataka nini!? Kuna kingine kinachomuelezea mtu zaidi ya wadhifu wake?
Basi tambua ya kwamba kile unachokitafuta ni Umbea tu. Na wewe ni mbea. Nothing more.
Can you prove that?Yupo tele
Leo alikuwa Zanzibar kwenye kikao cha kujadili kero za Muungano
Sisi watu wa Kimara hatujui vimitaa vyenu. Anyway Asante kwa taarifa.Ile sio Kisukuru ni Kimanga kwa Swai. Mke wake alikuwa mweka hazina kanisa Katoliki Kimanga
New ally of the Deep StateWho's our VP, Dr Philip Mpango. Sitaki CV yake. Hiyo ninayo. Nataka kumfahamu kwa undani sana. JF haijawahi kushindwa. "Who's Philip Mpango"?
Una maanisha Nini? Ila kweli kajificha Sana.Ni mrundi fulani hivi ambaye kwa sasa kuna minong'ono mitaani inamuhusu.