Elections 2010 Wasifu wa Dr. Slaa: Download, SAMBAZA!

Status
Not open for further replies.
Huyu angefaa sana kufanya kazi za kiroho kuliko za kisiasa maana kielimu chake cha upadri kingewasaidia sana Wakatoliki ambao siku za hivi karibuni mapadre wao wamekuwa sio waaminifu sana katika maadili!!

Halafu ilikuwaje Slaa kuwa katibu mkuu wa chama cha vipofu tanzania? Kwani miaka hiyo ya 90 alikuwa hana macho? Naomba ufafanuzi kidogo!!!

Mimi nimesoma viwango vya elimu vya wagombea wote wa Urais na kwa kweli Profesa Ibrahim Haruna Lipumba hakuna anaemfikia kwa elimu alionayo!!! Kwanza slaa ndio kabisaa yaani hata robo yake haifikii elimu ya Profesa!!!
 
Wana JF naomba aliye na CV za JK aziweke hapa mtandaoni ili tuzipambanishe na za Dr. Slaa kujua nani zaidi kati ya hawa wagombea wawili wote wakiwa na elimu ya u-Daktari..
Tunataka kujua nani Dr.Fake na nani Dr. Genuine!!!!!
 
Wana JF naomba aliye na CV za JK aziweke hapa mtandaoni ili tuzipambanishe na za Dr. Slaa kujua nani zaidi kati ya hawa wagombea wawili wote wakiwa na elimu ya u-Daktari..
Tunataka kujua nani Dr.Fake na nani Dr. Genuine!!!!!

Yaani wewe ni kama unaomba kinyonga ageuke rangi nyekundu. Ulishawahi kuona kinyonga akigeuka rangi nyekundu?
 
Ilikuwa majira ya saa moja unusu mwana CCM alipojitoa kumpigia simu mgombea Ubunge kwa CHADEMA kwamba Takukuru wameamrishwa na wamepewa hela ili wakamkamate Bwana Lema na wapandikize watu watakaotoa ushahidi wa uongo kwamba lema amewapa hela ili ksi iende police chap chap na CCM waandike malalamiko kwa mkuu wa NEC Arusha ili Lema apigwe Technical Knock out, kibibio batilda apite bila kupingwa.

Lema alikuwa na kikao na mawakala wake baada ya mkutano jioni ili kupanga mikakati ya kulinda kura katika kata ya Themi, Jiulize ni mpinzani gani umesikia kwanza ana hela ya kuhonga au anaita watu na mabasi kuja kushangilia na kununulia watu chakula na kuwapa viroba vya pombe ili watoe sauti aonekane anapendwa zaidi ya CCM.

Bwana Lema akawaaga gafla mawakala anatoka sababu Takukuru wanakuja, kufika getini geti limefungwa na mlinzi hajulikani alipo, Ikabidi makamanda wa chadema wambebe lema aruke ukuta na mabouncer kama watano wakatimka kukwepa fedheha ya CCM. takukuru kuja Holaaaaa.

Kuanzia sasa bwana lema ameandika barua Takukuru na Police kuomba ulinzi na atakuwa na vikao baada ya uchaguzi wa mawakala wake jana mambo yalikuwa shwari kulikuwa na Ulinzi wa Police.

Je tutafika ?
 
Mungu hatoleta ishara tene kuthibitisha kwamba yupo; ila ole wao wasioamini. Takukuru hayo wanayoshabikia na kutukuza yatakuwa mwiba kwao saa nyingine.
 
Hahaha hahaha
nakumbuka PAULO mtumishi wa Mungu alishushwa ukutani kutoka kwenye ukuta wa mji ili awakimbie mafarisayo waliotaka kumuuwa,
Mungu yu pamoja na Lema
 
Iivi uyu Burian Matiilda ni nani uko CCM? unaweza kuta kuna mkubwa anaimbisha apo ndo maana anatetewa kwa nguvu zote Kama Mbega Iringa.
Kazi ipo
 
Du..hii ni kama Muvi fulani...I like it, na nawapenda sana wanaCCM majasiri kama hawa...
CCM hawawezi kupingana na nguvu ya UMMA!...aRUSHA IMESHAMPATA mBUNGE!
 
Kwani huyu Buriani na Mtanzania au msomali?
haya kumekucha.
lakin kwa kuwa amekubaliwa na ccm kugombea huyo ni raia kwa mujibu wao na si kwa mujibu wa nyaraka kule UHAMIAJI.

Arusha imepata mbunge walah.
Jamani tuconcentrate na uchaguzi at whole maana ukiona ccm wanaelekeza nguvu zao sehemu moja ni kutulazimisha tuhamishie hisia zetu hapo na tusiangalie mustakabali mwingine.
Mungu ameibariki Tanzania
 
Njowepo, usitumie msuli sana kujua hilo...tunajua wako wengi waliotoa hata hongo ya ngono ili wapewe uwaziri..unashangazwa vipi na hili?

My country is the world. My countrymen are all mankind.


Iivi uyu Burian Matiilda ni nani uko CCM? unaweza kuta kuna mkubwa anaimbisha apo ndo maana anatetewa kwa nguvu zote Kama Mbega Iringa.
Kazi ipo
 
Best nimeisoma kama nacheki video za kivita hivi! Mafisadi washindwe katika jina la haki!
 
Iivi uyu Burian Matiilda ni nani uko CCM? unaweza kuta kuna mkubwa anaimbisha apo ndo maana anatetewa kwa nguvu zote Kama Mbega Iringa.
Kazi ipo

Habari zilizo wazi ni kwamba nguvu yote inatotumiwa inatoka kwa EL
 
hiyo ni shua jana LEMA ameizungumza kwenye kampeni...alistopisha kikao wakatoka nje fasta kisha wakakuta geti la hotel limefungwa... alichofanya ni kuruka ukuta akapotelea migombani..ikawa nitolee..
 
Batilda ni mtu wakaribu ki unyumba na EL na pia amewekwa ili kundaa safu(support) ya EL 2015.
Sisi tunaangalia sasa, ila EL anajipanga 2015 kupitia watu aliowaweka, huwezi Amini pale Mtaa wa spea December
alifungua tawi la wakereketwa akawapa rushwa ya 800,000 na ikaliwa na watu 3 tu, wakasema
hela ya mjinga huliwa nawerevu, na hatumpigii. je ni ngapi kama hizo zimeliwa ili kushawishi watu wampigia mta mzima.

hayo yote anayotokea ni kwamba amekuja kugundua ameliwa vya kutosha na sasa anataabika atarudishaje hela zake.

Kifupi mama ni Son of the bitch, means the materia of no commercia value. Sababu kwa mama yake ana watoto 4, yeye akiwa
kwanza mama yake akiwa anafanya Arusha hotel akazaa na mzanzibari asiyejulikana, so hamjui baba yake.
Pili mama yake akaja akazaa na mzungu mtoto wa pila, then mzugu akafukuzwa nchini sababu ya ufisadi. mama yake akaolewa tena
muarusha akazaa watoto wawili eugen na mwingine ambao akama umesikia mgombea arusha anatembea na waizi habari
ndio hio wadogo zake wana bad records ya wizi mkubwa.

habari ndio hio kifupi anavyokulikana bibie batilda.
 
huyu Burian kama Jina lake ni watu ambao wamezoea kubebwa, sasa wamekutana na Lema aliekamilika kila Idara. Huyu ni mchapa kazi , ana roh Ngumu, haogopi kitu wala Mtu. anachojali yeye ni9 kupigania Maslahi ya WATANZANIA WENZAKE.
 
asante sana.
 
Hawa jamaa walijisahau kidogo tu kipindi kile cha kura za maoni, lakini hawana lolote maana nao wamewekwa na ccm
Kwa sasa nyepesi ni kwamba wameahidiwa mamilioni ya fedha kuhakikisha wanaficha tuhuma za rushwa kwa wanaccm.
Unategemea nini huyo Dr. Hosea aliyepaka mafuta RICHMOND yule si zero tu
Tanzania kwa sasa vyombo karibu vyote vimeshapewa amri ya kuhakikisha ccm inashinda. hata baadhi ya vyombo vya habari kama magazeti ccm wamenunua.
jamani ni tuhuma za ukweli tuanzozipata
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…