Nimetuma kwa watu 100 tayari.
Wana JF naomba aliye na CV za JK aziweke hapa mtandaoni ili tuzipambanishe na za Dr. Slaa kujua nani zaidi kati ya hawa wagombea wawili wote wakiwa na elimu ya u-Daktari..
Tunataka kujua nani Dr.Fake na nani Dr. Genuine!!!!!
Du..hii ni kama Muvi fulani...I like it, na nawapenda sana wanaCCM majasiri kama hawa...Ilikuwa majira ya saa moja unusu mwana CCM alipojitoa kumpigia simu mgombea Ubunge kwa CHADEMA kwamba Takukuru wameamrishwa na wamepewa hela ili wakamkamate Bwana Lema na wapandikize watu watakaotoa ushahidi wa uongo kwamba lema amewapa hela ili ksi iende police chap chap na CCM waandike malalamiko kwa mkuu wa NEC Arusha ili Lema apigwe Technical Knock out, kibibio batilda apite bila kupingwa.
Lema alikuwa na kikao na mawakala wake baada ya mkutano jioni ili kupanga mikakati ya kulinda kura katika kata ya Themi, Jiulize ni mpinzani gani umesikia kwanza ana hela ya kuhonga au anaita watu na mabasi kuja kushangilia na kununulia watu chakula na kuwapa viroba vya pombe ili watoe sauti aonekane anapendwa zaidi ya CCM.
Bwana Lema akawaaga gafla mawakala anatoka sababu Takukuru wanakuja, kufika getini geti limefungwa na mlinzi hajulikani alipo, Ikabidi makamanda wa chadema wambebe lema aruke ukuta na mabouncer kama watano wakatimka kukwepa fedheha ya CCM. takukuru kuja Holaaaaa.
Kuanzia sasa bwana lema ameandika barua Takukuru na Police kuomba ulinzi na atakuwa na vikao baada ya uchaguzi wa mawakala wake jana mambo yalikuwa shwari kulikuwa na Ulinzi wa Police.
Je tutafika ?
haya kumekucha.Kwani huyu Buriani na Mtanzania au msomali?
Iivi uyu Burian Matiilda ni nani uko CCM? unaweza kuta kuna mkubwa anaimbisha apo ndo maana anatetewa kwa nguvu zote Kama Mbega Iringa.
Kazi ipo
Iivi uyu Burian Matiilda ni nani uko CCM? unaweza kuta kuna mkubwa anaimbisha apo ndo maana anatetewa kwa nguvu zote Kama Mbega Iringa.
Kazi ipo
asante sana.Batilda ni mtu wakaribu ki unyumba na EL na pia amewekwa ili kundaa safu(support) ya EL 2015.
Sisi tunaangalia sasa, ila EL anajipanga 2015 kupitia watu aliowaweka, huwezi Amini pale Mtaa wa spea December
alifungua tawi la wakereketwa akawapa rushwa ya 800,000 na ikaliwa na watu 3 tu, wakasema
hela ya mjinga huliwa nawerevu, na hatumpigii. je ni ngapi kama hizo zimeliwa ili kushawishi watu wampigia mta mzima.
hayo yote anayotokea ni kwamba amekuja kugundua ameliwa vya kutosha na sasa anataabika atarudishaje hela zake.
Kifupi mama ni Son of the bitch, means the materia of no commercia value. Sababu kwa mama yake ana watoto 4, yeye akiwa
kwanza mama yake akiwa anafanya Arusha hotel akazaa na mzanzibari asiyejulikana, so hamjui baba yake.
Pili mama yake akaja akazaa na mzungu mtoto wa pila, then mzugu akafukuzwa nchini sababu ya ufisadi. mama yake akaolewa tena
muarusha akazaa watoto wawili eugen na mwingine ambao akama umesikia mgombea arusha anatembea na waizi habari
ndio hio wadogo zake wana bad records ya wizi mkubwa.
habari ndio hio kifupi anavyokulikana bibie batilda.