Mh Mimi nmenza msingi 1983 mpaka 1989 Kisha 1990 mpaka 1993 ni O-level na 1994 mpaka 1996 A -level sasa nashangaa Lema amesoma mitahara ya wapi? Yaani ndani ya miaka kumi tu kasoma from std I mpaka form six jamani tuache uongo
Mh Mimi nmenza msingi 1983 mpaka 1989 Kisha 1990 mpaka 1993 ni O-level na 1994 mpaka 1996 A -level sasa nashangaa Lema amesoma mitahara ya wapi? Yaani ndani ya miaka kumi tu kasoma from std I mpaka form six jamani tuache uongo
Mkuu Ritz, kweli jamaa ni mchochezi. Yeye kasoma kwa MITAHARA!!
sikiliza bint nikwambie hao wanaosema chama flani ni muslim ageny uwaoni au kisa ni wa upande wako? huko kwenu tunajua kila mtu padri kama sio padri basi mchungaji na kama sio mchungaji basi utasikia bible knowledge inahusika.
waandaaji wenyewe walitugawa au ukuona zimewekwa kwaya za kikristo wakati waudhuriaji dini mchanganyiko? stuka wewe sio kila kitu hadi uambiwe, kwaya za nini tamasha la kitaifa?Mkuu wa kaya wale uliotueleza kuwa wanataka kutugawa kwa misingi ya kidini na ukabila pale Taifa kwenye tamasha la matumaini mmoja wao huyu hapa
HATUHITAJI CV YA MTU TUNAHITAJI UCHAPAKAZI WAKE, baba yako anaCV nzuri amefanyia nini taifa??? Tuandikie tuone CV yake na kazi kafanya kwa taifa hapo tunaweza jadili, vinginevyo huna cha maana, kazi ni kwako
Waambie bhana Kawawa naye aliyeiletea uhuru nchi hii cv yake ni ipi? kama cv yake ni uhuru Lema naye cv yake ni ukamanda
Wewe ndio mbumbumbu hujui kitu Nyerere alianzisha TAA au umepagawa na shibe ya mipunga ya dhulumaKawawa kaleta uhuru wapi soma historia siyo kukariri tu.
Kwa habari nilizozipata lema alizaliwa 1963 amepunguza miaka
Hivi unajuwa kusoma we Ritz?ama maana ya "not completed?" huifahamu?je pia hufahamu maana ya "the end date is equal to today"?huwezi kuona kwamba ni an online degree?(kwasababu bado yuko kwenye masomo?)shughulisha ubongo usianzishe thread za kidaku kuwapotezea vijana muda kwa ukilaza wako gamba we!
Kusikia hausikii hata picha uoni.
Pitia orodha ya wanafunzi waliomaliza Diploma 2008 Cambridge International College kama utalikuta jina la Lema.
Naona unataka kulazimish vitu kwa mapenzi yako, Lema hayumo kwenye orodha ya wanafunzi waliosoma Cambridge, hiyo ya kusoma online sijui umeipata wapi.
Weka basi huo ushahidi tuone hiyo online diploma/degree, bora Mrema tuliona degree yako.
Kwa hiyo unatuambia Lema bado yupo kwenye masomo.
Utachafua sana watu lakini mwisho wake ni nguvu ya umma na hatutyaacha kuipenda CHADEMA......peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeez..........malizia RITZ.
Mshukuru Hu jintao kakuokoa otherwise ungekuwa ushakula kitanzi china m-bia mwenzako kamwagiwa tindikali pale kwenye jengo lako baby shop,wewe mwenye cv nzuri umeishia kuuza ngada aka bwimbwi.
Wewe ndio mbumbumbu hujui kitu Nyerere alianzisha TAA au umepagawa na shibe ya mipunga ya dhuluma