Wasifu wa Godbless Jonathan Lema

Lipumba ana CV nzuri lakini ni mdini, kashindwa hata kujenga chama chake. After all wezi wote wakubwa wa nchi hii ni wasomi.

kisimani acha hizo Profesa mdini wapi toa hoja za msingi sio kwakuwa unapata wasaawa kuchangia ndo unaropoka
 


Inabidi tuangalie mtu na sio uchama, mi naona hapa uchama ndo umewajaa watu badala watoe mawazo yao kuhusu hiyo CV kama ina ukweli wao wanarukaruka tu na kutukana.
 

Elimu ni muhimu kwa kiongozi, elimu anamfanya kiongozi kuwa na upeo na ufahamu.
 
Siyo kwamba namtetea Lema,ila ndivyo nilivyolielewa hilo jedwali ulobandika hapo juu.Kwenye hiyo section ya Cambridge inaonyesha ni a work in progress.Sasa labda ungemwuliza kama hiyo degree ni ya online since yuko tz.
 
Kwa habari nilizozipata lema alizaliwa 1963 amepunguza miaka

kapunguza ili iweje? wanaopunguza huwajui? uzuri mmoja sio lazima mtu aseme, historia ya mtu na sura vinaweza kueleza umri. naona wewe unapenda lema awe mtu mzima, hujachumbiwa bada dd? ila lema ni mume wa mtu tiyari
 
CV Yahuuuuu sie tunataka MBUNGE anayelete tija....!!
 
Baada ya kumaliza A level uliishia hapo hapo au uliendelea na shule?

BTW inawezekana wewe umesoma kwa MITAHARA kama hapo kwa red, na mwenzio Lema hakusoma kwa MITAHARA.

FYI: MITAHARA ni spesheli kwa MATAAHIRA.

Unataka kujua kama niliendelea baada A-Level sidhani kama ni muhimu sana ila kwa faida yako niliendelea na chuo mwaka 1998 nikisoma lugha kwa mwaka 1 na nusu 1999 mpaka 2003 degree na 2005 mpaka 2007 master. Je umeridhika? Asante kwa kuniita taahira mungu akubariki.
 
Hauna jipya lema ni kamanda mchapakazi ndio kitu muhimu katika jamii sio cv mzuri mwizi na wauza madawa ya kulevya
 

Mkuu Wakuti,

Pole sana hao ndiyo Bavicha wengi wao wana PhD za matusi.
 
Last edited by a moderator:
Swala hapa ni udanganyifu ndio anachoongelea RITZ haijalishi kama CV ndogo au kubwa.
 
Mwaka 2015 katiba mpya iseme wazi wazi mbunge lazima awe na Degree teh teh teh
 

umeiona,.ya...majimarefu?
 
Eti Lema kasoma Degree UK lakini akumaliza, teh teh teh siasa hizi.

Pale kwa Lukuvi mbona kako blank alimaliza hili? Lema hata angekuwa ni form four leaver but hakuna mburura wa SSM anamfikia kwa kuangalia mambo kwa undani, nasema hakuna. huko kwenu kumejaa vyeti fake hadi vya watoto wenu mnaowachomeka kufanya kazi kwenye taasisi zenye maslahi nao elimu zao ni za mashaka!!! Kamuulize Magai wa IMMA alimwambia nini yule dogo wa dili ambaye hakuwa anaweza kuandika hata legal sentensi moja!!! Ila dili za China na shareholding kwa makampuni yanayokwepa kodi kama Home Shopping Centre yuko front!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…