oscarlswai
Member
- Jul 20, 2013
- 35
- 3
Majungu saaaaanaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yaani unafikiri ccm mtapata kura kutoka mitandaoni? muulize kikwete kamshindwa Lema itakuwa wewe kidagaa,na Lema is very smart hawezi na hatajibu vibaka kama wewe pole sana siasa za .com hamtaweza kuwashawishi wananchi kalagha bao kwi kwi kwi njaa mbaya sana.Teh teh teh... Lema nae alikuwa CEO? teh teh teh!
Kwako kiongozi akiwa muongo siyo tatizo?
Mbona unataka kumdhalilisha rais wetu kumfananisha na Lema.yaani unafikiri ccm mtapata kura kutoka mitandaoni? muulize kikwete kamshindwa Lema itakuwa wewe kidagaa,na Lema is very smart hawezi na hatajibu vibaka kama wewe pole sana siasa za .com hamtaweza kuwashawishi wananchi kalagha bao kwi kwi kwi njaa mbaya sana.
Kamanda nakushauri huu uandishi wako wa FB hauna nafasi jipange JF kuna Great Thinkers.Litz hivi hilo likichwa umejaza kamas au? Tutakufundisha mpaka lini? Yaani pamoja na kupokelewa mjini na makasi yako na ukajua kujipangusa hadi leo unatumia huu mtandao haujui km kuna distance lerning kwa vyuo vya nje? Au unafikiri mwandosya anapofundisha vyuo vya uingereza anakwenda huko? By then elimu kubwa cyo kipimo cha kuchapa kazi mbona kuna maprf hakuna wanachofanya ktk jamii. Haya nakuomba we kinabo uweke cv za magamba wako hapa ili tucompare na utendaji wao wa kazi tuone km hutaumbuka ---- wewe. Hebu soma cv ya dr. Nchimbi na ufuatilie kwny hvyo vyuo alivyosoma then utuwekee link hapa.#acha kufananisha majembe ya CDM na hao vilaza wako. Au nikujuze hata mwanasheria wako na elimu yake anapigwa gap na mnyika ambaye hajaonja ht degree 1 sembuse hao vinabo wako hao..? Jipanguse.
Hivi unajua ulichokiandika au unajifurahisha huko kwenye vijiwe vya mbenge.Lema ni genius sio intellectual sijui kama unaelewa we Ritz moko
Tuwekee hiyo orodha tuione, tumechoka na uzushi wako.Kusikia hausikii hata picha uoni.
Pitia orodha ya wanafunzi waliomaliza Diploma 2008 Cambridge International College kama utalikuta jina la Lema.
Endelea kujidanganya na kudanganya wenzio. Ndio hivi hivi mlisema wapinzani ni wanywa viroba, mawaziri wenu,na wabunge wakaamnua kunywa zaidi ili vichwa vicharge zaidi. Akili zenu zinawatosha yie tuu, na uongo wenu unawatosha kuwadanyanya wana ccm pekee. Sasa k wanini usijiulize km Lema ni km unavyotaka tuamini kwanini anawakusanya hivyo? Shida ipo wapi, kwenye aleimnu zenu au Elimu ya Lema?Kusikia hausikii hata picha uoni.
Pitia orodha ya wanafunzi waliomaliza Diploma 2008 Cambridge International College kama utalikuta jina la Lema.
Kwani CEO ni issue, utaohoji hata Urais wa timnu za Mpira.Teh teh teh... Lema nae alikuwa CEO? teh teh teh!
Amewashinda walevi wengi Tu wa ccm.......Hivi unajua ulichokiandika au unajifurahisha huko kwenye vijiwe vya mbenge.
Lema anapewa sifa na wafuasi wake, teh teh teh.
Hahahaaa....Ritz akishapata kitwanga kadhaa anapost pumba tuu hapa
Haha..umenikumbusha kitu nimecheka hadi watoto wananiuliza nimekuwa kichaa.. NIMEKUMBUKA WAPUUZI WA UDSM WAKISHAPATA DEGREE BASI HUJIITA INTELLECTUALS . Wakati hakuna mahali utakuta wanatumia akili zao ktk chochote.Hata wanapoongea. Hapo kidogo utamsumbua sana huyu mshirikina Ritz..wapiga viroba YAI lipande, wanosema Bangi iruhusiwe ili watu walime sana, ..si ajabu wakasema Diamond ni shakespere wa bongo.Lema ni genius sio intellectual sijui kama unaelewa we Ritz moko