Alilqhai wananchi maskini wa Arusha wakampatia ubungeLema ni mtoto wa mjini mpambanaji mwenye exposure kubwa ya maisha.
Lema hajawahi kuajiliwa popote lakini anamaisha mazuri na umaarufu mkubwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alilqhai wananchi maskini wa Arusha wakampatia ubungeLema ni mtoto wa mjini mpambanaji mwenye exposure kubwa ya maisha.
Lema hajawahi kuajiliwa popote lakini anamaisha mazuri na umaarufu mkubwa.
Lema anasumbuliwa na kituLema toka arudi Tanzania amekigeuza kichwa chake kama shamba la nywele
Nimeipokea mkuuNi darasa la kumi na mbili aliefeli kwa kupata daraja la nnne point 32
Amakujea na matumisi mapya ;Laana,Mtakufa ,ushamba ongezeaLema toka arudi Tanzania amekigeuza kichwa chake kama shamba la nywele
Ni laghai nimeipokea mkuuAlilqhai wananchi maskini wa Arusha wakampatia ubunge
Huyu kichwa chake sasa hivi kakipa majukumu mengine ya kubebea meno.....tofauti na majukumu yake ya kufikiri 🤣Amakujea na matumisi mapya ;Laana,Mtakufa ,ushamba ongezea
Hakika lema hayuko sawaAmakujea na matumisi mapya ;Laana,Mtakufa ,ushamba ongezea
Lema ni mwenda wazimuHuyu kichwa chake sasa hivi kakipa majukumu mengine ya kubebea meno.....tofauti na majukumu yake ya kufikiri 🤣
Lema alipokuwa mbunge Arusha ilijaa wauza mitumba mbona hakusema wala kuwasaidia!?
Sio kazi ya laana kumbe!?Wauza mitumba wamekuwepo nchi hii hata kabla Lema hajazaliwa, na wauza mitumba nguo zao ni nzuri na imara kuliko za Vunja bei
Sio kazi ya laana kumbe!?
evidence?Katika uchaguzi huo G Lema alimshinda Mrema lakini katika hali ya kustaajabisha Lema aliuza UBUNGE wake kwa kupewa viwanja Njiro na fedha nyingi.
Ni sawa ila baada ya ubunge wake kutenguliwa na Mahakama Lema alichukua mikoba ya kuuza ubunge...mwaka 1995 mgombea wa Nccr Arusha mjini hakuwa Makongoro Nyerere?
Yaliyoandikwa inaonesha ni "alifanya" siku hizo.Je,leo tumueleweje huyo Lema?Heshima sana wanajamvi,
Leo ningependa tumjadili Lema kama Mwanasiasa,Mfanyabiashara na Mtu aliyeshika dini (Mlokole)
Mwaka 1995 Lema aligombea ubunge wa Arusha Mjini kupitia NCCR-Mageuzi.Mshindani wake mkuu alikuwa Mh Mrema ( Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serekali)
Katika uchaguzi huo G Lema alimshinda Mrema lakini katika hali ya kustaajabisha Lema aliuza UBUNGE wake kwa kupewa viwanja Njiro na fedha nyingi.
Mwaka 2000 Lema alirudia mchezo ule ule wa kuuza UBUNGE ingawa alipata misuko suko mingi kutoka kwa wana NCCR-Mageuzi.Lema ni mjanja sana aliwadanganya wanachama kwamba angefungua kesi kumbe ilikuwa njama za kuwazubaisha wanachama ambao walianza kumchoka.
Mwaka 2005 aligombea Ubunge tena kupitia CDM alitaka tena kuuza UBUNGE lakini safari hii kina Mbowe na Marehemu Ndesamburo waliingilia kati na kuhakikisha anapata Ubunge ambao alishaupata mara mbili.
Lema aliwahi kumuuza Mawazo Nelson CCM kabla ya kumrejesha kupitia michezo yake kupiga hela kirahisi rahisi.
Lema kwa kutumia nafasi yake ya ubunge na Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini alijijenga mwenyewe kisiasa na kiuchumi.Wanasiasa wote waliojaribu kuwa zaidi yake alihakikisha anawayumbisha au kuwafukuza.
Lema hana nguvu wala ushawishi wa kisiasa Arusha kama ilivyokuwa siku za nyuma.Uchaguzi ndani ya chama ulimshinda na akakimbia.
Lema hawezi kugombea ubunge Arusha kwakuwa hawezi kupitishwa na chama chake tena labda Lissu ashinde na apitishwe kupitia mlango wa nyuma.
Lema mlokole mjanja mjanja.Kwa asili Lema ni Mlutheri kupitia madhehebu ya kilokole alianzisha ministry jina nimelisahau lakini tamaa ya kujipatia fedha haraka haraka ilimfarakanisha na wafadhili.
Biashara za madini ya Tanzanite alizifanya sana na utapeli wa kuuza vipande vya chupa kama Tanzanite kaifanya sana.Deal za wizi magari kazipiga sana wakati anaingia Jijini Arusha ndio ilikuwa biashara yake ya mwanzo akishirikiana na wezi maarufu Chonjo gang.
Ngongo kwasasa Karatu.
Ni sawa ila baada ya ubunge wake kutenguliwa na Mahakama Lema alichukua mikoba ya kuuza ubunge.
Binafsi nilikuwa mmoja ya watu walioshiriki kumsaidia.evidence?