Godbless Lema ni mtoto wa mjini, tapeli turned into politics. Kama ukiweza fanya background check yake pale mahakamani utaona mara ngapi alivyoburuzwa kortini kwa tuhuma kibao za utapeli. Ila demokrasia imechukua mkondo wake na kapewa ubunge na wana Arusha.
Godbless Lema ni mtoto wa mjini, tapeli turned into politics. Kama ukiweza fanya background check yake pale mahakamani utaona mara ngapi alivyoburuzwa kortini kwa tuhuma kibao za utapeli. Ila demokrasia imechukua mkondo wake na kapewa ubunge na wana Arusha.
Niliposoma post ya Selemani niliona kama crap flani hivi ....ila Michelle alipoiunga mkono basi mi nikawa sina shaka na hiyo post. ila nayo ni sehemu ya wasifu na nimfano wa kuigwa kwa vijana kuwa unaweza kubadilika kutoka maisha flani kwenda maisha mengine. Hata obama wakati wa kampeni zake alikiri kuwahi kuvuta bangi ila akaweza kuacha na kujikita kwenye masomo na kufanikiwa kudahiliwa Havard. So The guy is still a god example for youths who have found themselves in the midst of peer pressure to do immoral things.......
Vizuri kujua hilo.....na kama mlimsikiliza kipindi cha uchaguzi kwenye TBC alieleza vyema kwanini anagombea na nini anataka kufanya na akasisitiza umuhimu wa kubadili attitude akijua wazi anaomba uongozi jimbo ambalo vijana wengi wanaamini kwenye utapeli na mambo kama hayo.
Vizuri kujua hilo..
Godbless Lema ni mtoto wa mjini, tapeli turned into politics. Kama ukiweza fanya background check yake pale mahakamani utaona mara ngapi alivyoburuzwa kortini kwa tuhuma kibao za utapeli. Ila demokrasia imechukua mkondo wake na kapewa ubunge na wana Arusha.
exactly,,,tena ni mchaga kama mbowegodbless lema ni mtoto wa mjini, tapeli turned into politics. Kama ukiweza fanya background check yake pale mahakamani utaona mara ngapi alivyoburuzwa kortini kwa tuhuma kibao za utapeli. Ila demokrasia imechukua mkondo wake na kapewa ubunge na wana arusha.
Najua imechukuliwa kisiasa lakini ukweli ni kuwa serikali haijawasaidia vijana wa Arusha kuwa tofauti,hawana utaratibu mzuri wa kuuza madini yao,wanadhulumiwa na hawalipwi huko wanakofanya kazi,wengi wao pia hawana ajira na mbaya zaidi kuna kazi kama za tours sasa hivi zimeingiliwa na Wakenya na ndo maana wamefika point ya kukata tamaa,Arusha ni mji wa kitalii maisha ni magumu,mazingira ya kufanya biashara pia ni magumu na vitu ni ghali sana.......Serikali ya Chama cha Mapinduzi inapaswa kuangalia sana suala la Arusha na kwa kushirikiana na Lema anayeelewa undani wa maisha ya vijana.....kufanya siasa na kutumia nguvu haviwezi kubadili tabia ya watu wenye njaa.....gap kati ya maskini na tajiri ni kubwa sana Arusha kuliko sehemu yeyote ya nchi hii,its a point of no return,wanasema bora kufa kwa ajili ya nchi yao kuliko kuishi maisha marefu watu wachache wakifaidi mali asili na opportunities zinazopatikana nchini...........mi sishangai watu wa Dar kutofautiana na wa Arusha na kushangaa kwa nini hawa vijana ni wakali hivyo,ni ugumu wa maisha.....
Ameishia form four na alikua dalali wa mazao ya nafaka sokoni arusha mjini na badae mbunge wa arusha mjini kupitia chadema! Anafaa kibongobongoWadau tudondosheeni CV za huyu shujaa mpya
Kwa kuwa anajua matatizo ya vijana wengi mkoani humo na yeye binafsi ameshawahi kuwa katika kadhia hiyo, hapana shaka atatumia muda wake wa ubunge kutatua matatizo hayo. Badala ya kupoteza muda kwa shughuli ambazo hazina tija kwa wapiga kura wake!Najua imechukuliwa kisiasa lakini ukweli ni kuwa serikali haijawasaidia vijana wa Arusha kuwa tofauti,hawana utaratibu mzuri wa kuuza madini yao,wanadhulumiwa na hawalipwi huko wanakofanya kazi,wengi wao pia hawana ajira na mbaya zaidi kuna kazi kama za tours sasa hivi zimeingiliwa na Wakenya na ndo maana wamefika point ya kukata tamaa,Arusha ni mji wa kitalii maisha ni magumu,mazingira ya kufanya biashara pia ni magumu na vitu ni ghali sana.......Serikali ya Chama cha Mapinduzi inapaswa kuangalia sana suala la Arusha na kwa kushirikiana na Lema anayeelewa undani wa maisha ya vijana.....kufanya siasa na kutumia nguvu haviwezi kubadili tabia ya watu wenye njaa.....gap kati ya maskini na tajiri ni kubwa sana Arusha kuliko sehemu yeyote ya nchi hii,its a point of no return,wanasema bora kufa kwa ajili ya nchi yao kuliko kuishi maisha marefu watu wachache wakifaidi mali asili na opportunities zinazopatikana nchini...........mi sishangai watu wa Dar kutofautiana na wa Arusha na kushangaa kwa nini hawa vijana ni wakali hivyo,ni ugumu wa maisha.....
Inaonekana hakimu alikuwa bro chapombe nini?Godbless Lema ni mtoto wa mjini, tapeli turned into politics. Kama ukiweza fanya background check yake pale mahakamani utaona mara ngapi alivyoburuzwa kortini kwa tuhuma kibao za utapeli. Ila demokrasia imechukua mkondo wake na kapewa ubunge na wana Arusha.
Si kila post lazima uchangie.Godbless Lema ni mtoto wa mjini, tapeli turned into politics. Kama ukiweza fanya background check yake pale mahakamani utaona mara ngapi alivyoburuzwa kortini kwa tuhuma kibao za utapeli. Ila demokrasia imechukua mkondo wake na kapewa ubunge na wana Arusha.
Si kila post lazima uchangie.
Ameishia form four na alikua dalali wa mazao ya nafaka sokoni arusha mjini na badae mbunge wa arusha mjini kupitia chadema! Anafaa kibongobongo
hata angekuwa kijana wa mtaan,Lema ni mwanaume wa kweli,shujaa wa 2011,dume la uhakika asiye na ubabaishaj ktk kutetea maslai ya wananchi wake.uwezo na dhamira yake ndio mwanzo wa arusha mpya tunayoisubiria.Mungu na amlinde na kumtia nguvu, AMEN.
Ameishia form four na alikua dalali wa mazao ya nafaka sokoni arusha mjini na badae mbunge wa arusha mjini kupitia chadema! Anafaa kibongobongo
Ni kweli unajua kuna mambo mengine unapitia kama kijana kwenye maisha(Si kama na-justify) kwenye kutafuta maisha,na unapokuwa na deal kama za madini una deal na watu tofauti sana na pia baada ya kugombea kupitia TLP watu wakaona nguvu yake ambapo pia inasadikiwa alishinda,basi watu wakawa wanamwekea mitego ya kiaina ili aharibu image yake but deep down he is just a guy aliyekuwa anatafuta maisha kwenye mazingira yenye utapeli ndo maana ni rahisi sana watu kumuona naye tapeli.But kitu kikubwa kwa Lema anaielewa Arusha na matatizo yake,na ana uchungu sana....na kama mlimsikiliza kipindi cha uchaguzi kwenye TBC alieleza vyema kwanini anagombea na nini anataka kufanya na akasisitiza umuhimu wa kubadili attitude akijua wazi anaomba uongozi jimbo ambalo vijana wengi wanaamini kwenye utapeli na mambo kama hayo.
Godbless Lema ni mtoto wa mjini, tapeli turned into politics. Kama ukiweza fanya background check yake pale mahakamani utaona mara ngapi alivyoburuzwa kortini kwa tuhuma kibao za utapeli. ...........