Wasifu wa Godbless Jonathan Lema

Wasifu wa Godbless Jonathan Lema

Umekosea sana we mkaka, maana huyu ni kaka yangu wa damu, na kwa taarifa yako ni mpambanaji humuwezi acha kabisa Kashfa zako.

Amezaliwa machame Nronga. Na hili jina Lema sio la hivihivi. Ni watu wanaojua wanachotaka na wanakokwenda. Sio Bendera fuata upepo. Google search hilo jina LEMA usome wasifu wao ndio utaelewa!!!

Ndio maana mnapeleka nchi mrama maana manaongea tu bila kufikiri. na Hamshauriki. Huu mwaka wenu sisem
Hawala yako mimi nakufahamu!
 
hata angekuwa kijana wa mtaan,Lema ni mwanaume wa kweli,shujaa wa 2011,dume la uhakika asiye na ubabaishaj ktk kutetea maslai ya wananchi wake.uwezo na dhamira yake ndio mwanzo wa arusha mpya tunayoisubiria.Mungu na amlinde na kumtia nguvu, AMEN.

Aendelee kupata kipigo tena kutoka polisi ili 2015 aje asema nilipigwa kwa ajili yenu ndio mana sija leta maendeleo!
 
Najua imechukuliwa kisiasa lakini ukweli ni kuwa serikali haijawasaidia vijana wa Arusha kuwa tofauti,hawana utaratibu mzuri wa kuuza madini yao,wanadhulumiwa na hawalipwi huko wanakofanya kazi,wengi wao pia hawana ajira na mbaya zaidi kuna kazi kama za tours sasa hivi zimeingiliwa na Wakenya na ndo maana wamefika point ya kukata tamaa,Arusha ni mji wa kitalii maisha ni magumu,mazingira ya kufanya biashara pia ni magumu na vitu ni ghali sana.......Serikali ya Chama cha Mapinduzi inapaswa kuangalia sana suala la Arusha na kwa kushirikiana na Lema anayeelewa undani wa maisha ya vijana.....kufanya siasa na kutumia nguvu haviwezi kubadili tabia ya watu wenye njaa.....gap kati ya maskini na tajiri ni kubwa sana Arusha kuliko sehemu yeyote ya nchi hii,its a point of no return,wanasema bora kufa kwa ajili ya nchi yao kuliko kuishi maisha marefu watu wachache wakifaidi mali asili na opportunities zinazopatikana nchini...........mi sishangai watu wa Dar kutofautiana na wa Arusha na kushangaa kwa nini hawa vijana ni wakali hivyo,ni ugumu wa maisha.....

Huwezi punguza ukali wa maisha kwa kula milungi! Ndio zao vijana wa arusha wasipo angalia watashikwa makalio wamezidi kukaa na kubweteka!
 
CV ya nini hapa CV inajionyesha tayari; leteni hapa ya Sofia S wa ccM CV ya Leme ipo wazi inajionyesha yenyewe hatujui ya makamba, Rostam, Hawa Ghasia, hata mpaka leo hatujaambiwa nini kilimuua Mama Mbatia
 
100_0345.JPG
 
Sometimes the Past does not Determine the Future...... Tusipende kuchimba yaliyopita.... hata kama zamani alikuwa Malaika au Shetani... it does not determine huko mbele atakuwaje... nadhani chapter yake ndio imefunguka sasa tuanze kumjudge from now....
 
Hawala yako mimi nakufahamu!

Mmezoea kutukana ,pole, inaonekana wewe unamfahamu kila mtu. Usilolijua ni kama usiku wa giza. Mwanaume hapendezi kuongea ovyo. N

Hiyo home work ushafanya au bado unakakaa tu hapa. Usipende kupoteza muda. Hebu na wewe fanya Jambo la maana ujulikake kama Lema.

Upende usipende. Lema ndio Mbunge wa Arusha. Acha kijiba cha Roho. Unajibu hoja kwa kashfa.
 
Godbless Lema ni mtoto wa mjini, tapeli turned into politics. Kama ukiweza fanya background check yake pale mahakamani utaona mara ngapi alivyoburuzwa kortini kwa tuhuma kibao za utapeli. Ila demokrasia imechukua mkondo wake na kapewa ubunge na wana Arusha.

Makamba niaje? upo tuu
 
Sometimes the Past does not Determine the Future...... Tusipende kuchimba yaliyopita.... hata kama zamani alikuwa Malaika au Shetani... it does not determine huko mbele atakuwaje... nadhani chapter yake ndio imefunguka sasa tuanze kumjudge from now....

Tuache kabisa kuongelea mambo ya DOWANS, Richmonds, Meremeta, Rada deals etc. na wahusika wao. Tusipende kuchimba yaliyopita, eti......

Past does not determine the future!? Kwa ile ni MCHADEMA?.

Stereotype!
 
As long as Lema is with chadema, JF atapigiwa debe tu! its that simple...Sasa ngoja atoke chadema ndio utajua madhambi yake....

CV yake ni chadema
 
Nilipata bahati ya kuwa karibu na lema, mbowe, na viongozi wa Chadema mkoa wa arusha wakati wa maandalizi hadi mazishi ya wapigania uhuru. Wakati wa kampeni za Uchaguzi thread zilizokusudia kuwabomoa mbowe na lema ili wasichaguliwe. Nimewahi kuwa karibu kiasi na zitto.

Leo najivunia sana kupata nafasi ya kushirikiana na lema na mbowe japo kidogo kwenye harakati za mazishi ya wapigania uhuru wetu. Natamani kama ningekuwa na nguvu, determination, organizing skills, uzalendo, ufamamu wa kuzitambua na ku deal na dirty politics za serikali na ccm. Angalau robo yao tu. Viongozi wa mkoa pia hasa mwenyekiti, nawatamani kweli kweli.

Team work, team spirit, kujituma kwa nguvu zote kabisa, kazi usiku na mchana bila kulala, upendo, kusikilizana, heshima kwa kila wazo, kujitolea garama kwa Hali na mali, n.k.

Ukumbuke kwamba ile shughuli ya mazishi ya wapigania uhuru ingekuwa ni ya ccm, Leo hii tungeambiwa zilitimuka billioni tano. Lilikuwa ni tukio kubwa sana kwetu sisi tuliobahatika kuwa behind the camera. Pia ukumbuke polisi na ccm walikuwa wanawasiliana live na wafiwa ili maiti zisije NMC.

Nikipata muda nitaanzisha thread ingine kuwasilisha obseration yangu kuhusu maandalizi na mazishi. Ni rahisi kutazama picha hapa janvini na kutoa maoni yako lakini siyo rahisi kujua what it meant and how it feels like kwa wale wahusika wakuu, yaani lema, mbowe, na viongozi wa Chadema arusha.

Lakini nilifurahi zaidi mno kuona, siku ya tukia, machalii walivyokuwa wanawapenda lema, mbowe, na mwenyekiti wa mkoa. Kila walipoonekana watu walitaka kuwabeba. Kumbuka bila lema fujo ingetokea pale mortuary baada ya maiti kuchelewa kutoka kwa zaidi ya saa nne. Wakati machalii walipoanza kupandisha pale mlango wa mortuary, mbowe aliwaambia subirini lema anakuja. Lema alikuwa getini akimanage machalii wengine. Alipoitwa aliwaambiwa twendeni getini tukacheze regge. Walishangilia wakamfuata kama yule mpiga filimbi aliyehamisha panya kwenye mji fulani. Akakaa pale getini akiwakeep busy na regge na nyimbo za sarafina hadi msafara ulipoanza kwenye saa nane mchana
 
Godbless Lema ni mtoto wa mjini, tapeli turned into politics. Kama ukiweza fanya background check yake pale mahakamani utaona mara ngapi alivyoburuzwa kortini kwa tuhuma kibao za utapeli. Ila demokrasia imechukua mkondo wake na kapewa ubunge na wana Arusha.

You are sick!!!!!
 
We are Building Leaders na Tunamwona. Vijana Tuangalie Jinsi Gani ya Kuingia Kisiasa na Kujijenga. This is Excellent and May be Future Tanzania President.
 
Umekosea sana we mkaka, maana huyu ni kaka yangu wa damu, na kwa taarifa yako ni mpambanaji humuwezi acha kabisa Kashfa zako.

Amezaliwa machame Nronga. Na hili jina Lema sio la hivihivi. Ni watu wanaojua wanachotaka na wanakokwenda. Sio Bendera fuata upepo. Google search hilo jina LEMA usome wasifu wao ndio utaelewa!!!

Ndio maana mnapeleka nchi mrama maana manaongea tu bila kufikiri. na Hamshauriki. Huu mwaka wenu sisem

Umesema ndugu wa damu, hujajibu hoja, kuna wt mnatia kichefuchefu humu!

angalia asiye ndugu wa damu anavyojibu na uone jibu lake lilivyo zuri!

Even if was tapeli, SAULI turned to be PAUL yet today ia a hero! siona kabisa kama alikuwa tapeli na leo shujaa then he ie best than those who are padre, rev, shekh yet they are coward!

hata angekuwa kijana wa mtaan,Lema ni mwanaume wa kweli,shujaa wa 2011,dume la uhakika asiye na ubabaishaj ktk kutetea maslai ya wananchi wake.uwezo na dhamira yake ndio mwanzo wa arusha mpya tunayoisubiria.Mungu na amlinde na kumtia nguvu, AMEN.

Well said! hoja ikijibiwa vizuri inamuua kabisa muharibuji!
 
Tuache kabisa kuongelea mambo ya DOWANS, Richmonds, Meremeta, Rada deals etc. na wahusika wao. Tusipende kuchimba yaliyopita, eti......

Past does not determine the future!? Kwa ile ni MCHADEMA?.

Stereotype!
Hayo sio past kwa vile yanaendelea kutafuna nchi na watu wake, usikurupuke. Hata kama mtu alikuwa mwovu hapo kale na akabadilika na kuwa mtu safi na mwenye faida kwa jamii hilo sio mjadala tena zaidi ya pongezi. Heba waambieni wale viongozi wazembe,wabinafsi,wadini na wasiojali utu nk ndani ya uongozi wa CCM wajirudi na kutubu mbele yetu makosa yao na kubadilika kwa kutoa utumishi ulio bora kama hawataiona support ya wananchi na kusifiwa kwa hayo.
 
Luis Lula Da Silva? Mshona viatu aliye tawala Brazil???????????????????
 
Mimi nadhani ukiona huna cha kuchangia si lazima uandike wakati mwingine unaweza kuipotezea tu thread kama uhuisani nayo, mdau ameomba cv ya mtu kwa kua yeye anahitaji kumfahamu, lakini baadhi ya wachangiaji wameanza kwa kutoa majibu ya dharau, yasiyohusiana lakini pia wapo waliotoa jibu la moja kwa moja kulingana na maswali. Tuheshimu mada/mawazo/kutoelewa/kuelewa kwa jambo ambalo mtu anahitaju ufafanuzi. Ni hayo tu
 
kwa kweli mm simjui mbunge huyu wa arusha, ila kwa matukio ninayoyaona kupitia tv na redio anaonekana ni mtu jasiri sana, mungu amsaidie asonge mbele,tunahitaji watu majasiri kama lema kwa wakati huu ili tuweze kutoka katika minyororo ya utawala thalimu wa CCM.
 
Back
Top Bottom