MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,308
Pia Godbless Ni mpambanaji na Visionary wa maendeleo. Always haamini katika kushindwa bali siku zote anaamini kuna best alternative. Hii ilimpelekea kuamua kuunda ArDF yaani arusha Development foundation ambayo tayari mwaka huu inalipia watoto 1000 kutoka familia fukara ada shule ya sekondari hasa kwa walnaoanza form one. 2011.
Ana mpango wa kupeleka wanafunzi wa maskini 25 kusoma vyuo mbalimbali vikuu vya nje na tayari amekwisha establish contact na vyuo hivyo.
Ana mpango wa kutumia slabs au vimatofali kujenga barabara za mji badala ya lami.Hii itapunguza 50mil. TZS kwa kila KM 1 ya barabara itakayojengwa. Yuko determined na anayo support kubwa nyuma yake ambayo si tu ya mnaowaona mikutanoni bali hata millionaires wa Arusha ambao ni wafanya biashara na wasomi wakubwa. Nguvu yake ya kujiamini inatokana na support ya walioko nyuma yake na ukweli anaweza
Ana mpango wa kupeleka wanafunzi wa maskini 25 kusoma vyuo mbalimbali vikuu vya nje na tayari amekwisha establish contact na vyuo hivyo.
Ana mpango wa kutumia slabs au vimatofali kujenga barabara za mji badala ya lami.Hii itapunguza 50mil. TZS kwa kila KM 1 ya barabara itakayojengwa. Yuko determined na anayo support kubwa nyuma yake ambayo si tu ya mnaowaona mikutanoni bali hata millionaires wa Arusha ambao ni wafanya biashara na wasomi wakubwa. Nguvu yake ya kujiamini inatokana na support ya walioko nyuma yake na ukweli anaweza