Wasifu wa Godbless Jonathan Lema

Iq and level of education are two different things, knowledge can be easily attained by getting high quality education or pursuing degrees in school. on other hand, IQ is measured according to the actual capacity of the brain to process various types of information.

Is true that the people who live in countries with poor education quality automatically have low IQ.


Iq and level of education are two different things, knowledge can be easily attained by getting high quality education or pursuing degrees in school. on other hand, IQ is measured according to the actual capacity of the brain to process various types of information.
Is true that the people who live in countries with poor education quality automatically have low IQ.

Kwa Tz ni wale tu wanaotafuta elimu nje ya madarasa na wanatoka sehemu zenye lishe nzuri ndio wanauwezo wa kufikiria, mtu aliyesoma kuanzia darasa la kwanza mpaka chuo kikuu akapata kazi serekalini hawezi kuwa na uwezo wa kuchambua vitu kwani amekaririshwa tu, kwa makampuni ya kimataifa hawezi kupata kazi, wasaini mikataba hawajui imeandikwa nini, ukiwahonga pesa kidogo wanakupa kila kitu, ukiwaambia ccm ni mbaya hafikiri ni kwanini ni mbaya, hawajua hata maisha wanayoishi ni mabaya na hatari na hawajui nani kawasababishia, wao wanaona kuendesha gari ni fahari lakini bahati mbaya wakapata ajali hawataokelewa kwa kuwa wataalamu, dawa,miundombinu hakuna na muda wa kwenda india hakuna watakufa tu, hawa kama ni mainjinia hawawezi kupanga miji, kubuni machine, na vifaa vya kusukuma maendeleo ya nchi, angalia waliokimbilia nje ya nchi hawawezi kusadia familia nyumbani na nchi kwani hawawezi hata kuongoe kingereza vizuri na elimu mbovyu na ujuzi hakuna hivo hawapati kazi nzuri, Ni somo pana na linahitaji kufundishwa sana ili wajue ushabiki wao kwa ccm unawathiri vipi maisha yao, familia zao na nchi kwa ujumla.
 
Watanzania wananjaa hiyo CV unayoizungumzia inaliwa? Uchafu wako peleka huko kwenu watu wananjaa bidhaa kila siku zinapanda bei ndiyo yalikua mambo muhimu yakujadili ambayo yanamgusa kila mwananchi hiyo cv weka pembeni njaa inauma
 
Kwa jinsi alivyo changia wizara ya viwanda na Biashara hadi Mr. Waziri kumpigia salute unaweza kudhani jamaa ana PHD, kumbe diploma tu? Bado najiuliza kwanini vyuo vinatoaga PHD za heshima kwa watu ambao mchango wao hata hauonekani, huyu alipaswa kupewa. ka connect dots za BOT, wizara ya fedha na wizara ya viwanda na Biashara na hata issue ya General tyre.
 
Wakuu, kwa mwenye CV au historia fupi au kamili ya Lema, amewahi ajiri vijana wangapi, na mtazamo/ falsafa yake kwenye kuondoa umaskini na tatizo la ajira.

Alipokuwa mbunge, Arusha ilijaa(imejaa) wauza mitumba, kwa nini hakusema?

NB: Mtu anayesajili laini 300 kwa mwezi anapata 600,000.
 
Hii ni kazi ya wanaokusanya kodi zetu
 
Lema ni mtoto wa mjini mpambanaji mwenye exposure kubwa ya maisha.
Lema hajawahi kuajiliwa popote lakini anamaisha mazuri na umaarufu mkubwa.
 
Ni darasa la kumi na mbili aliefeli kwa kupata daraja la nnne point 32
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…