Wasifu wa Godbless Jonathan Lema

..Ccm walimpa pesa nyingi kuliko ambayo angelipwa kwenye ubunge?

..kwa hiyo angeingia bungeni angekuwa senior kama kina Lukuvi?
Wakati huo hakujua Mjengoni kuna hela ndefu.

Ukimuuliza mkaazi yoyote wa Arusha aliyekuwa na sifa (umri) ya kupiga kura mwaka 1995 hadi 2000 atakwambia udhaifu wa Lema wa kuuza UBUNGE mara mbili.

Lema alikuwa VW kobe wakati huo hata mafuta ilikuwa ni shida.Tulimsaidia kwa hali na mali.
Kila uchaguzi ukifanyika unashangaa anakuwa na uwezo wa kununua viwanja Njiro kujenga mjengo mzuri kununua magari mazuri na nk.
 
Bila kuweka payslip ya mauzo ya ubunge wa lema hii ni ngano tu.
 
Twambie na kuhusu sultan Mugabe jinsi alivyowakumbitia covid 19 ili kubalance story
Anzishia uzi. Huwezi kumuelekeza mtu mwingine atoe taarifa fulani hata kama hana undani wake, ila wewe iliye nazo unaweza ukatoa kwa usahihi zaidi
 
Tutajie kifungu cha Katiba kinachotumika Kwenye Mauziano ya Ubunge 🐼
Jimbo la Kawe Halima Mdee alishinda Ubunge lakini Mbunge wa Kawe ni Askofu Gwajima.

Tofauti ya Lema na Mdee ni hii.

Lema alishiriki binafsi kuuza ubunge kwa faida yake.

Mdee aliporwa ubunge wake na State kwa faida ya CCM ( dola).
 
Duh。。。!。Hakuna ajabu yoyote kwa sababu hata shetani,mwanzo alikuwa malaika,akageuka shetani!,hivyo hii huweza kutokea kwa binadamu, mwanzo alikuwa ni mtu mbaya akageuka mwema,kama Sauli alivyogeuka Paulo na akawa Mtume Paulo,Lema kwa sasa ni Nabii Lema!japo Nabii Hakubaliki Nyumbani! Godbless Lema ni Nabii? Alianza na Ndoto, Ikatimia!, Akaja na Sabaya, Ikatimia!, Sasa ni Makonda, Itatimia? Asipuuzwe!
P
 
umesahau kwamba alikua mporaji na mnyang'anyi wa malori ya watu kabla ya hizo kazi nyingine.

na kazi nyingine anayofanya kwasasa ni pamoja na heche ni kubeti
 
Kweli kabisa nakumbuka haya yote
 
Ngongo hapa Karatu tembelea viunga vya Sparrow kuna supu nzuri san ya Kuku na miteteaa....
 
Kosa la Lema ni kumshauri Alfa na Omega wa Yerico na Ntobi?
 
Matango pori tupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…