Wasifu wa Godbless Jonathan Lema

Wasifu wa Godbless Jonathan Lema

..Ccm walimpa pesa nyingi kuliko ambayo angelipwa kwenye ubunge?

..kwa hiyo angeingia bungeni angekuwa senior kama kina Lukuvi?
Wakati huo hakujua Mjengoni kuna hela ndefu.

Ukimuuliza mkaazi yoyote wa Arusha aliyekuwa na sifa (umri) ya kupiga kura mwaka 1995 hadi 2000 atakwambia udhaifu wa Lema wa kuuza UBUNGE mara mbili.

Lema alikuwa VW kobe wakati huo hata mafuta ilikuwa ni shida.Tulimsaidia kwa hali na mali.
Kila uchaguzi ukifanyika unashangaa anakuwa na uwezo wa kununua viwanja Njiro kujenga mjengo mzuri kununua magari mazuri na nk.
 
Heshima sana wanajamvi,

Leo ningependa tumjadili Lema kama Mwanasiasa,Mfanyabiashara na Mtu aliyeshika dini (Mlokole)

Mwaka 1995 Lema aligombea ubunge wa Arusha Mjini kupitia NCCR-Mageuzi.Mshindani wake mkuu alikuwa Mh Mrema ( Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serekali)
Katika uchaguzi huo G Lema alimshinda Mrema lakini katika hali ya kustaajabisha Lema aliuza UBUNGE wake kwa kupewa viwanja Njiro na fedha nyingi.

Mwaka 2000 Lema alirudia mchezo ule ule wa kuuza UBUNGE ingawa alipata misuko suko mingi kutoka kwa wana NCCR-Mageuzi.Lema ni mjanja sana aliwadanganya wanachama kwamba angefungua kesi kumbe ilikuwa njama za kuwazubaisha wanachama ambao walianza kumchoka.

Mwaka 2005 aligombea Ubunge tena kupitia CDM alitaka tena kuuza UBUNGE lakini safari hii kina Mbowe na Marehemu Ndesamburo waliingilia kati na kuhakikisha anapata Ubunge ambao alishaupata mara mbili.

Lema aliwahi kumuuza Mawazo Nelson CCM kabla ya kumrejesha kupitia michezo yake kupiga hela kirahisi rahisi.

Lema kwa kutumia nafasi yake ya ubunge na Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini alijijenga mwenyewe kisiasa na kiuchumi.Wanasiasa wote waliojaribu kuwa zaidi yake alihakikisha anawayumbisha au kuwafukuza.

Lema hana nguvu wala ushawishi wa kisiasa Arusha kama ilivyokuwa siku za nyuma.Uchaguzi ndani ya chama ulimshinda na akakimbia.

Lema hawezi kugombea ubunge Arusha kwakuwa hawezi kupitishwa na chama chake tena labda Lissu ashinde na apitishwe kupitia mlango wa nyuma.

Lema mlokole mjanja mjanja.Kwa asili Lema ni Mlutheri kupitia madhehebu ya kilokole alianzisha ministry jina nimelisahau lakini tamaa ya kujipatia fedha haraka haraka ilimfarakanisha na wafadhili.

Biashara za madini ya Tanzanite alizifanya sana na utapeli wa kuuza vipande vya chupa kama Tanzanite kaifanya sana.Deal za wizi magari kazipiga sana wakati anaingia Jijini Arusha ndio ilikuwa biashara yake ya mwanzo akishirikiana na wezi maarufu Chonjo gang.

Ngongo kwasasa Karatu.
Bila kuweka payslip ya mauzo ya ubunge wa lema hii ni ngano tu.
 
Twambie na kuhusu sultan Mugabe jinsi alivyowakumbitia covid 19 ili kubalance story
Anzishia uzi. Huwezi kumuelekeza mtu mwingine atoe taarifa fulani hata kama hana undani wake, ila wewe iliye nazo unaweza ukatoa kwa usahihi zaidi
 
Tutajie kifungu cha Katiba kinachotumika Kwenye Mauziano ya Ubunge 🐼
Jimbo la Kawe Halima Mdee alishinda Ubunge lakini Mbunge wa Kawe ni Askofu Gwajima.

Tofauti ya Lema na Mdee ni hii.

Lema alishiriki binafsi kuuza ubunge kwa faida yake.

Mdee aliporwa ubunge wake na State kwa faida ya CCM ( dola).
 
Heshima sana wanajamvi,

Leo ningependa tumjadili Lema kama Mwanasiasa,Mfanyabiashara na Mtu aliyeshika dini (Mlokole)

Mwaka 1995 Lema aligombea ubunge wa Arusha Mjini kupitia NCCR-Mageuzi.Mshindani wake mkuu alikuwa Mh Mrema ( Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serekali)
Katika uchaguzi huo G Lema alimshinda Mrema lakini katika hali ya kustaajabisha Lema aliuza UBUNGE wake kwa kupewa viwanja Njiro na fedha nyingi.

Mwaka 2000 Lema alirudia mchezo ule ule wa kuuza UBUNGE ingawa alipata misuko suko mingi kutoka kwa wana NCCR-Mageuzi.Lema ni mjanja sana aliwadanganya wanachama kwamba angefungua kesi kumbe ilikuwa njama za kuwazubaisha wanachama ambao walianza kumchoka.

Mwaka 2005 aligombea Ubunge tena kupitia CDM alitaka tena kuuza UBUNGE lakini safari hii kina Mbowe na Marehemu Ndesamburo waliingilia kati na kuhakikisha anapata Ubunge ambao alishaupata mara mbili.

Lema aliwahi kumuuza Mawazo Nelson CCM kabla ya kumrejesha kupitia michezo yake kupiga hela kirahisi rahisi.

Lema kwa kutumia nafasi yake ya ubunge na Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini alijijenga mwenyewe kisiasa na kiuchumi.Wanasiasa wote waliojaribu kuwa zaidi yake alihakikisha anawayumbisha au kuwafukuza.

Lema hana nguvu wala ushawishi wa kisiasa Arusha kama ilivyokuwa siku za nyuma.Uchaguzi ndani ya chama ulimshinda na akakimbia.

Lema hawezi kugombea ubunge Arusha kwakuwa hawezi kupitishwa na chama chake tena labda Lissu ashinde na apitishwe kupitia mlango wa nyuma.

Lema mlokole mjanja mjanja.Kwa asili Lema ni Mlutheri kupitia madhehebu ya kilokole alianzisha ministry jina nimelisahau lakini tamaa ya kujipatia fedha haraka haraka ilimfarakanisha na wafadhili.

Biashara za madini ya Tanzanite alizifanya sana na utapeli wa kuuza vipande vya chupa kama Tanzanite kaifanya sana.Deal za wizi magari kazipiga sana wakati anaingia Jijini Arusha ndio ilikuwa biashara yake ya mwanzo akishirikiana na wezi maarufu Chonjo gang.

Ngongo kwasasa Karatu.
Duh。。。!。Hakuna ajabu yoyote kwa sababu hata shetani,mwanzo alikuwa malaika,akageuka shetani!,hivyo hii huweza kutokea kwa binadamu, mwanzo alikuwa ni mtu mbaya akageuka mwema,kama Sauli alivyogeuka Paulo na akawa Mtume Paulo,Lema kwa sasa ni Nabii Lema!japo Nabii Hakubaliki Nyumbani! Godbless Lema ni Nabii? Alianza na Ndoto, Ikatimia!, Akaja na Sabaya, Ikatimia!, Sasa ni Makonda, Itatimia? Asipuuzwe!
P
 
Heshima sana wanajamvi,

Leo ningependa tumjadili Lema kama Mwanasiasa,Mfanyabiashara na Mtu aliyeshika dini (Mlokole)

Mwaka 1995 Lema aligombea ubunge wa Arusha Mjini kupitia NCCR-Mageuzi.Mshindani wake mkuu alikuwa Mh Mrema ( Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serekali)
Katika uchaguzi huo G Lema alimshinda Mrema lakini katika hali ya kustaajabisha Lema aliuza UBUNGE wake kwa kupewa viwanja Njiro na fedha nyingi.

Mwaka 2000 Lema alirudia mchezo ule ule wa kuuza UBUNGE ingawa alipata misuko suko mingi kutoka kwa wana NCCR-Mageuzi.Lema ni mjanja sana aliwadanganya wanachama kwamba angefungua kesi kumbe ilikuwa njama za kuwazubaisha wanachama ambao walianza kumchoka.

Mwaka 2005 aligombea Ubunge tena kupitia CDM alitaka tena kuuza UBUNGE lakini safari hii kina Mbowe na Marehemu Ndesamburo waliingilia kati na kuhakikisha anapata Ubunge ambao alishaupata mara mbili.

Lema aliwahi kumuuza Mawazo Nelson CCM kabla ya kumrejesha kupitia michezo yake kupiga hela kirahisi rahisi.

Lema kwa kutumia nafasi yake ya ubunge na Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini alijijenga mwenyewe kisiasa na kiuchumi.Wanasiasa wote waliojaribu kuwa zaidi yake alihakikisha anawayumbisha au kuwafukuza.

Lema hana nguvu wala ushawishi wa kisiasa Arusha kama ilivyokuwa siku za nyuma.Uchaguzi ndani ya chama ulimshinda na akakimbia.

Lema hawezi kugombea ubunge Arusha kwakuwa hawezi kupitishwa na chama chake tena labda Lissu ashinde na apitishwe kupitia mlango wa nyuma.

Lema mlokole mjanja mjanja.Kwa asili Lema ni Mlutheri kupitia madhehebu ya kilokole alianzisha ministry jina nimelisahau lakini tamaa ya kujipatia fedha haraka haraka ilimfarakanisha na wafadhili.

Biashara za madini ya Tanzanite alizifanya sana na utapeli wa kuuza vipande vya chupa kama Tanzanite kaifanya sana.Deal za wizi magari kazipiga sana wakati anaingia Jijini Arusha ndio ilikuwa biashara yake ya mwanzo akishirikiana na wezi maarufu Chonjo gang.

Ngongo kwasasa Karatu.
umesahau kwamba alikua mporaji na mnyang'anyi wa malori ya watu kabla ya hizo kazi nyingine.

na kazi nyingine anayofanya kwasasa ni pamoja na heche ni kubeti :whatBlink:
 
Wakati huo hakujua Mjengoni kuna hela ndefu.

Ukimuuliza mkaazi yoyote wa Arusha aliyekuwa na sifa (umri) ya kupiga kura mwaka 1995 hadi 2000 atakwambia udhaifu wa Lema wa kuuza UBUNGE mara mbili.

Lema alikuwa VW kobe wakati huo hata mafuta ilikuwa ni shida.Tulimsaidia kwa hali na mali.
Kila uchaguzi ukifanyika unashangaa anakuwa na uwezo wa kununua viwanja Njiro kujenga mjengo mzuri kununua magari mazuri na nk.
Kweli kabisa nakumbuka haya yote
 
Ngongo hapa Karatu tembelea viunga vya Sparrow kuna supu nzuri san ya Kuku na miteteaa....
 
Heshima sana wanajamvi,

Leo ningependa tumjadili Lema kama Mwanasiasa, Mfanyabiashara na Mtu aliyeshika dini (Mlokole)

====

Mwaka 1995 Lema aligombea ubunge wa Arusha Mjini kupitia NCCR-Mageuzi, Mshindani wake mkuu alikuwa Mh. Mrema (Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serekali). Katika uchaguzi huo Godbless Lema alimshinda Mrema lakini katika hali ya kustaajabisha Lema aliuza UBUNGE wake kwa kupewa viwanja Njiro na fedha nyingi.

Mwaka 2000, Lema alirudia mchezo ule ule wa kuuza UBUNGE ingawa alipata misukosuko mingi kutoka kwa wana NCCR-Mageuzi. Lema ni mjanja sana, aliwadanganya wanachama kwamba angefungua kesi kumbe ilikuwa njama za kuwazubaisha wanachama ambao walianza kumchoka.

Mwaka 2005 aligombea Ubunge tena kupitia CHADEMA, alitaka tena kuuza UBUNGE lakini safari hii kina Mbowe na Marehemu Ndesamburo waliingilia kati na kuhakikisha anapata Ubunge ambao alishaupata mara mbili.

Lema aliwahi kumuuza Mawazo Nelson CCM kabla ya kumrejesha kupitia michezo yake kupiga hela kirahisi rahisi.

Lema kwa kutumia nafasi yake ya ubunge na Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini, alijijenga mwenyewe kisiasa na kiuchumi. Wanasiasa wote waliojaribu kuwa zaidi yake alihakikisha anawayumbisha au kuwafukuza.

Lema hana nguvu wala ushawishi wa kisiasa Arusha kama ilivyokuwa siku za nyuma. Uchaguzi ndani ya chama ulimshinda na akakimbia.

Lema hawezi kugombea ubunge Arusha kwakuwa hawezi kupitishwa na chama chake tena labda Lissu ashinde na apitishwe kupitia mlango wa nyuma.

Lema ni mlokole mjanja mjanja. Kwa asili Lema ni Mlutheri kupitia madhehebu ya kilokole alianzisha ministry (jina nimelisahau) lakini tamaa ya kujipatia fedha haraka haraka ilimfarakanisha na wafadhili.

Biashara za madini ya Tanzanite alizifanya sana na utapeli wa kuuza vipande vya chupa kama Tanzanite kaifanya sana. Deal za wizi magari kazipiga sana wakati anaingia Jijini Arusha ndio ilikuwa biashara yake ya mwanzo akishirikiana na wezi maarufu “Chonjo gang”.

Ngongo, kwasasa Karatu.
Kosa la Lema ni kumshauri Alfa na Omega wa Yerico na Ntobi?
 
Heshima sana wanajamvi,

Leo ningependa tumjadili Lema kama Mwanasiasa, Mfanyabiashara na Mtu aliyeshika dini (Mlokole)

====

Mwaka 1995 Lema aligombea ubunge wa Arusha Mjini kupitia NCCR-Mageuzi, Mshindani wake mkuu alikuwa Mh. Mrema (Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serekali). Katika uchaguzi huo Godbless Lema alimshinda Mrema lakini katika hali ya kustaajabisha Lema aliuza UBUNGE wake kwa kupewa viwanja Njiro na fedha nyingi.

Mwaka 2000, Lema alirudia mchezo ule ule wa kuuza UBUNGE ingawa alipata misukosuko mingi kutoka kwa wana NCCR-Mageuzi. Lema ni mjanja sana, aliwadanganya wanachama kwamba angefungua kesi kumbe ilikuwa njama za kuwazubaisha wanachama ambao walianza kumchoka.

Mwaka 2005 aligombea Ubunge tena kupitia CHADEMA, alitaka tena kuuza UBUNGE lakini safari hii kina Mbowe na Marehemu Ndesamburo waliingilia kati na kuhakikisha anapata Ubunge ambao alishaupata mara mbili.

Lema aliwahi kumuuza Mawazo Nelson CCM kabla ya kumrejesha kupitia michezo yake kupiga hela kirahisi rahisi.

Lema kwa kutumia nafasi yake ya ubunge na Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini, alijijenga mwenyewe kisiasa na kiuchumi. Wanasiasa wote waliojaribu kuwa zaidi yake alihakikisha anawayumbisha au kuwafukuza.

Lema hana nguvu wala ushawishi wa kisiasa Arusha kama ilivyokuwa siku za nyuma. Uchaguzi ndani ya chama ulimshinda na akakimbia.

Lema hawezi kugombea ubunge Arusha kwakuwa hawezi kupitishwa na chama chake tena labda Lissu ashinde na apitishwe kupitia mlango wa nyuma.

Lema ni mlokole mjanja mjanja. Kwa asili Lema ni Mlutheri kupitia madhehebu ya kilokole alianzisha ministry (jina nimelisahau) lakini tamaa ya kujipatia fedha haraka haraka ilimfarakanisha na wafadhili.

Biashara za madini ya Tanzanite alizifanya sana na utapeli wa kuuza vipande vya chupa kama Tanzanite kaifanya sana. Deal za wizi magari kazipiga sana wakati anaingia Jijini Arusha ndio ilikuwa biashara yake ya mwanzo akishirikiana na wezi maarufu “Chonjo gang”.

Ngongo, kwasasa Karatu.
Matango pori tupu
 
Back
Top Bottom